Huyu ndiye mwanzilishi wa chama kipya cha Umoja Party (UP)

Huyu ndiye mwanzilishi wa chama kipya cha Umoja Party (UP)

Anajaribu kutembelea nyota ya Maalimu Seif (R.I.P )
 
Aiseeh! Hii nchi hii, inaongozwa na chama kisichojiamini, Pamoja na kuwasweka ndani na kuwaziba midomo wapinzani bado mna mbinu zile zile za karne ya 19 ya kulundika Vyama watoto!

Huyo jamaa huyo kwa kumuangalia TU hayuko smart kisiasa, yupo yupo TU Kama mpiga dili kwa mgongo wa chama huku akibebelewa kwenye mbelezo ya CCM!
Ukimwangalia kwenye picha sio?
 
Aiseeh! Hii nchi hii, inaongozwa na chama kisichojiamini, Pamoja na kuwasweka ndani na kuwaziba midomo wapinzani bado mna mbinu zile zile za karne ya 19 ya kulundika Vyama watoto!

Huyo jamaa huyo kwa kumuangalia TU hayuko smart kisiasa, yupo yupo TU Kama mpiga dili kwa mgongo wa chama huku akibebelewa kwenye mbelezo ya CCM!
Afisa kipenyo huyo...
 
Disclaimer (Andiko hili ni kutoka clickhabari.com)

Imebaki miaka minne kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 nchini Tanzania. Chama kipya cha siasa kilijulikano kama Umoja Party (UP) kimeibuka kuomba usajili wa muda. Chama hicho tayari kimewasilisha maombi ya usajili wa muda ili kuanza kutafuta wadhamini kwa lengo la kupata usajili wa kudumu. Mwenyekiti wa chama hicho kitakachokuwa na makao makuu yake Dar es Salaam, Seif Maalim Seif amesema kuwa dira cha chama chake ni kuondoa umasikini Tanzania.

SEIF MAALIM SEIF NI NANI?
Mwaka 2020 Seif Maalim Seif aligombea nafasi ya urais kupita Chama cha Wakulima (Alliance for Africa Farmers Party). ambapo kupitia chama hicho mwaka 2020 Seif Maalim Seif alijipambanua kwa itikadi ya Uchumi wa Kilimo (Agricultural-based economy). Taarifa zinaonesha kuwa Seif Maalim Seif ana umri wa miaka 47. Seif anasema kuwa ni umoja pekee ndio unaweza kutatua matatizo ya nchi hii ndio maana Chama hicho kinaitwa Umoja.

Seif ni muumuni wa siasa za utulivu na kuleta mabadiliko kwa njia za majadiliano. Kwenye uchaguzi wa mwaka 2020 aliwahi kunukuliwa akipinga vikali siasa za kusambaza maneno ya uchochezi ambayo yangehatarisha amani nchini. Seif alisema kuwa vyama vyote vina lengo moja la kuongoza dola, hivyo basi lazima vifanye siasa za kiungwana, pasi kuchochea vurugu kwani Tanzania ni moja na hakuna nyingine.

ITIKADI YA CHAMA CHA UMOJA
Chama cha Umoja kinajipambanua kiitikadi kuwa kinaazimia kutumia utajiri wa rasilimali uliopo Tanzania kunufaisha wananchi kwanza na kutatua tatizo kubwa la ajiri linalowakabili watanzania. Kupitia bendera yake yenye rangi nyeupe, nyeusi, dhahabu pamoja na kijani, Seif Maalim Seif amesema kuwa nyeupe ina maana ya amani, uwazi na upendo, na kijani ni rasimali za nchi yetu, nyeusi ni uafrika wetu pamoja na dhahabu ni tafsiri kuwa nchi ya Tanzania imebarikiwa rasilimali ya madini.

Naibu Msajili wa vyama vya siasa nchini, Sisy Nyahoza amethibitisha kuwapo kwa maombi ya usajili wa Chama hicho mezani kwake, na kwamba sheria ya vyama vya siasa inawataka kutangaza kwenye gazeti la Serikali na kutoa muda kwa wananchi pamoja na vyama vya siasa kupinga jina la chama kwa ofisi ya msajili. Baada ya mchakato huo kumalizika, hatua nyingine zitafuata kama sheria inavyoelekeza

Seif Maalim Seif si mgeni kwenye siasa za Tanzania, kwenye uchaguzi wa mwaka 2020 Seif aligombea nafasi ya urais kupitia Chama cha Wakulima (AAFP).
Nyumbani - clickHabari

View attachment 1997494

View attachment 1997495
Naomba kuwa mkweli mbinu hizi ni za karine ya 16 haina tija wala mvuto kwa nchi. Nina hofu kubwa kwa kina mama wengi wanamlilia aliyebatizwa kuwa ni gaidi. Kwangu mimi simuiti gaidi na ninaamini siyo gaidi.

Ifahamike kuwa kati ya wanasiasa waupinzani wangwana na wazalendo Mbowe ni mungwana na ni mzalendo. Mimi siyo mhasibu lakini ningependa kusema kuwa kesi ya Mbowe ni "balance carried foward" kutoka hesabu za namba 5 hadi namba 6.

Tangu Mbowe ashitakiwe amepata wahurumiaji wengi. Tafsiri yake Mbowe ni shuja siyo gaidi. Ikiwezekana wabobezi wa masuala ya siasa, uongozi na uchumi wafanye tathimini kuendelea na kutoendelea na kesi ya Mbowe. Kuendelea watueleze lipi bora!.

Bahati mbaya yanayoendelea ni sehemu ya historia ya utawala flani unaandikwa. Historia hajawahi kudanganya. Kweli itaandikwa na kuhifadhiwa. Ni bora kuufia ukweli kuliko uongo mtakatifu.

Uzuri wa siasa chama cha siasa kikichukiwa hamna namna. Inabidi kife ili kizaliwe mara ya pili. Kufa kwa chama cha siasa maarufu ni faida kwa taifa. Pale kinapo kufa inafanyika hivyo kwa maslahi mapana ya taifa. Taifa ni dude ni dubwasha kubwa kuliko sisi wote.

Tusiingize chuki kwenye siasa za ushindani. Iko siku tahesabiwa makosa ya maovu tunayo tenda. Kikubwa katika hili yupo Mungu anayesema na wenye haki. MUNGU TUNAKUOMBA TUSIMAME NA KUISIMAMIA
 
Aiseeh! Hii nchi hii, inaongozwa na chama kisichojiamini, Pamoja na kuwasweka ndani na kuwaziba midomo wapinzani bado mna mbinu zile zile za karne ya 19 ya kulundika Vyama watoto!

Huyo jamaa huyo kwa kumuangalia TU hayuko smart kisiasa, yupo yupo TU Kama mpiga dili kwa mgongo wa chama huku akibebelewa kwenye mbelezo ya CCM!
Kuongezeka kwa vyama kunapunguza kitu gani Chadema?
 
Disclaimer (Andiko hili ni kutoka clickhabari.com)

Imebaki miaka minne kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 nchini Tanzania. Chama kipya cha siasa kilijulikano kama Umoja Party (UP) kimeibuka kuomba usajili wa muda. Chama hicho tayari kimewasilisha maombi ya usajili wa muda ili kuanza kutafuta wadhamini kwa lengo la kupata usajili wa kudumu. Mwenyekiti wa chama hicho kitakachokuwa na makao makuu yake Dar es Salaam, Seif Maalim Seif amesema kuwa dira cha chama chake ni kuondoa umasikini Tanzania.

SEIF MAALIM SEIF NI NANI?
Mwaka 2020 Seif Maalim Seif aligombea nafasi ya urais kupita Chama cha Wakulima (Alliance for Africa Farmers Party). ambapo kupitia chama hicho mwaka 2020 Seif Maalim Seif alijipambanua kwa itikadi ya Uchumi wa Kilimo (Agricultural-based economy). Taarifa zinaonesha kuwa Seif Maalim Seif ana umri wa miaka 47. Seif anasema kuwa ni umoja pekee ndio unaweza kutatua matatizo ya nchi hii ndio maana Chama hicho kinaitwa Umoja.

Seif ni muumuni wa siasa za utulivu na kuleta mabadiliko kwa njia za majadiliano. Kwenye uchaguzi wa mwaka 2020 aliwahi kunukuliwa akipinga vikali siasa za kusambaza maneno ya uchochezi ambayo yangehatarisha amani nchini. Seif alisema kuwa vyama vyote vina lengo moja la kuongoza dola, hivyo basi lazima vifanye siasa za kiungwana, pasi kuchochea vurugu kwani Tanzania ni moja na hakuna nyingine.

ITIKADI YA CHAMA CHA UMOJA
Chama cha Umoja kinajipambanua kiitikadi kuwa kinaazimia kutumia utajiri wa rasilimali uliopo Tanzania kunufaisha wananchi kwanza na kutatua tatizo kubwa la ajiri linalowakabili watanzania. Kupitia bendera yake yenye rangi nyeupe, nyeusi, dhahabu pamoja na kijani, Seif Maalim Seif amesema kuwa nyeupe ina maana ya amani, uwazi na upendo, na kijani ni rasimali za nchi yetu, nyeusi ni uafrika wetu pamoja na dhahabu ni tafsiri kuwa nchi ya Tanzania imebarikiwa rasilimali ya madini.

Naibu Msajili wa vyama vya siasa nchini, Sisy Nyahoza amethibitisha kuwapo kwa maombi ya usajili wa Chama hicho mezani kwake, na kwamba sheria ya vyama vya siasa inawataka kutangaza kwenye gazeti la Serikali na kutoa muda kwa wananchi pamoja na vyama vya siasa kupinga jina la chama kwa ofisi ya msajili. Baada ya mchakato huo kumalizika, hatua nyingine zitafuata kama sheria inavyoelekeza

Seif Maalim Seif si mgeni kwenye siasa za Tanzania, kwenye uchaguzi wa mwaka 2020 Seif aligombea nafasi ya urais kupitia Chama cha Wakulima (AAFP).
Nyumbani - clickHabari

View attachment 1997494

View attachment 1997495
Thissss at work
 
Disclaimer (Andiko hili ni kutoka clickhabari.com)

Imebaki miaka minne kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 nchini Tanzania. Chama kipya cha siasa kilijulikano kama Umoja Party (UP) kimeibuka kuomba usajili wa muda. Chama hicho tayari kimewasilisha maombi ya usajili wa muda ili kuanza kutafuta wadhamini kwa lengo la kupata usajili wa kudumu. Mwenyekiti wa chama hicho kitakachokuwa na makao makuu yake Dar es Salaam, Seif Maalim Seif amesema kuwa dira cha chama chake ni kuondoa umasikini Tanzania.

SEIF MAALIM SEIF NI NANI?
Mwaka 2020 Seif Maalim Seif aligombea nafasi ya urais kupita Chama cha Wakulima (Alliance for Africa Farmers Party). ambapo kupitia chama hicho mwaka 2020 Seif Maalim Seif alijipambanua kwa itikadi ya Uchumi wa Kilimo (Agricultural-based economy). Taarifa zinaonesha kuwa Seif Maalim Seif ana umri wa miaka 47. Seif anasema kuwa ni umoja pekee ndio unaweza kutatua matatizo ya nchi hii ndio maana Chama hicho kinaitwa Umoja.

Seif ni muumuni wa siasa za utulivu na kuleta mabadiliko kwa njia za majadiliano. Kwenye uchaguzi wa mwaka 2020 aliwahi kunukuliwa akipinga vikali siasa za kusambaza maneno ya uchochezi ambayo yangehatarisha amani nchini. Seif alisema kuwa vyama vyote vina lengo moja la kuongoza dola, hivyo basi lazima vifanye siasa za kiungwana, pasi kuchochea vurugu kwani Tanzania ni moja na hakuna nyingine.

ITIKADI YA CHAMA CHA UMOJA
Chama cha Umoja kinajipambanua kiitikadi kuwa kinaazimia kutumia utajiri wa rasilimali uliopo Tanzania kunufaisha wananchi kwanza na kutatua tatizo kubwa la ajiri linalowakabili watanzania. Kupitia bendera yake yenye rangi nyeupe, nyeusi, dhahabu pamoja na kijani, Seif Maalim Seif amesema kuwa nyeupe ina maana ya amani, uwazi na upendo, na kijani ni rasimali za nchi yetu, nyeusi ni uafrika wetu pamoja na dhahabu ni tafsiri kuwa nchi ya Tanzania imebarikiwa rasilimali ya madini.

Naibu Msajili wa vyama vya siasa nchini, Sisy Nyahoza amethibitisha kuwapo kwa maombi ya usajili wa Chama hicho mezani kwake, na kwamba sheria ya vyama vya siasa inawataka kutangaza kwenye gazeti la Serikali na kutoa muda kwa wananchi pamoja na vyama vya siasa kupinga jina la chama kwa ofisi ya msajili. Baada ya mchakato huo kumalizika, hatua nyingine zitafuata kama sheria inavyoelekeza

Seif Maalim Seif si mgeni kwenye siasa za Tanzania, kwenye uchaguzi wa mwaka 2020 Seif aligombea nafasi ya urais kupitia Chama cha Wakulima (AAFP).
Nyumbani - clickHabari

View attachment 1997494

View attachment 1997495
Njaa mbaya sana
 
Kwa muda mrefu nimekuwa nikitamani kuanzisha chama.

Ni imami yangu kuwa raid ajae atakuwa ni "Mnachinga".

Naamini tukijiorganize vzr, sisi wamachinga ni jeshi kubwa lenye mchanganyiko mzuri wa kila weledi.

Wamachinga waliojuajuri ni zaidi ya mil 8 hadi sasa.

Wanasiasa was vyama vyote kwasasa wanajipambanua kuwasemea wamachinga ili wawavute.

Mimi naamini watakaoweza kuwatetea na kuwalinda wamachinga ni wamachinga wenyewe, kwa kuchukua nafasi hizi za kufanya maamuzi.

Kama kuna mmachinga humu na anakubaliana na hoja zangu tujuane na tujikusanye kwa ajili kufanya maamuzi haya magumu.
 
Kwa muda mrefu nimekuwa nikitamani kuanzisha chama.

Ni imami yangu kuwa raid ajae atakuwa ni "Mnachinga".

Naamini tukijiorganize vzr, sisi wamachinga ni jeshi kubwa lenye mchanganyiko mzuri wa kila weledi.

Wamachinga waliojuajuri ni zaidi ya mil 8 hadi sasa.

Wanasiasa was vyama vyote kwasasa wanajipambanua kuwasemea wamachinga ili wawavute.

Mimi naamini watakaoweza kuwatetea na kuwalinda wamachinga ni wamachinga wenyewe, kwa kuchukua nafasi hizi za kufanya maamuzi.

Kama kuna mmachinga humu na anakubaliana na hoja zangu tujuane na tujikusanye kwa ajili kufanya maamuzi haya magumu.

Mkuu ninakusoma kwani wewe ni moto mara moja. Hurembi wala hukopeshi. Kuleta mabadiliko si lelemama.

Kada uliyoiangazia ndiyo iliyofaulu kuleta mabadiliko kulikoshindikana. Kule ambako shoka lilivunjika lakini mpini ukabakia pale pale 😁😁.

Hao ndiyo walioleta Mapinduzi duniani. Ongelea Russia, Ufaransa, China, Zanzibar na sehemu lukuki. The Lumpen Proletariats.

Lumpen Proletariat, (German: “rabble proletariat”), according to Karl Marx in The Communist Manifesto, the lowest stratum of the industrial working class, including also such undesirables as tramps and criminals.

IMG_20211104_035911_135.jpg


Hao ndiyo hiyo mitu. CCM wanawaogopa kuliko ukoma. Juhudi zote zinafanyika kuhakikisha hawafikii kwenye mawazo kama yako.

Ulipo ni mwanzo mzuri.

Hapa ndipo wengine wanapopotea maboya.

Ninaunga mkono hoja:

"Kama kuna mmachinga humu na anakubaliana na hoja zako tujuane na tujikusanye kwa ajili kufanya maamuzi haya magumu."
 
Disclaimer (Andiko hili ni kutoka clickhabari.com)

Imebaki miaka minne kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 nchini Tanzania. Chama kipya cha siasa kilijulikano kama Umoja Party (UP) kimeibuka kuomba usajili wa muda. Chama hicho tayari kimewasilisha maombi ya usajili wa muda ili kuanza kutafuta wadhamini kwa lengo la kupata usajili wa kudumu. Mwenyekiti wa chama hicho kitakachokuwa na makao makuu yake Dar es Salaam, Seif Maalim Seif amesema kuwa dira cha chama chake ni kuondoa umasikini Tanzania.

SEIF MAALIM SEIF NI NANI?
Mwaka 2020 Seif Maalim Seif aligombea nafasi ya urais kupita Chama cha Wakulima (Alliance for Africa Farmers Party). ambapo kupitia chama hicho mwaka 2020 Seif Maalim Seif alijipambanua kwa itikadi ya Uchumi wa Kilimo (Agricultural-based economy). Taarifa zinaonesha kuwa Seif Maalim Seif ana umri wa miaka 47. Seif anasema kuwa ni umoja pekee ndio unaweza kutatua matatizo ya nchi hii ndio maana Chama hicho kinaitwa Umoja.

Seif ni muumuni wa siasa za utulivu na kuleta mabadiliko kwa njia za majadiliano. Kwenye uchaguzi wa mwaka 2020 aliwahi kunukuliwa akipinga vikali siasa za kusambaza maneno ya uchochezi ambayo yangehatarisha amani nchini. Seif alisema kuwa vyama vyote vina lengo moja la kuongoza dola, hivyo basi lazima vifanye siasa za kiungwana, pasi kuchochea vurugu kwani Tanzania ni moja na hakuna nyingine.

ITIKADI YA CHAMA CHA UMOJA
Chama cha Umoja kinajipambanua kiitikadi kuwa kinaazimia kutumia utajiri wa rasilimali uliopo Tanzania kunufaisha wananchi kwanza na kutatua tatizo kubwa la ajiri linalowakabili watanzania. Kupitia bendera yake yenye rangi nyeupe, nyeusi, dhahabu pamoja na kijani, Seif Maalim Seif amesema kuwa nyeupe ina maana ya amani, uwazi na upendo, na kijani ni rasimali za nchi yetu, nyeusi ni uafrika wetu pamoja na dhahabu ni tafsiri kuwa nchi ya Tanzania imebarikiwa rasilimali ya madini.

Naibu Msajili wa vyama vya siasa nchini, Sisy Nyahoza amethibitisha kuwapo kwa maombi ya usajili wa Chama hicho mezani kwake, na kwamba sheria ya vyama vya siasa inawataka kutangaza kwenye gazeti la Serikali na kutoa muda kwa wananchi pamoja na vyama vya siasa kupinga jina la chama kwa ofisi ya msajili. Baada ya mchakato huo kumalizika, hatua nyingine zitafuata kama sheria inavyoelekeza

Seif Maalim Seif si mgeni kwenye siasa za Tanzania, kwenye uchaguzi wa mwaka 2020 Seif aligombea nafasi ya urais kupitia Chama cha Wakulima (AAFP)

View attachment 1997494

View attachment 1997495
Ndugu yake na ACT na ni mtoto wa nne wa ccm.
 
Aiseeh! Hii nchi hii, inaongozwa na chama kisichojiamini, Pamoja na kuwasweka ndani na kuwaziba midomo wapinzani bado mna mbinu zile zile za karne ya 19 ya kulundika Vyama watoto!

Huyo jamaa huyo kwa kumuangalia TU hayuko smart kisiasa, yupo yupo TU Kama mpiga dili kwa mgongo wa chama huku akibebelewa kwenye mbelezo ya CCM!
Wanawadanganya wajinga wenzao tu lkn kwa watu makini hatudanganyiki na huo upotolo wao
 
Hivi nikianzisha chama naweza pata marupurupu gani hata kama sina mgombea aliyeshinda hata mmoja nchi nzima?
Ukianzisha chama cha upinzani wa kweli basi zawadi utakayo ipata ni .

1:Kuhakikisha kuwa unakuwa unashinda vituo mbali mbali vya polis.

2:utawajua sana mahakimu wa mahakama zetu.

3:Utaitwa majina ya ajabu na la ugaidi likwepo.
 
Ahahahahahahahahaaaaaaaaaaa akiamungu yani ukimtizama utajua katumwa,,,, Chama cha upinzani kwa sasa angalau kwa 60% ni Chadema tu,,, Vyama vilivyobaki vinaongozwa na wanafiki ni ngumu kuviamini vyote kwa ujumla wake navipa 3% ya kuwa vyama vya mageuzi
Nakuunga mkono kwa 100%
 
Back
Top Bottom