Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawezi kukamata hata mwizi wa kuku ataweza Epica 10
Filikonjombe
Lukuvi au Migiro ndio possible PM's
Watu wa ukanda wa pwani ya hindi hawafai kuongoza nchi maana hata maendeleo yao binafsi ni shidaLakini kwa nini sehemu zenye maendeleo tz na watu wake wameelimika ndo upinzani uumekomaa. Moshi, pemba, Dar, mbeya nk Katika uchumi huria maskini Hawezi kutawala Tajiri. Hata akitawala ataendeshwa kama remote control ya tv hatakuwa na maamuzi ya kwake Ila ya Tajiri
Watu wa ukanda wa pwani ya hindi hawafai kuongoza nchi maana hata maendeleo yao binafsi ni shida
Mwakyembe na muhongo ndiyo wenyewe mkuu
Wewewewe Mzee MWCHACHE akisikia hilo jina la Tatu moyo unaripuka puuuuuu..yan anajuta alichofanya..na mm nasema awe waziri mkuu tu maana hakuna namna nyingine sasa na kwa maslahi ya visima vyetu vya gesi na mafuta
Kawakama sisi tunachagua raisi wa Tanzania. Hio sura yako na jina lako linafanana na wale Bushmen. Nakuripoti uhamiaji wakufuatile huna haki ya kupiga kura nchi hii. Ukapige kura Botswana au Namibia. Lowasa ni raisi wa Tanzania 2015.
Umofia kwenu wana JF,
Wanasiasa wote pindi wanapokuwa wametia nia ya kutaka kuongoza nchi katika nafasi ya juu kabisa ya kisiasa duniani, kitu cha kwanza kabisa ni lazima mwanasiasa huyo awe na TEAM yake itakayomsaidia kufikia malengo yake ya kuongoza nchi, kama ndivyo ivyo basi #TEAM_YA_MAGUFULI ikiongozwa na secretariate ya CHAMA CHA MAPINDUZI imeshakwishajihakikishia ushindi mnono wa URAIS 25-10-2015 kutokana na kukubalika sana kwa mgombea wao JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI mabaye anaonekana kutokuwa na mpinzani katika nafasi hiyo baada ya mgombea wa UKAWA kuonekana kushindwa japo kumaliza tu kampeni zinazoendelea kutokana na afya yake kuzidi kuzorota kila siku hali inayowatia hofu VIONGOZI WAANDAMIZI WA UKAWA.
Narejea kwenye lengo la uzi huu la kuwaonesha WAZIRI MKUU wa serikali ya awamu ya tano ya CCM CHINI YA TINGATINGA DR JOHN POMBE MAGUFULI. waziri mkuu atatoka kati ya hawa watu makini watatu
1.DR HARRISSON GEORGE MWAKYEMBE
2.FIELD MARSHALL Mwigulu Nchemba
3.PROF.SOSPETER MUHONGO
Hivyo basi piga ua galagaza WAZIRI MKUU wa serikali ya awamu ya tano ya CCM CHINI YA TINGATINGA MAGUFULI atatoka kati ya huo UTATU MTAKATIFU.
By kawakama
lowassa ndiye raisi ajae