Huyu ndiye Mwigulu Nchemba

Mwigulu Nchemba ndio Rais 2015 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania maana ni Mwadilifu, Mzalendo na Mwajibikaji katika Uongozi.

Haki ya kuwania sawa lakini maelezo ni mafupi.Hapa ni ISSUES sio ngonjela.ndio mtihani wa mwanzo.Kufaulu swali mmoja sio kwamba umefahulu paper nzima au mtihani mzima.Kwa mwendo huu ni ngumu.
 
Kwa maoni yangu walau huyu Mwigulu anafaa kuingia katika kinyang'anyiro cha urais ndani ya CCM na siyo January Makamba. Tukiwapima kwa hoja zao na matendo yao ndani na nje ya bunge tutaona kuwa katika CCM kuna Mwigulu na Deo Filikunjombe wanafaa kuingia katika mbio za urais. Itakuwa vema kama watajitokeza wanachama wengine ambao hatuwajui bado tuweze kufanya uchaguzi. Upinzani unakatisha tamaa kwa kunadi Dr Slaa ambaye umri umeenda wakati tunahitaji kijana mwenye mawazo mapya na namna mpya ya kufanya kazi.
 
Uzalendo sio kuzungumzia escrow tu!!! Kama watu wameshazungumza yeye nae azungumze ile iweje!!! Tusubiri report ndio utajua atazungumza au laaa!!! Sio kupigapiga makelele ili tu na wewe uonekane unajua issue ya escrow! !!
Kuna baadhi ya wabunge hata hio issue ya escrow hawaijui but mikelele tu na umaarufu wa kirahisirahisi
Mwigulu ni taswira mpya yenye matumaini mapya
 
Haki ya kuwania sawa lakini maelezo ni mafupi.Hapa ni ISSUES sio ngonjela.ndio mtihani wa mwanzo.Kufaulu swali mmoja sio kwamba umefahulu paper nzima au mtihani mzima.Kwa mwendo huu ni ngumu.

Mwigulu anaweza sana
 

Kama ulivyo wewe!Nakuonea huruma,huli hulali ni Nchemba Nchemba mwambie basi akupe mtu wa ukoo wake umuoe au akuoe.
 
Mwigulu si ndo alikuja na bomu arusha?
Bomu lakichina nakuuwa watu wengi soweto?
 
Kama ulivyo wewe!Nakuonea huruma,huli hulali ni Nchemba Nchemba mwambie basi akupe mtu wa ukoo wake umuoe au akuoe.

Ahsante kwa Ushauri
Lakini Mwigulu ni kiongozi makini mwenye maono makubwa kama Kijana
 
jamani msituletee vichefuchefu vingine kama mwigullu.mwigulu aachwe ajihusishe vizuri naakina juliana shonza
 
Ahsante kwa Ushauri
Lakini Mwigulu ni kiongozi makini mwenye maono makubwa kama Kijana View attachment 202051

Sana unamtusi MWalimi Nyerere.Mwalimu hakuwa na chuki wala visasi.Hebu muone huyo uanyemfanyia matangazo utadhani ni biashara.Kumbuka kila mara kizuri cha jiuza kibaya cha jitembeza.Sasa kama ni kizuri kwanini unakitembeza si mpaka tukione ni kizuri tukinunue?

Wenzako tushajua unachotaka amekupromise uwaziri mkuu au ugombea mwenza?Hebu sasa imetosha unatubore tu na huyo muuajia wako.
 
Nabii mmoja amewatangazia waumini wake katika Kanisa lililopo Swaswa Dodoma kuwa rais ajae ni Mwigulu Nchemba aidha inasemekama vigogo mbalimbali wameanza kusali kwa nabii huyo.
 
Uongo mnaondika hapa ndio chanzo kikubwa cha kumrudisha nyuma, pia sifa zisizo za kweli/ambazo hastahili kupewa ndizo zilizo mundoa Lusifa mbinguni! Kuna haja ya Mwgulu kutrain team yake ili iweze kumfanyia kazi ktk ukweli na uhalisia.

Kila siku mnaleta hoja ambazo bdala ya kumpandisha chati mh Mwgulu bali zinamshusha. Pia nina shaka sana kuwa hi team ni ya maadui wa Mwgulu na wala sio wanaomtakia mema! I doubt!
 
Nabii mmoja amewatangazia waumini wake latika Kanisa lililopo Swaswa Dodoma kuwa rais ajae ni Mwigulu Nchemba aidha inasemekama vigogo mbalimbali wameanza kusali kwa nabii huyo.
Yeye ana unasaba na Mkuu wa Kaya? "Chagueni mwenye umri unaolingana lingana na mimi nilipoingia madarakani....JK" .. na 'Mwana wa Muhunzi asiposana hufukuta'...Mimi napita tu.
 
Nabii mmoja amewatangazia waumini wake latika Kanisa lililopo Swaswa Dodoma kuwa rais ajae ni Mwigulu Nchemba aidha inasemekama vigogo mbalimbali wameanza kusali kwa nabii huyo.

Duh: Swaswa dodoma hiyo kali anakikombe au ananini?
 
Watanzania sijui tunaugua ugonjwa gani mpaka mtu anaamini propaganda za kitoto kama hizi
 
Hii vita ya kwenda Ikulu inaleta propaganda ambazo hata watoto wadogo hawawezi kuamini
 
Jamani manabii wengine wamuogope mungu kanisani ni mahala patakatifu kwa ajili ya ibada si ukumbi wa siasa
 
Kwa nini Mwigulu anatumia team ya wajinga kumnadi? Au naye ni mjinga hivyo hajitambui?
 
Huyu nabii atakuwa na njaa kali kupita kiasi, unaweza kukuta akitoka kutoa unabiii uchwara! anauza mpaka gongo ili mradi aweke kitu tumboni
 
Nabii mmoja amewatangazia waumini wake katika Kanisa lililopo Swaswa Dodoma kuwa rais ajae ni Mwigulu Nchemba aidha inasemekama vigogo mbalimbali wameanza kusali kwa nabii huyo.
Wacheni uvivu wa kuomba kwa Mungu, unabii hauko hivyo! Manabii wa kale walikuwa ni waombaji wazuri sana,Biblia inasema zamani za mfalme Ahabu nabii Eliya alisema "kama Bwana aishivyo haitanyesha mvua ila kwa neno langu" naye akaomba kwa bidii na mvua haikunyesha. Ulipofika wakati akaomba kwa bidii mvua ikanyesha. Sasa mjue kuwa unabii unawapasa watu wanaojua kuomba kweli kweli na siyo porojo na ushabiki wa kisiasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…