Huyu ndiye Mwanamke ninayemhitaji kwa sasa. Nitashukuru nikimpata naye atakuja nishukuru baadaye na kujilaumu alikuwa wapi

Huyu ndiye Mwanamke ninayemhitaji kwa sasa. Nitashukuru nikimpata naye atakuja nishukuru baadaye na kujilaumu alikuwa wapi

Kuna mahali u awalia timing ya kuwala kimasikhara.

Nimepaona fasta tu.

Ukimaindi napataja fasta ili nikuletee kauzibe.
 
Nyama mchome mishkaki😂😂😂na Kiingereza mnatak kufungua hotel ya kitalii
 
Komeo ,,,

Ameshatekwa tayari...wadada wa siku hizi wanatumia vizuri fursa!!!
 
Kutafuta mwanamke mwenye akili ni sawa na kutafuta nyama ya nguruwe Iran
 
Back
Top Bottom