Huyu ndiye Naibu Waziri wa Mipango na uwekezaji!

Huyu ndiye Naibu Waziri wa Mipango na uwekezaji!

Huyo Nyongo inaonesha wengi hamumfahamu. Kabla ya siasa amefanya kazi sana kwenye pharmaceutical industry kimataifa. Mambo ya madawa na biashara za madawa anazijua sana.
 
Huyo Nyongo inaonesha wengi hamumfahamu. Kabla ya siasa amefanya kazi sana kwenye pharmaceutical industry kimataifa. Mambo ya madawa na biashara za madawa anazijua sana.
Sasa kwa nini anazungumza mambo ya ajabu ajabu mithili ya hadithi za Abunuwasi kuhusu madawa na biashara ya madawa?
 
Sasa kwa nini anazungumza mambo ya ajabu ajabu mithili ya hadithi za Abunuwasi kuhusu madawa na biashara ya madawa?
Kwani hata wewe hujiulizi Aids tangu 1980s haina chanjo, halafu covid 19 imeingia na chanjo imepatikana? Kwani ni uongo hizo chanjo na madawa kiujumla ni biashara kubwa za watu?
 
Kwani hata wewe hujiulizi Aids tangu 1980s haina chanjo, halafu covid 19 imeingia na chanjo imepatikana? Kwani ni uongo hizo chanjo na madawa kiujumla ni biashara kubwa za watu?
Nitakufundisha na wewe ukamfundishe huyo Nyongo aliyebobea biashara ya madawa sababu za ugumu wa kupata chanjo ya HIV, ni sayansi ngumu kidogo ila nitajitahidi kutumia maelezo mepesi ambayo hata ngumbaru anaweza kuelewa

1. Kirusi cha HIV ni tofauti na viruses vingine vyote kwa sababu chenyewe kikiingia mwilini huwa kinajiunganisha(intergrate) na DNA ya seli za mwili wa binadamu na hivyo kuleta ugumu wa kutengeneza chanjo kwa sababu chanjo huwa inatumia virusi vya ugonjwa wenyewe na katika mazingira haya hiyo chanjo ya HIV inaweza kugeuka ugonjwa wenyewe halisi au inashindwa kutofautisha seli za HIV za kushambulia na seli nzima za mwili zisizotakiwa kushambuliwa.

2. Uwezo wa hali ya juu wa kirusi cha HIV kubadilika katika strains/forms mbalimbali unafanya utengenezaji wa chanjo kuwa mgumu.
 
Kwani ni uongo hizo chanjo na madawa kiujumla ni biashara kubwa za watu?
Nini ambacho sio biashara kubwa za watu?

Shule na vyuo ni biashara kubwa za watu kwa sababu ya ujinga.

Ujenzi ni biashara kubwa za watu na wewe unakamuliwa kodi zako kulipia barabara na miondombinu ambayo hutawahi hata kukanyaga.

Ulinzi ni biashara kubwa za watu na wewe unakatwa kodi zako kununua mabilioni ya silaha kila mwaka

Kilimo na Chakula ni biashara kubwa ya watu

Sasa kwa nini inakuwa nongwa na mnakalia conspiracies tu kampuni za madawa, biologists, wafamasia na madaktari wakipata na kulipwa pesa kupitia magonjwa??
 
Nini ambacho sio biashara kubwa za watu?

Shule na vyuo ni biashara kubwa za watu kwa sababu ya ujinga.

Ujenzi ni biashara kubwa za watu na wewe unakamuliwa kodi zako kulipia barabara na miondombinu ambayo hutawahi hata kukanyaga.

Ulinzi ni biashara kubwa za watu na wewe unakatwa kodi zako kununua mabilioni ya silaha kila mwaka

Kilimo na Chakula ni biashara kubwa ya watu

Sasa kwa nini inakuwa nongwa na mnakalia conspiracies tu kampuni za madawa, biologists, wafamasia na madaktari wakipata na kulipwa pesa kupitia magonjwa??
Okay kumbe kaongea kitu cha kawaida tu.
 
Nitakufundisha na wewe ukamfundishe huyo Nyongo aliyebobea biashara ya madawa sababu za ugumu wa kupata chanjo ya HIV, ni sayansi ngumu kidogo ila nitajitahidi kutumia maelezo mepesi ambayo hata ngumbaru anaweza kuelewa

1. Kirusi cha HIV ni tofauti na viruses vingine vyote kwa sababu chenyewe kikingia mwilini huwa kinajiunganisha(intergrate) na DNA ya seli za mwili wa binadamu na hivyo kuleta ugumu wa kutengeneza chanjo kwa sababu chanjo huwa inatumia virusi vya ugonjwa wenyewe na katika mazingira haya hiyo chanjo ya HIV inaweza kugeuka ugonjwa wenyewe halisi au inashindwa kutofautisha seli za HIV za kushambulia na seli nzima za mwili zisizotakiwa kushambuliwa.

2. Uwezo wa hali ya juu wa kirusi cha HIV kubadilika katika strains/forms mbalimbali unafanya utengenezaji wa chanjo kuwa mgumu.
Nyongo nafahamu taaluma yake. Na wewe hebu weka CV yako kwanza.
 
Back
Top Bottom