Me mbona nakipenda nkiwa Tabora na kabila langu mhaya!!!? Na nyie tatizo lenu ccm ni WiziTatizo la chama chenu kiache ukabila na ukandaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me mbona nakipenda nkiwa Tabora na kabila langu mhaya!!!? Na nyie tatizo lenu ccm ni WiziTatizo la chama chenu kiache ukabila na ukandaaa
Ukimwangalia kwenye picha sio?Aiseeh! Hii nchi hii, inaongozwa na chama kisichojiamini, Pamoja na kuwasweka ndani na kuwaziba midomo wapinzani bado mna mbinu zile zile za karne ya 19 ya kulundika Vyama watoto!
Huyo jamaa huyo kwa kumuangalia TU hayuko smart kisiasa, yupo yupo TU Kama mpiga dili kwa mgongo wa chama huku akibebelewa kwenye mbelezo ya CCM!
Ukabila na ukanda wameufanya wapi?Tatizo la chama chenu kiache ukabila na ukandaaa
Afisa kipenyo huyo...Aiseeh! Hii nchi hii, inaongozwa na chama kisichojiamini, Pamoja na kuwasweka ndani na kuwaziba midomo wapinzani bado mna mbinu zile zile za karne ya 19 ya kulundika Vyama watoto!
Huyo jamaa huyo kwa kumuangalia TU hayuko smart kisiasa, yupo yupo TU Kama mpiga dili kwa mgongo wa chama huku akibebelewa kwenye mbelezo ya CCM!
Naomba kuwa mkweli mbinu hizi ni za karine ya 16 haina tija wala mvuto kwa nchi. Nina hofu kubwa kwa kina mama wengi wanamlilia aliyebatizwa kuwa ni gaidi. Kwangu mimi simuiti gaidi na ninaamini siyo gaidi.Disclaimer (Andiko hili ni kutoka clickhabari.com)
Imebaki miaka minne kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 nchini Tanzania. Chama kipya cha siasa kilijulikano kama Umoja Party (UP) kimeibuka kuomba usajili wa muda. Chama hicho tayari kimewasilisha maombi ya usajili wa muda ili kuanza kutafuta wadhamini kwa lengo la kupata usajili wa kudumu. Mwenyekiti wa chama hicho kitakachokuwa na makao makuu yake Dar es Salaam, Seif Maalim Seif amesema kuwa dira cha chama chake ni kuondoa umasikini Tanzania.
SEIF MAALIM SEIF NI NANI?
Mwaka 2020 Seif Maalim Seif aligombea nafasi ya urais kupita Chama cha Wakulima (Alliance for Africa Farmers Party). ambapo kupitia chama hicho mwaka 2020 Seif Maalim Seif alijipambanua kwa itikadi ya Uchumi wa Kilimo (Agricultural-based economy). Taarifa zinaonesha kuwa Seif Maalim Seif ana umri wa miaka 47. Seif anasema kuwa ni umoja pekee ndio unaweza kutatua matatizo ya nchi hii ndio maana Chama hicho kinaitwa Umoja.
Seif ni muumuni wa siasa za utulivu na kuleta mabadiliko kwa njia za majadiliano. Kwenye uchaguzi wa mwaka 2020 aliwahi kunukuliwa akipinga vikali siasa za kusambaza maneno ya uchochezi ambayo yangehatarisha amani nchini. Seif alisema kuwa vyama vyote vina lengo moja la kuongoza dola, hivyo basi lazima vifanye siasa za kiungwana, pasi kuchochea vurugu kwani Tanzania ni moja na hakuna nyingine.
ITIKADI YA CHAMA CHA UMOJA
Chama cha Umoja kinajipambanua kiitikadi kuwa kinaazimia kutumia utajiri wa rasilimali uliopo Tanzania kunufaisha wananchi kwanza na kutatua tatizo kubwa la ajiri linalowakabili watanzania. Kupitia bendera yake yenye rangi nyeupe, nyeusi, dhahabu pamoja na kijani, Seif Maalim Seif amesema kuwa nyeupe ina maana ya amani, uwazi na upendo, na kijani ni rasimali za nchi yetu, nyeusi ni uafrika wetu pamoja na dhahabu ni tafsiri kuwa nchi ya Tanzania imebarikiwa rasilimali ya madini.
Naibu Msajili wa vyama vya siasa nchini, Sisy Nyahoza amethibitisha kuwapo kwa maombi ya usajili wa Chama hicho mezani kwake, na kwamba sheria ya vyama vya siasa inawataka kutangaza kwenye gazeti la Serikali na kutoa muda kwa wananchi pamoja na vyama vya siasa kupinga jina la chama kwa ofisi ya msajili. Baada ya mchakato huo kumalizika, hatua nyingine zitafuata kama sheria inavyoelekeza
Seif Maalim Seif si mgeni kwenye siasa za Tanzania, kwenye uchaguzi wa mwaka 2020 Seif aligombea nafasi ya urais kupitia Chama cha Wakulima (AAFP).
Nyumbani - clickHabari
View attachment 1997494
View attachment 1997495
Kuongezeka kwa vyama kunapunguza kitu gani Chadema?Aiseeh! Hii nchi hii, inaongozwa na chama kisichojiamini, Pamoja na kuwasweka ndani na kuwaziba midomo wapinzani bado mna mbinu zile zile za karne ya 19 ya kulundika Vyama watoto!
Huyo jamaa huyo kwa kumuangalia TU hayuko smart kisiasa, yupo yupo TU Kama mpiga dili kwa mgongo wa chama huku akibebelewa kwenye mbelezo ya CCM!
Naona dalili ya chama chenye sera makini na chenye uwezo wa kujenga hoja karibu sana muda kinaweza kuwa chama kikuu cha upinzani!
Thissss at workDisclaimer (Andiko hili ni kutoka clickhabari.com)
Imebaki miaka minne kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 nchini Tanzania. Chama kipya cha siasa kilijulikano kama Umoja Party (UP) kimeibuka kuomba usajili wa muda. Chama hicho tayari kimewasilisha maombi ya usajili wa muda ili kuanza kutafuta wadhamini kwa lengo la kupata usajili wa kudumu. Mwenyekiti wa chama hicho kitakachokuwa na makao makuu yake Dar es Salaam, Seif Maalim Seif amesema kuwa dira cha chama chake ni kuondoa umasikini Tanzania.
SEIF MAALIM SEIF NI NANI?
Mwaka 2020 Seif Maalim Seif aligombea nafasi ya urais kupita Chama cha Wakulima (Alliance for Africa Farmers Party). ambapo kupitia chama hicho mwaka 2020 Seif Maalim Seif alijipambanua kwa itikadi ya Uchumi wa Kilimo (Agricultural-based economy). Taarifa zinaonesha kuwa Seif Maalim Seif ana umri wa miaka 47. Seif anasema kuwa ni umoja pekee ndio unaweza kutatua matatizo ya nchi hii ndio maana Chama hicho kinaitwa Umoja.
Seif ni muumuni wa siasa za utulivu na kuleta mabadiliko kwa njia za majadiliano. Kwenye uchaguzi wa mwaka 2020 aliwahi kunukuliwa akipinga vikali siasa za kusambaza maneno ya uchochezi ambayo yangehatarisha amani nchini. Seif alisema kuwa vyama vyote vina lengo moja la kuongoza dola, hivyo basi lazima vifanye siasa za kiungwana, pasi kuchochea vurugu kwani Tanzania ni moja na hakuna nyingine.
ITIKADI YA CHAMA CHA UMOJA
Chama cha Umoja kinajipambanua kiitikadi kuwa kinaazimia kutumia utajiri wa rasilimali uliopo Tanzania kunufaisha wananchi kwanza na kutatua tatizo kubwa la ajiri linalowakabili watanzania. Kupitia bendera yake yenye rangi nyeupe, nyeusi, dhahabu pamoja na kijani, Seif Maalim Seif amesema kuwa nyeupe ina maana ya amani, uwazi na upendo, na kijani ni rasimali za nchi yetu, nyeusi ni uafrika wetu pamoja na dhahabu ni tafsiri kuwa nchi ya Tanzania imebarikiwa rasilimali ya madini.
Naibu Msajili wa vyama vya siasa nchini, Sisy Nyahoza amethibitisha kuwapo kwa maombi ya usajili wa Chama hicho mezani kwake, na kwamba sheria ya vyama vya siasa inawataka kutangaza kwenye gazeti la Serikali na kutoa muda kwa wananchi pamoja na vyama vya siasa kupinga jina la chama kwa ofisi ya msajili. Baada ya mchakato huo kumalizika, hatua nyingine zitafuata kama sheria inavyoelekeza
Seif Maalim Seif si mgeni kwenye siasa za Tanzania, kwenye uchaguzi wa mwaka 2020 Seif aligombea nafasi ya urais kupitia Chama cha Wakulima (AAFP).
Nyumbani - clickHabari
View attachment 1997494
View attachment 1997495
Njaa mbaya sanaDisclaimer (Andiko hili ni kutoka clickhabari.com)
Imebaki miaka minne kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 nchini Tanzania. Chama kipya cha siasa kilijulikano kama Umoja Party (UP) kimeibuka kuomba usajili wa muda. Chama hicho tayari kimewasilisha maombi ya usajili wa muda ili kuanza kutafuta wadhamini kwa lengo la kupata usajili wa kudumu. Mwenyekiti wa chama hicho kitakachokuwa na makao makuu yake Dar es Salaam, Seif Maalim Seif amesema kuwa dira cha chama chake ni kuondoa umasikini Tanzania.
SEIF MAALIM SEIF NI NANI?
Mwaka 2020 Seif Maalim Seif aligombea nafasi ya urais kupita Chama cha Wakulima (Alliance for Africa Farmers Party). ambapo kupitia chama hicho mwaka 2020 Seif Maalim Seif alijipambanua kwa itikadi ya Uchumi wa Kilimo (Agricultural-based economy). Taarifa zinaonesha kuwa Seif Maalim Seif ana umri wa miaka 47. Seif anasema kuwa ni umoja pekee ndio unaweza kutatua matatizo ya nchi hii ndio maana Chama hicho kinaitwa Umoja.
Seif ni muumuni wa siasa za utulivu na kuleta mabadiliko kwa njia za majadiliano. Kwenye uchaguzi wa mwaka 2020 aliwahi kunukuliwa akipinga vikali siasa za kusambaza maneno ya uchochezi ambayo yangehatarisha amani nchini. Seif alisema kuwa vyama vyote vina lengo moja la kuongoza dola, hivyo basi lazima vifanye siasa za kiungwana, pasi kuchochea vurugu kwani Tanzania ni moja na hakuna nyingine.
ITIKADI YA CHAMA CHA UMOJA
Chama cha Umoja kinajipambanua kiitikadi kuwa kinaazimia kutumia utajiri wa rasilimali uliopo Tanzania kunufaisha wananchi kwanza na kutatua tatizo kubwa la ajiri linalowakabili watanzania. Kupitia bendera yake yenye rangi nyeupe, nyeusi, dhahabu pamoja na kijani, Seif Maalim Seif amesema kuwa nyeupe ina maana ya amani, uwazi na upendo, na kijani ni rasimali za nchi yetu, nyeusi ni uafrika wetu pamoja na dhahabu ni tafsiri kuwa nchi ya Tanzania imebarikiwa rasilimali ya madini.
Naibu Msajili wa vyama vya siasa nchini, Sisy Nyahoza amethibitisha kuwapo kwa maombi ya usajili wa Chama hicho mezani kwake, na kwamba sheria ya vyama vya siasa inawataka kutangaza kwenye gazeti la Serikali na kutoa muda kwa wananchi pamoja na vyama vya siasa kupinga jina la chama kwa ofisi ya msajili. Baada ya mchakato huo kumalizika, hatua nyingine zitafuata kama sheria inavyoelekeza
Seif Maalim Seif si mgeni kwenye siasa za Tanzania, kwenye uchaguzi wa mwaka 2020 Seif aligombea nafasi ya urais kupitia Chama cha Wakulima (AAFP).
Nyumbani - clickHabari
View attachment 1997494
View attachment 1997495
Kwa muda mrefu nimekuwa nikitamani kuanzisha chama.
Ni imami yangu kuwa raid ajae atakuwa ni "Mnachinga".
Naamini tukijiorganize vzr, sisi wamachinga ni jeshi kubwa lenye mchanganyiko mzuri wa kila weledi.
Wamachinga waliojuajuri ni zaidi ya mil 8 hadi sasa.
Wanasiasa was vyama vyote kwasasa wanajipambanua kuwasemea wamachinga ili wawavute.
Mimi naamini watakaoweza kuwatetea na kuwalinda wamachinga ni wamachinga wenyewe, kwa kuchukua nafasi hizi za kufanya maamuzi.
Kama kuna mmachinga humu na anakubaliana na hoja zangu tujuane na tujikusanye kwa ajili kufanya maamuzi haya magumu.
Ndugu yake na ACT na ni mtoto wa nne wa ccm.Disclaimer (Andiko hili ni kutoka clickhabari.com)
Imebaki miaka minne kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 nchini Tanzania. Chama kipya cha siasa kilijulikano kama Umoja Party (UP) kimeibuka kuomba usajili wa muda. Chama hicho tayari kimewasilisha maombi ya usajili wa muda ili kuanza kutafuta wadhamini kwa lengo la kupata usajili wa kudumu. Mwenyekiti wa chama hicho kitakachokuwa na makao makuu yake Dar es Salaam, Seif Maalim Seif amesema kuwa dira cha chama chake ni kuondoa umasikini Tanzania.
SEIF MAALIM SEIF NI NANI?
Mwaka 2020 Seif Maalim Seif aligombea nafasi ya urais kupita Chama cha Wakulima (Alliance for Africa Farmers Party). ambapo kupitia chama hicho mwaka 2020 Seif Maalim Seif alijipambanua kwa itikadi ya Uchumi wa Kilimo (Agricultural-based economy). Taarifa zinaonesha kuwa Seif Maalim Seif ana umri wa miaka 47. Seif anasema kuwa ni umoja pekee ndio unaweza kutatua matatizo ya nchi hii ndio maana Chama hicho kinaitwa Umoja.
Seif ni muumuni wa siasa za utulivu na kuleta mabadiliko kwa njia za majadiliano. Kwenye uchaguzi wa mwaka 2020 aliwahi kunukuliwa akipinga vikali siasa za kusambaza maneno ya uchochezi ambayo yangehatarisha amani nchini. Seif alisema kuwa vyama vyote vina lengo moja la kuongoza dola, hivyo basi lazima vifanye siasa za kiungwana, pasi kuchochea vurugu kwani Tanzania ni moja na hakuna nyingine.
ITIKADI YA CHAMA CHA UMOJA
Chama cha Umoja kinajipambanua kiitikadi kuwa kinaazimia kutumia utajiri wa rasilimali uliopo Tanzania kunufaisha wananchi kwanza na kutatua tatizo kubwa la ajiri linalowakabili watanzania. Kupitia bendera yake yenye rangi nyeupe, nyeusi, dhahabu pamoja na kijani, Seif Maalim Seif amesema kuwa nyeupe ina maana ya amani, uwazi na upendo, na kijani ni rasimali za nchi yetu, nyeusi ni uafrika wetu pamoja na dhahabu ni tafsiri kuwa nchi ya Tanzania imebarikiwa rasilimali ya madini.
Naibu Msajili wa vyama vya siasa nchini, Sisy Nyahoza amethibitisha kuwapo kwa maombi ya usajili wa Chama hicho mezani kwake, na kwamba sheria ya vyama vya siasa inawataka kutangaza kwenye gazeti la Serikali na kutoa muda kwa wananchi pamoja na vyama vya siasa kupinga jina la chama kwa ofisi ya msajili. Baada ya mchakato huo kumalizika, hatua nyingine zitafuata kama sheria inavyoelekeza
Seif Maalim Seif si mgeni kwenye siasa za Tanzania, kwenye uchaguzi wa mwaka 2020 Seif aligombea nafasi ya urais kupitia Chama cha Wakulima (AAFP)
View attachment 1997494
View attachment 1997495
Wanawadanganya wajinga wenzao tu lkn kwa watu makini hatudanganyiki na huo upotolo waoAiseeh! Hii nchi hii, inaongozwa na chama kisichojiamini, Pamoja na kuwasweka ndani na kuwaziba midomo wapinzani bado mna mbinu zile zile za karne ya 19 ya kulundika Vyama watoto!
Huyo jamaa huyo kwa kumuangalia TU hayuko smart kisiasa, yupo yupo TU Kama mpiga dili kwa mgongo wa chama huku akibebelewa kwenye mbelezo ya CCM!
Ukianzisha chama cha upinzani wa kweli basi zawadi utakayo ipata ni .Hivi nikianzisha chama naweza pata marupurupu gani hata kama sina mgombea aliyeshinda hata mmoja nchi nzima?
Nakuunga mkono kwa 100%Ahahahahahahahahaaaaaaaaaaa akiamungu yani ukimtizama utajua katumwa,,,, Chama cha upinzani kwa sasa angalau kwa 60% ni Chadema tu,,, Vyama vilivyobaki vinaongozwa na wanafiki ni ngumu kuviamini vyote kwa ujumla wake navipa 3% ya kuwa vyama vya mageuzi
Umaarufu unasaidia nini ndani ya jamii?Utakuwa maarufu kama Mzee Wa Ubwabwa, kina marehemu Mtikila au Fahmi Dovutwa.
Akubali masharti ya kuwa kama remoteYeah, ila isiwazingue wenye mpini tu.
Aliamua mwenyewe kujizika kisiasaMuulize mzee wa pumba