Elections 2015 Huyu ndiye Waziri Mkuu wa Magufuli

Elections 2015 Huyu ndiye Waziri Mkuu wa Magufuli

jamani ifike mahali watu mtumie akili yani mwakyembe awe pm, au mwigulu wote hao sijaona
 
Waziri mkuu wa chato au wapi wakuu?katiba inaruhusu serikali za vijiji kuwa na mawaziri wakuu siku hizi?

Usipate shida mkuu bado siku 13 magufuli aapishwe najua itauma dana lakini anza kujiandaa kisaikolojia
 
Ajipange tena ajiunge na chama cha upinzani la sivyo ataendelea kuota mchana
 
Usipate shida mkuu bado siku 13 magufuli aapishwe najua itauma dana lakini anza kujiandaa kisaikolojia

Waziri mkuu kimvuli, si unajua wapinzani huwa wanakuwa na kiongozi wa upinzani bungeni. Yeye huwa ndiye waziri mkuu.
 
Usipate shida mkuu bado siku 13 magufuli aapishwe najua itauma dana lakini anza kujiandaa kisaikolojia

Mfa maji.....!poleni sana kwa tukio litakalofuata baada ya 25/10/2015.mtatamani kulia.poleni sana ccm.
 
Umofia kwenu wana JF,

Wanasiasa wote pindi wanapokuwa wametia nia ya kutaka kuongoza nchi katika nafasi ya juu kabisa ya kisiasa duniani, kitu cha kwanza kabisa ni lazima mwanasiasa huyo awe na TEAM yake itakayomsaidia kufikia malengo yake ya kuongoza nchi, kama ndivyo ivyo basi #TEAM_YA_MAGUFULI ikiongozwa na secretariate ya CHAMA CHA MAPINDUZI imeshakwishajihakikishia ushindi mnono wa URAIS 25-10-2015 kutokana na kukubalika sana kwa mgombea wao JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI mabaye anaonekana kutokuwa na mpinzani katika nafasi hiyo baada ya mgombea wa UKAWA kuonekana kushindwa japo kumaliza tu kampeni zinazoendelea kutokana na afya yake kuzidi kuzorota kila siku hali inayowatia hofu VIONGOZI WAANDAMIZI WA UKAWA.

Narejea kwenye lengo la uzi huu la kuwaonesha WAZIRI MKUU wa serikali ya awamu ya tano ya CCM CHINI YA TINGATINGA DR JOHN POMBE MAGUFULI. waziri mkuu atatoka kati ya hawa watu makini watatu

1.DR HARRISSON GEORGE MWAKYEMBE

2.FIELD MARSHALL Mwigulu Nchemba

3.PROF.SOSPETER MUHONGO


Hivyo basi piga ua galagaza WAZIRI MKUU wa serikali ya awamu ya tano ya CCM CHINI YA TINGATINGA MAGUFULI atatoka kati ya huo UTATU MTAKATIFU.

By kawakama

Wote ni unfit.
 
Umofia kwenu wana JF,

Wanasiasa wote pindi wanapokuwa wametia nia ya kutaka kuongoza nchi katika nafasi ya juu kabisa ya kisiasa duniani, kitu cha kwanza kabisa ni lazima mwanasiasa huyo awe na TEAM yake itakayomsaidia kufikia malengo yake ya kuongoza nchi, kama ndivyo ivyo basi #TEAM_YA_MAGUFULI ikiongozwa na secretariate ya CHAMA CHA MAPINDUZI imeshakwishajihakikishia ushindi mnono wa URAIS 25-10-2015 kutokana na kukubalika sana kwa mgombea wao JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI mabaye anaonekana kutokuwa na mpinzani katika nafasi hiyo baada ya mgombea wa UKAWA kuonekana kushindwa japo kumaliza tu kampeni zinazoendelea kutokana na afya yake kuzidi kuzorota kila siku hali inayowatia hofu VIONGOZI WAANDAMIZI WA UKAWA.

Narejea kwenye lengo la uzi huu la kuwaonesha WAZIRI MKUU wa serikali ya awamu ya tano ya CCM CHINI YA TINGATINGA DR JOHN POMBE MAGUFULI. waziri mkuu atatoka kati ya hawa watu makini watatu

1.DR HARRISSON GEORGE MWAKYEMBE

2.FIELD MARSHALL Mwigulu Nchemba

3.PROF.SOSPETER MUHONGO


Hivyo basi piga ua galagaza WAZIRI MKUU wa serikali ya awamu ya tano ya CCM CHINI YA TINGATINGA MAGUFULI atatoka kati ya huo UTATU MTAKATIFU.

By kawakama

Vangimembe ana uzoefu wa mambo ya bunge na ni senior minister,kwa vigezo hapo hakuna wa kumfikia
 
William Lukuvi hajui kiingereza na Gufuli Hali kadhalika! Siijui wataongea nini wakienda UN au mialiko kimataifa! Aibuuuuu
 
Mwakyembe anafaa siyo mwoga ....spidi ya Magufuliii inatishaaa
 
Back
Top Bottom