siku hizi tunadharauliana sana mkuu et?Sekunde 1 ngumi tisa. π€ π€
Acha tusiku hizi tunadharauliana sana mkuu et?
BRUCE LEE aliweka rekodi ya kurusha punje ya mchele hewani na kuidaka kwa kutumia kijiti chembamba Cha kulia chakula(chop stick).
Bruce Lee alikuwa na uwezo wa kupiga ngumi Tisa kwa sekunde moja,
Alikuwa na uwezo wa kupiga mateke Tisa kwa sekunde moja,
Dunia ina mengi hiina kurusha punje ya mchele hewani na kuidaka kwa kutumia kijiti chembamba Cha kulia chakula(chop stick).
Unakataa vipi wakati Bana mmarekani na mama mchina au mama mmarekani baba ndio mchina?Nakataa
Alioa na kupata watoto wawili ke na me ila me nae kadedi baada ya kupigwa risasi ya ukweli akiigiza muviAlikuwa ameoa? Watoto?
Sipatii picha kitandani alikuwaje
Thanks man, nilikuwa natafuta picha yangu wakati nipo mtoto now nimeipata
Alikuawa Niinja?Bruce Lee aliweka rekodi ya dunia baada ya kupiga 'push up' 200 kwa kutumia vidole viwili vya mkono moja na kurusha punje ya mchele hewani na kuidaka kwa kutumia kijiti chembamba cha kulia chakula (chop stick).
Bruce Lee alizaliwa tarehe 27 november 1940 California, Marekani na alifariki tarehe 20 July 1973 Hong Kong akiwa na miaka 32.
Bruce Lee nguvu ya ngumi yake (punching force) ilikuwa na kilo 158 sawa na Mohammed Ali, lakini maajabu Bruce Lee alikuwa na kilo 58 na Mohammed ali kilo 117.
Bruce Lee alikuwa na uwezo wa kupiga ngumi tisa kwa sekunde moja, na ngumi yake ya inchi moja (one inch punch) ilikuwa na uwezo wa kumrudisha nyuma mita 5-6 mwanaume mwenye kilo 68.
Alikuwa na uwezo wa kupiga mateke tisa kwa sekunde moja, alipiga teke kiroba cha mchanga chenye kilo 135 na kuruka urefu wa futi tano kwenda juu. Alikuwa na uwezo wa kufungua kizibo cha soda kwa kutumia vidole viwili.
Aliweka rekodi ya dunia kwa kupiga 'push up' 1500 kwa mikono miwili bila kupumzika, 'push up' 400 kwa mkono moja, 'push up' 200 kwa kutumia vidole viwili vya mkono moja, na 'push up' 100 kwa kidole gumba cha mkono moja.
Bruce Lee alikuwa mchina wa kwanza kurekodi filamu Hollywood Marekani katika sanaa ya kupigana (martial arts). Bruce Lee pekee ndiye alievunja rekodi ya dunia mara kumi ndani ya miaka 2 tu.
Ukiivundika na samadi huwa na aina hii ya matokeoBruce Lee aliweka rekodi ya dunia baada ya kupiga 'push up' 200 kwa kutumia vidole viwili vya mkono moja na kurusha punje ya mchele hewani na kuidaka kwa kutumia kijiti chembamba cha kulia chakula (chop stick).
Bruce Lee alizaliwa tarehe 27 november 1940 California, Marekani na alifariki tarehe 20 July 1973 Hong Kong akiwa na miaka 32.
Bruce Lee nguvu ya ngumi yake (punching force) ilikuwa na kilo 158 sawa na Mohammed Ali, lakini maajabu Bruce Lee alikuwa na kilo 58 na Mohammed ali kilo 117.
Bruce Lee alikuwa na uwezo wa kupiga ngumi tisa kwa sekunde moja, na ngumi yake ya inchi moja (one inch punch) ilikuwa na uwezo wa kumrudisha nyuma mita 5-6 mwanaume mwenye kilo 68.
Alikuwa na uwezo wa kupiga mateke tisa kwa sekunde moja, alipiga teke kiroba cha mchanga chenye kilo 135 na kuruka urefu wa futi tano kwenda juu. Alikuwa na uwezo wa kufungua kizibo cha soda kwa kutumia vidole viwili.
Aliweka rekodi ya dunia kwa kupiga 'push up' 1500 kwa mikono miwili bila kupumzika, 'push up' 400 kwa mkono moja, 'push up' 200 kwa kutumia vidole viwili vya mkono moja, na 'push up' 100 kwa kidole gumba cha mkono moja.
Bruce Lee alikuwa mchina wa kwanza kurekodi filamu Hollywood Marekani katika sanaa ya kupigana (martial arts). Bruce Lee pekee ndiye alievunja rekodi ya dunia mara kumi ndani ya miaka 2 tu.
Fist of fury? alionekana pale makaburini kwenye kumzika teacher au?
Alikuwa ameoa? Watoto?
Sipatii picha kitandani alikuwaje
Tazama mama Kimbo.Sijawahi kuzipenda wala kuzielewa muvi za huyu jamaa
Kumbe wewe ni pacha wangu[emoji1752][emoji3]Thanks man, nilikuwa natafuta picha yangu wakati nipo mtoto now nimeipata
Hata jina Bruce ni la kimarekani.Nakataa
Punje ya mchele ilidakwa kwa kijiti chembamba?? Hayo ni mazingaombwe tu ila kwa kuwa ni Bruce Lee Inaandikwa kavunja rekodi ya DuniaBruce Lee aliweka rekodi ya dunia baada ya kupiga 'push up' 200 kwa kutumia vidole viwili vya mkono moja na kurusha punje ya mchele hewani na kuidaka kwa kutumia kijiti chembamba cha kulia chakula (chop stick).
Bruce Lee alizaliwa tarehe 27 november 1940 California, Marekani na alifariki tarehe 20 July 1973 Hong Kong akiwa na miaka 32.
Bruce Lee nguvu ya ngumi yake (punching force) ilikuwa na kilo 158 sawa na Mohammed Ali, lakini maajabu Bruce Lee alikuwa na kilo 58 na Mohammed ali kilo 117.
Bruce Lee alikuwa na uwezo wa kupiga ngumi tisa kwa sekunde moja, na ngumi yake ya inchi moja (one inch punch) ilikuwa na uwezo wa kumrudisha nyuma mita 5-6 mwanaume mwenye kilo 68.
Alikuwa na uwezo wa kupiga mateke tisa kwa sekunde moja, alipiga teke kiroba cha mchanga chenye kilo 135 na kuruka urefu wa futi tano kwenda juu. Alikuwa na uwezo wa kufungua kizibo cha soda kwa kutumia vidole viwili.
Aliweka rekodi ya dunia kwa kupiga 'push up' 1500 kwa mikono miwili bila kupumzika, 'push up' 400 kwa mkono moja, 'push up' 200 kwa kutumia vidole viwili vya mkono moja, na 'push up' 100 kwa kidole gumba cha mkono moja.
Bruce Lee alikuwa mchina wa kwanza kurekodi filamu Hollywood Marekani katika sanaa ya kupigana (martial arts). Bruce Lee pekee ndiye alievunja rekodi ya dunia mara kumi ndani ya miaka 2 tu.
Hapa unaonesha utoto wako hadharani, Bruce Lee amekufa kabla hujazaliwa.Hapana, movie zake ni local sana, ni mara mia niwaangalie Jet Lee, Do Yen na Jack Chan
Mishipa yoote ya liboroo inahamia kwenye kAlikuwa ameoa? Watoto?
Sipatii picha kitandani alikuwaje