Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi nianze kumpongeza DKT Mwigulu Nchemba kwa kazi yake kama mwanasiasa na gwiji wa mbinu za ushindi ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) Kwanini mwigulu nchemba na VIjana wengine ndani ya CCM ni mmoja wa mtu wa mbinu hatari za ushindi tangu akiwa shule .kwa mwenye kumbukumbu nzuri huyu ndiye aliye kuwa master mind uchaguzi mdogo jimbo la Igunga hilo halina ubishi ,kwani ushindi wa DKT.DALALI ulichangiwa kwa kiasi kikubwa na mbinu za mtalaam huyu wa uchumi. kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2015 kijana huyu alikuwa mwiba mkali saana kwa upinzani hili halina ubishi. Hata hivyo jimboni kwake huwezi kutaja Iramba magharibi bila kumtaja mwigulu .anayedhani mimi mwongo asubiri huyu prof.uchwara Mkumbo kwani kama atajitokeza kumpinga mwigulu kuna uwezekano mkubwa kupoteza nafasi ya ukatibu mkuu wizara ya maji na kurudi kufundisha kama fani yake ilivyo.
MWIGULU NI NANI SUBIRI MAKALA ZIJAZO CCM OYEEEE MAGUFULI OYEEEEE
By mnkondya
0628227033
We umeleta masiasa mengi katika Uzi wako but elewa hakuna Mwenye hati milkBinafsi nianze kumpongeza DKT Mwigulu Nchemba kwa kazi yake kama mwanasiasa na gwiji wa mbinu za ushindi ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) Kwanini mwigulu nchemba na VIjana wengine ndani ya CCM ni mmoja wa mtu wa mbinu hatari za ushindi tangu akiwa shule .kwa mwenye kumbukumbu nzuri huyu ndiye aliye kuwa master mind uchaguzi mdogo jimbo la Igunga hilo halina ubishi ,kwani ushindi wa DKT.DALALI ulichangiwa kwa kiasi kikubwa na mbinu za mtalaam huyu wa uchumi. kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2015 kijana huyu alikuwa mwiba mkali saana kwa upinzani hili halina ubishi. Hata hivyo jimboni kwake huwezi kutaja Iramba magharibi bila kumtaja mwigulu .anayedhani mimi mwongo asubiri huyu prof.uchwara Mkumbo kwani kama atajitokeza kumpinga mwigulu kuna uwezekano mkubwa kupoteza nafasi ya ukatibu mkuu wizara ya maji na kurudi kufundisha kama fani yake ilivyo.
MWIGULU NI NANI SUBIRI MAKALA ZIJAZO CCM OYEEEE MAGUFULI OYEEEEE
By mnkondya
0628227033
Kafute yale maadishi kwenye madaraja na majabali maeneo mbalimbali TanzaniaBinafsi nianze kumpongeza DKT Mwigulu Nchemba kwa kazi yake kama mwanasiasa na gwiji wa mbinu za ushindi ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) Kwanini mwigulu nchemba na VIjana wengine ndani ya CCM ni mmoja wa mtu wa mbinu hatari za ushindi tangu akiwa shule .kwa mwenye kumbukumbu nzuri huyu ndiye aliye kuwa master mind uchaguzi mdogo jimbo la Igunga hilo halina ubishi ,kwani ushindi wa DKT.DALALI ulichangiwa kwa kiasi kikubwa na mbinu za mtalaam huyu wa uchumi. kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2015 kijana huyu alikuwa mwiba mkali saana kwa upinzani hili halina ubishi. Hata hivyo jimboni kwake huwezi kutaja Iramba magharibi bila kumtaja mwigulu .anayedhani mimi mwongo asubiri huyu prof.uchwara Mkumbo kwani kama atajitokeza kumpinga mwigulu kuna uwezekano mkubwa kupoteza nafasi ya ukatibu mkuu wizara ya maji na kurudi kufundisha kama fani yake ilivyo.
MWIGULU NI NANI SUBIRI MAKALA ZIJAZO CCM OYEEEE MAGUFULI OYEEEEE
By mnkondya
0628227033
Wewe ndo ulikuwa katika kikosi kazi cha kuchora maandishi kwenye mawe njianiBinafsi nianze kumpongeza DKT Mwigulu Nchemba kwa kazi yake kama mwanasiasa na gwiji wa mbinu za ushindi ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) Kwanini mwigulu nchemba na VIjana wengine ndani ya CCM ni mmoja wa mtu wa mbinu hatari za ushindi tangu akiwa shule .kwa mwenye kumbukumbu nzuri huyu ndiye aliye kuwa master mind uchaguzi mdogo jimbo la Igunga hilo halina ubishi ,kwani ushindi wa DKT.DALALI ulichangiwa kwa kiasi kikubwa na mbinu za mtalaam huyu wa uchumi. kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2015 kijana huyu alikuwa mwiba mkali saana kwa upinzani hili halina ubishi. Hata hivyo jimboni kwake huwezi kutaja Iramba magharibi bila kumtaja mwigulu .anayedhani mimi mwongo asubiri huyu prof.uchwara Mkumbo kwani kama atajitokeza kumpinga mwigulu kuna uwezekano mkubwa kupoteza nafasi ya ukatibu mkuu wizara ya maji na kurudi kufundisha kama fani yake ilivyo.
MWIGULU NI NANI SUBIRI MAKALA ZIJAZO CCM OYEEEE MAGUFULI OYEEEEE
By mnkondya
0628227033
Huyo ni Mnyiha si Mnamwanga.Naona ndg yng mkondya from mbozi kaamua kuwa mpiga debe wa mwingulu..mnyamwaga
PhD yake ni kashifa. Alifanyiwa na Adolph Mkenda, kisha naye akamwezesha Mkenda kuukwaa naibu Katibu Kuu, Fedha enzi za Kikwete.Binafsi nianze kumpongeza DKT Mwigulu Nchemba kwa kazi yake kama mwanasiasa na gwiji wa mbinu za ushindi ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) Kwanini mwigulu Nchemba na VIjana wengine ndani ya CCM ni mmoja wa mtu wa mbinu hatari za ushindi tangu akiwa shule .kwa mwenye kumbukumbu nzuri huyu ndiye aliye kuwa master mind uchaguzi mdogo jimbo la Igunga hilo halina ubishi ,kwani ushindi wa DKT.DALALI ulichangiwa kwa kiasi kikubwa na mbinu za mtalaam huyu wa uchumi. kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2015 kijana huyu alikuwa mwiba mkali saana kwa upinzani hili halina ubishi.
Hata hivyo jimboni kwake huwezi kutaja Iramba magharibi bila kumtaja mwigulu .anayedhani mimi mwongo asubiri huyu prof.uchwara Mkumbo kwani kama atajitokeza kumpinga mwigulu kuna uwezekano mkubwa kupoteza nafasi ya ukatibu mkuu wizara ya maji na kurudi kufundisha kama fani yake ilivyo.
MWIGULU NI NANI SUBIRI MAKALA ZIJAZO CCM OYEEEE MAGUFULI OYEEEEE
By mnkondya
0628227033
Alafu itusaidie nini sisi?Binafsi nianze kumpongeza DKT Mwigulu Nchemba kwa kazi yake kama mwanasiasa na gwiji wa mbinu za ushindi ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) Kwanini mwigulu Nchemba na VIjana wengine ndani ya CCM ni mmoja wa mtu wa mbinu hatari za ushindi tangu akiwa shule .kwa mwenye kumbukumbu nzuri huyu ndiye aliye kuwa master mind uchaguzi mdogo jimbo la Igunga hilo halina ubishi ,kwani ushindi wa DKT.DALALI ulichangiwa kwa kiasi kikubwa na mbinu za mtalaam huyu wa uchumi. kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2015 kijana huyu alikuwa mwiba mkali saana kwa upinzani hili halina ubishi.
Hata hivyo jimboni kwake huwezi kutaja Iramba magharibi bila kumtaja mwigulu .anayedhani mimi mwongo asubiri huyu prof.uchwara Mkumbo kwani kama atajitokeza kumpinga mwigulu kuna uwezekano mkubwa kupoteza nafasi ya ukatibu mkuu wizara ya maji na kurudi kufundisha kama fani yake ilivyo.
MWIGULU NI NANI SUBIRI MAKALA ZIJAZO CCM OYEEEE MAGUFULI OYEEEEE
By mnkondya
0628227033
Binafsi nianze kumpongeza DKT Mwigulu Nchemba kwa kazi yake kama mwanasiasa na gwiji wa mbinu za ushindi ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) Kwanini mwigulu Nchemba na VIjana wengine ndani ya CCM ni mmoja wa mtu wa mbinu hatari za ushindi tangu akiwa shule .kwa mwenye kumbukumbu nzuri huyu ndiye aliye kuwa master mind uchaguzi mdogo jimbo la Igunga hilo halina ubishi ,kwani ushindi wa DKT.DALALI ulichangiwa kwa kiasi kikubwa na mbinu za mtalaam huyu wa uchumi. kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2015 kijana huyu alikuwa mwiba mkali saana kwa upinzani hili halina ubishi.
Hata hivyo jimboni kwake huwezi kutaja Iramba magharibi bila kumtaja mwigulu .anayedhani mimi mwongo asubiri huyu prof.uchwara Mkumbo kwani kama atajitokeza kumpinga mwigulu kuna uwezekano mkubwa kupoteza nafasi ya ukatibu mkuu wizara ya maji na kurudi kufundisha kama fani yake ilivyo.
MWIGULU NI NANI SUBIRI MAKALA ZIJAZO CCM OYEEEE MAGUFULI OYEEEEE
By mnkondya
0628227033
Jimbo tunampa , Kitila Mkumbo.
Unaudhalilisha ukoo wa Mnkondya kwa kuja kumsifia mafia aliyejaa damu zisizo na hatia mikononi mwake. Hivi umekosa kazi ya kufanya au?
Kitila Mkumbo ndo anapaswa kuwa Mbunge 2020-2025
Sisi wanaccm tulishamkataa mwigulu Kwenye Jimbo letu la IRAMBA mwaka huu tunahitaji mabadiliko na Kura zetu zote zitaenda Kwa kitila mkumbo
Umetumwa tena?haya jaribu mara nyingne