Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika hali ya kuonesha kuwa Mwigulu anazidi kupenya kwenye Vichwa vya watanzania wengi,Wanasiasa,Wanafunzi,Wakulima na Wafugaji.
Zitto Kabwe ambaye anatajwa kuwa Mwanasiasa bora Nchini Tanzania katika Uga wa Kusimamia anachokisema na kukijengea hoja,Zitto Kabwe wakati huu taifa likielekea Uchaguzi Mkuu 2015 ameamua kuweka bayana kuwa Mwigulu ni Mgombea Urais 2015 anayemkubali zaidi.
Kupitia Ukurasa wake wa Facebook mbali na maongezi marefu zaidi waliyoyafanya jana kwenye kikao kisichorasimi yeye na wanasiasa wengine akaamua kuutangazia Umma kuwa mwigulu ndiye Mgombea Urais.
Vijana wakijipanga wanaweza kunyakua nchi.
jamiiforums inageuzwa jukwaa la kijadir upuuzi na wapuuzi
iko kwenye ukurasa wake wa facebook.
Magamba a.k.a Lumumba B7 fc bila shaka ndiyo target yako au siyo?Hapa utakuwa umewaudhi wanywa viroba naona wanafuta punzi
Hapa utakuwa umewaudhi wanywa viroba naona wanafuta punzi
Hata nami naanza kumwangalia kwa mtazamo tofauti na ule wa mwanzo
Hapana, anatumikia mmoja wa wasaka urais. Ujinga uliopitiliza kuihusisha kamati ya bunge na vita za njaa zao.hiyo statement ni tata sana
zitto anautaka urais na mwigilu anautaka urais
Katika hali ya kuonesha kuwa Mwigulu anazidi kupenya kwenye Vichwa vya watanzania wengi,Wanasiasa,Wanafunzi,Wakulima na Wafugaji.
Zitto Kabwe ambaye anatajwa kuwa Mwanasiasa bora Nchini Tanzania katika Uga wa Kusimamia anachokisema na kukijengea hoja,Zitto Kabwe wakati huu taifa likielekea Uchaguzi Mkuu 2015 ameamua kuweka bayana kuwa Mwigulu ni Mgombea Urais 2015 anayemkubali zaidi.
Kupitia Ukurasa wake wa Facebook mbali na maongezi marefu zaidi waliyoyafanya jana kwenye kikao kisichorasimi yeye na wanasiasa wengine akaamua kuutangazia Umma kuwa mwigulu ndiye Mgombea Urais.
hiyo statement ni tata sana
zitto anautaka urais na mwigilu anautaka urais