sblandes
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 6,632
- 4,737
Mwigulu Nchemba ndio Rais 2015 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania maana ni Mwadilifu, Mzalendo na Mwajibikaji katika Uongozi.
Haki ya kuwania sawa lakini maelezo ni mafupi.Hapa ni ISSUES sio ngonjela.ndio mtihani wa mwanzo.Kufaulu swali mmoja sio kwamba umefahulu paper nzima au mtihani mzima.Kwa mwendo huu ni ngumu.
