Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Nimeamini kuwa kuzaa siyo kupata.Naona dalili ya chama chenye sera makini na chenye uwezo wa kujenga hoja karibu sana muda kinaweza kuwa chama kikuu cha upinzani!
Wazee wako naona machozi hayawakauki kila wanapo kuona.