Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Mkapa alikua muandishi wa habari, kasukumizwa uraisi na kanisa katoliki pamoja na Nyerere ila ufisadi wizi wa mali za ummah aliazisha yeye.Baada ya Ben Mkapa hakutokea tena Rais ambaye alikuwa na akili katika hotuba.
Mkapa alikuwa kichwa, alikuwa na akili bahati mbaya tu alikuwa chama ambacho hakitaki watu wenye akili kuwa nazo au kuzitumia.
Sikiliza Rais akiongea..................................
View attachment 2512338
BORA HATA HUKO KWENYE HICHO CHAMA WAPO WENYE AKILI SASA KUNA LICHAMA HILO AISEE HAKUNA MWENYE AKILI HATA MMOJA KIDOGO ALIYEKUWA NA AKILI ANAPENDA USHOGA WALIOBAKI NII HASARA TUPU CHAMDOMOBaada ya Ben Mkapa hakutokea tena Rais ambaye alikuwa na akili katika hotuba.
Mkapa alikuwa kichwa, alikuwa na akili bahati mbaya tu alikuwa chama ambacho hakitaki watu wenye akili kuwa nazo au kuzitumia.
Sikiliza Rais akiongea..................................
View attachment 2512338
Baada ya Ben Mkapa hakutokea tena Rais ambaye alikuwa na akili katika hotuba.
Mkapa alikuwa kichwa, alikuwa na akili bahati mbaya tu alikuwa chama ambacho hakitaki watu wenye akili kuwa nazo au kuzitumia.
Sikiliza Rais akiongea..................................
View attachment 2512338
[Watanzania huwa hamjitambui kabisa.Nyerere alikuwa na content.Sawa.Mbona hakutusaidia kuwa na katiba imara?Mpaka Leo kila mtu anakuwa Rais.Haya Kuna kipindi mlituambia Kikwete ni Rais mwenye sura nzuri na anacheka vizuri.Alifanya nn cha maana?Sasa hivi manampenda mama kwa kuwa tu ni Rais mwanamke.Pia Lissu Mnapenda awe Rais kwa kuwa alichapwa Risasi.Hatujui Rais aweje ili tuvuke.
Nadhani ulikufa tu baada ya kipindi cha Mkapa. Maana ungeishi kipindi cha kikwete sijui ungesemaje... Ilikuwa balaa times times. Yaani ccm....Mungu aingilie kati tu....Taifa halijawahi, na pengine halitakuja tena kupata rais mwizi na jambazi wa kiwango cha mkapa.
Tapeli, jambazi, jizi...Ni kweli, Ben alikuwa akili kubwa kwelikweli.
Very brave presidentBaada ya Ben Mkapa hakutokea tena Rais ambaye alikuwa na akili katika hotuba.
Mkapa alikuwa kichwa, alikuwa na akili bahati mbaya tu alikuwa chama ambacho hakitaki watu wenye akili kuwa nazo au kuzitumia.
Sikiliza Rais akiongea..................................
View attachment 2512338
Ooh!Wizi ni sera ya Chama cha Majambazi.
MagufuliTaifa halijawahi, na pengine halitakuja tena kupata rais mwizi na jambazi wa kiwango cha mkapa.