Elections 2015 Huyu ndiye Waziri Mkuu wa Magufuli

Elections 2015 Huyu ndiye Waziri Mkuu wa Magufuli

Lakini kwa nini sehemu zenye maendeleo tz na watu wake wameelimika ndo upinzani uumekomaa. Moshi, pemba, Dar, mbeya nk Katika uchumi huria maskini Hawezi kutawala Tajiri. Hata akitawala ataendeshwa kama remote control ya tv hatakuwa na maamuzi ya kwake Ila ya Tajiri
Watu wa ukanda wa pwani ya hindi hawafai kuongoza nchi maana hata maendeleo yao binafsi ni shida
 
Mie.namuhofia Lukuvi tho sijawah mpenda hata mwelewa
 
PM Lukuvi ila namuonea huruma Pombe akiwa Rais na PM wake huyo baba , watagombana tu, wote vichwa vigumu! Watagombana tu lazima! Labda li Mwanry, maana sio senior kwa Pombe! Anyway ila Rais ni Lowasa! Ndoto mchana kwa Pombe imeisha!
 
Watu wa kusomba kwenda kuangalia wasanii hao nao ni wa kusema...ccm hovyo daima
 
Wewewewe Mzee MWCHACHE akisikia hilo jina la Tatu moyo unaripuka puuuuuu..yan anajuta alichofanya..na mm nasema awe waziri mkuu tu maana hakuna namna nyingine sasa na kwa maslahi ya visima vyetu vya gesi na mafuta

Hahaaaa!! Nimependa comment yako ndg
 
hahahah basi sawa mkuu kaniripoti, umenichekesha sana mkuu..ahsante

Kawakama sisi tunachagua raisi wa Tanzania. Hio sura yako na jina lako linafanana na wale Bushmen. Nakuripoti uhamiaji wakufuatile huna haki ya kupiga kura nchi hii. Ukapige kura Botswana au Namibia. Lowasa ni raisi wa Tanzania 2015.
 
Hapo waziri awe Muhongo tu tumechoka ubabaishaji
 
Umofia kwenu wana JF,

Wanasiasa wote pindi wanapokuwa wametia nia ya kutaka kuongoza nchi katika nafasi ya juu kabisa ya kisiasa duniani, kitu cha kwanza kabisa ni lazima mwanasiasa huyo awe na TEAM yake itakayomsaidia kufikia malengo yake ya kuongoza nchi, kama ndivyo ivyo basi #TEAM_YA_MAGUFULI ikiongozwa na secretariate ya CHAMA CHA MAPINDUZI imeshakwishajihakikishia ushindi mnono wa URAIS 25-10-2015 kutokana na kukubalika sana kwa mgombea wao JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI mabaye anaonekana kutokuwa na mpinzani katika nafasi hiyo baada ya mgombea wa UKAWA kuonekana kushindwa japo kumaliza tu kampeni zinazoendelea kutokana na afya yake kuzidi kuzorota kila siku hali inayowatia hofu VIONGOZI WAANDAMIZI WA UKAWA.

Narejea kwenye lengo la uzi huu la kuwaonesha WAZIRI MKUU wa serikali ya awamu ya tano ya CCM CHINI YA TINGATINGA DR JOHN POMBE MAGUFULI. waziri mkuu atatoka kati ya hawa watu makini watatu

1.DR HARRISSON GEORGE MWAKYEMBE

2.FIELD MARSHALL Mwigulu Nchemba

3.PROF.SOSPETER MUHONGO


Hivyo basi piga ua galagaza WAZIRI MKUU wa serikali ya awamu ya tano ya CCM CHINI YA TINGATINGA MAGUFULI atatoka kati ya huo UTATU MTAKATIFU.

By kawakama


Kwa taarifa yako Leo tar 15/09/2015 Chadema kupitia umoja wao wa Ukawa wapo Morogoro na huyo unaemtaja kuwa ni mgonjwa atakuwepo...

Pili kama mnajua ushindi mnao team ccm sorry team Magufuli kampeni ni za nini kwa wakati huu?.Ci mtulie msubiri kuapishwa ?....

Kwa mfumo wa ccm hata kama angalikuja malaika hawez kubadili huu mfumo....
 
CCM Imelala doroooo...ccm haiwezi kufanya campains mwaka huu bila diamond,bila akina wema sepetu etc na wameshatumia mabilions kwa kuwalipa tuu wasanii hawa...masikini CCM mwaka huu wanaendesha kampeni pamoja na fiesta.....hahahaaa
 
The big Pinda ndo kila kitu kwa magufuli
 
Back
Top Bottom