Huyu ndiyo Diamond, ukimuacha anakula shoga yako kwanza

Huyu ndiyo Diamond, ukimuacha anakula shoga yako kwanza

Katika kusikia sikia habari za Diamond na vimada wake, nadhani ni Zari pekee ndie aliemuacha tandale boy.

Wengine wote diamond ndie aliewaacha.

Anyway, mambo yana wenyewe haya. Acha niwapishe!
 
Hapo kwa Kimnana pamenivutia..

Nimekumbuka kuna kipindi aliwahi kutusongea Ugali tukala na mbuzi pale Sinza (aliwahi kuishi Manyara Hotel).. Hata jina la Kimnana alijipachika kutoka kwa binti fulani hivi amecheza tamthiliya ya Kikorea inaitwa City Hunter kama sikosei..

Nilijua ipo siku na yeye atakuwa dada wa mjini. Stori zake tu.
 
Ngoja nipunguze stress za kupotea Mo dewji (nampenda sana huyu jamaa)na kuuguza miye humu jf
Aliachwa Aunty,Akala Wema mahaba yakawa km yotee wakagombana akaenda kutoka na jokate enzi hizo Wema na jokate mashosti,ushosti ukaisha....mpk akaenda kumchamba Jokate kwa Zamaradi Wema alienda na Uwoya siku hyooo...


Akamtema Jokate akarudi kwa Wema tena akamla Uwoya mpk shigongo akawapiga picha za hotel waliyolala...Ushoga ukafa kati ya Wema na Uwoya...

Mondi akaona haitoshi akamuacha Wema akaja kumla Penny ambae na Wema walikua wanavaa Sare sare ushosti kama wote..ndio enzi hizo IG inaanza Penny ndo binti wa kwanza kutukanwa kwenye mitandao ya kijamii kama sikosei kwa sababu ya bwana na ndo mambo ya team yakaanza wakaachana mondi akarudi kwa Wema tena walienda kurudiana Chinaaa picha zikavujaa...Penny akaumacha mondi ...mwishowe sasa ushoga ukafa....!!!!
Alivyoachana na Wema akaja kwa Zari

Kwa Zari akamla Huddah,huddah na Zari ushoga ukafa...huku anamla hamissa,officiallylin na tunda(japo hawana ushoga na Zari)

Zari kamtema akawa na Hamissa kw hamissa katemwa anamla shoga ake hamissa anaitwa kimnana...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kimnana ndo shemela mpya kwa diamond kwa sasa na familia yaonekana imempitisha rasmi!!!!!

Sijajua anaonaga nini kwa mashemeji zake mpk awe anawala jamaniii!!!

Haya sasa nasubiri team sasa zianze matusi!!!
Duuh we bora ungebaki Mtwara tu mjini panakuharibu sana😂😂
 
Ngoja nipunguze stress za kupotea Mo dewji (nampenda sana huyu jamaa)na kuuguza miye humu jf
Aliachwa Aunty,Akala Wema mahaba yakawa km yotee wakagombana akaenda kutoka na jokate enzi hizo Wema na jokate mashosti,ushosti ukaisha....mpk akaenda kumchamba Jokate kwa Zamaradi Wema alienda na Uwoya siku hyooo...


Akamtema Jokate akarudi kwa Wema tena akamla Uwoya mpk shigongo akawapiga picha za hotel waliyolala...Ushoga ukafa kati ya Wema na Uwoya...

Mondi akaona haitoshi akamuacha Wema akaja kumla Penny ambae na Wema walikua wanavaa Sare sare ushosti kama wote..ndio enzi hizo IG inaanza Penny ndo binti wa kwanza kutukanwa kwenye mitandao ya kijamii kama sikosei kwa sababu ya bwana na ndo mambo ya team yakaanza wakaachana mondi akarudi kwa Wema tena walienda kurudiana Chinaaa picha zikavujaa...Penny akaumacha mondi ...mwishowe sasa ushoga ukafa....!!!!
Alivyoachana na Wema akaja kwa Zari

Kwa Zari akamla Huddah,huddah na Zari ushoga ukafa...huku anamla hamissa,officiallylin na tunda(japo hawana ushoga na Zari)

Zari kamtema akawa na Hamissa kw hamissa katemwa anamla shoga ake hamissa anaitwa kimnana...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kimnana ndo shemela mpya kwa diamond kwa sasa na familia yaonekana imempitisha rasmi!!!!!

Sijajua anaonaga nini kwa mashemeji zake mpk awe anawala jamaniii!!!

Haya sasa nasubiri team sasa zianze matusi!!!
Mond anawakita kweli kweli na sijui kama anatumia buti
 
Hapo kwa Kimnana pamenivutia..

Nimekumbuka kuna kipindi aliwahi kutusongea Ugali tukala na mbuzi pale Sinza (aliwahi kuishi Manyara Hotel).. Hata jina la Kimnana alijipachika kutoka kwa binti fulani hivi amecheza tamthiliya ya Kikorea inaitwa City Hunter kama sikosei..

Nilijua ipo siku na yeye atakuwa dada wa mjini. Stori zake tu.
Ashakua wa mjini tayari huyo!!! Wadada wanatamani umaarufu sanaa
 
Sasa Huyu kwenye nyumba ya Mond anafanya nini leo ni siku ya nne tangu apost hii photo.
Screenshot_20181012-200042.jpg
 
Back
Top Bottom