Mkapa akili kubwa atoe wapi!?..unaipimaje akili kubwa..na hasa ya mkapa!?Ni kweli, Ben alikuwa akili kubwa kwelikweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkapa akili kubwa atoe wapi!?..unaipimaje akili kubwa..na hasa ya mkapa!?Ni kweli, Ben alikuwa akili kubwa kwelikweli.
'ubinafsishaji utaendelea,asiyetaka shauri yake' ...hizo ndiyo hotuba zenye content na akili kubwa!?Baada ya Ben Mkapa hakutokea tena Rais ambaye alikuwa na akili katika hotuba.
Mkapa alikuwa kichwa, alikuwa na akili bahati mbaya tu alikuwa chama ambacho hakitaki watu wenye akili kuwa nazo au kuzitumia.
Sikiliza Rais akiongea..................................
View attachment 2512338
Hauijui historia ya nchi yako, ungekuwa unajua nchi ilikuwaje mwaka 1995 na ilikuwaje 2005 usingeuliza hayo. Kwakifupi Ben ndiye rais bora wa muda wote wa nchi hii.Mkapa akili kubwa atoe wapi!?..unaipimaje akili kubwa..na hasa ya mkapa!?
Wakati mkapa anachukua nchi nilikua na akili timamu,mkapa hakuchukua nchi kwa nyerere,kachukua nchi kwa mwinyi,uliza mwinyi alirithi nchi gani,mkapa alichofanya Sana ni wizi tu kupitia uwekezaji,uza migodi kwa Bei za kutupa,uza mashirika ya umma kwa Bei za kutupa,kipindi chake kilikua kipindi Cha ukapa...ikiwa unajua ilimaanisha niniHauijui historia ya nchi yako, ungekuwa unajua nchi ilikuwaje mwaka 1995 na ilikuwaje 2005 usingeuliza hayo. Kwakifupi Ben ndiye rais bora wa muda wote wa nchi hii.
Wanapenda ushoga?Kwani walikutongoza?BORA HATA HUKO KWENYE HICHO CHAMA WAPO WENYE AKILI SASA KUNA LICHAMA HILO AISEE HAKUNA MWENYE AKILI HATA MMOJA KIDOGO ALIYEKUWA NA AKILI ANAPENDA USHOGA WALIOBAKI NII HASARA TUPU CHAMDOMO