Huyu ndiye Padri Privatus Mutekanga Karugendo (1956-2021)

Yaani wanakuwaga na majina Fulani ya kipekee Sana halafu ya kiingereza sijui wanayatoa wapii?[emoji1]
Mara nyingi ndugu, jamaa na majirani wanakuwa wanayatumia Kwa sana hivyo mtoto akizaliwa yanakuja tu automatic, Kuna jina lingine Audax pia sijawahi ona kabila lingine

Ukiingia Usukumani Kuna jina la kike moja maarufu sana "Caflene wenyewe wanamwita Kefuu na kama Dodoma jina la Jailos na Job
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…