Huyu ndiye Mwigulu Nchemba

Siasa za ccm ni rahisi sana ! Ukitaka ukumbukwe kwenye uwaziri we TISHIA kugombea urais tu !
 
mmepewa pesa ili mumpigie debe huyo mpuuzi mwenzenu nn? eti nchema nchemba haaaaa! hafai kabisa na kama amewahonga ili mumsaidie mwambieni ukweli kwamba hakubaliki hata kidogo

Kama humkubali ni wewe ila sisi Watanzania tuliowengi masikini na wanyonge wa nchi hii mtetezi wetu sisi ni Mwigulu na ndiye tunayemtaka awe Rais wetu 2015
 
Kwenye hii rasimu ya mafisadi kura yake ilikuwa NDIYO au HAPANA?Wake me up when you come up with the answer of NO!
 
Siasa za ccm ni rahisi sana ! Ukitaka ukumbukwe kwenye uwaziri we TISHIA kugombea urais tu !

Sikulau kwani huo ndio mwisho wa uwezo wako wa kufikiri. Watu wanaongea mambo muhimu kwa mustakabari wa taifa wewe unaleta uzwazwa shame on you.
 
Huyu jamaa mi namkubali sana he is focused, realistic and seems to b patriotic na mengine mengi... lakini si kila anayefanya vizuri basi awe rais chamsingi next muhula apewe uwaziri kamili wa fedha ili tumuassess vizuri.
Tanzania ina tatizo kubwa la kimfumo I.e everything is centralised nothing is independent na mbaya zaidi mfumo wote upo corrupted.
 
Acha tu awe rais,
Hakuna jina lililokuwa safi zaidi ya hilo.
 
MPANGO WA MUNGUE Waambie na wakwepa kodi wenzako mtafute urais maana Mwigulu hataki mzaha na masuala nyeti ya kitaifa
 
Last edited by a moderator:
Hata kama atakuwa ni kiongozi mzuri kwenye usimamizi wa fedha bado ana tatizo moja kubwa sana tena sana ana jazba na kiburi na pia ni mzuri wa kuratibu mambo ya kiuharamia zaidi kuliko uzuri wake wa kiutendaji,Matukio mengi ya mauaji ya raia walio kinyume na ccm yaliwahi kutokea na yeye kutuhumiwa kuhusika kwa namna fulani kwa hiyo mtu kama huyu akiwa rais watakufa raia wengi sana wenda hata ww unaempigia upatu hapa mkiwa tofauti baadae atakupoteza ni vizuri watz tungekuwa tunaona mbali na kutafuta viongozi thabiti kwa faida yetu na ya kizazi kijacho
 
Sikulau kwani huo ndio mwisho wa uwezo wako wa kufikiri. Watu wanaongea mambo muhimu kwa mustakabari wa taifa wewe unaleta uzwazwa shame on you.

Kwi! Kwi! Kwiii!!! Mapovu ya nini sasa mjomba ?
 
Acha uongo ametatuaje kero za walimu?umesahau siku ya walimu mpaka policcm wakavunja mabango yao!
 

Attachments

  • 1413637669886.jpg
    98.2 KB · Views: 126
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…