tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Fanya fasta kabla sijamaliza manunuzi kama polepoleNakuletea ujue [emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya fasta kabla sijamaliza manunuzi kama polepoleNakuletea ujue [emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
Njoo chemba tumalizane boss wangu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kaka nnazo za tigo na voda weka mzigo mezani tafadhalii
niandaa vizuri iwe quote yangu hii imekaa poa sana.Some of you guys don't know that you are actually single, your girl is dating your car and money and not you.
Duuh we bora ungebaki Mtwara tu mjini panakuharibu sana😂😂Ngoja nipunguze stress za kupotea Mo dewji (nampenda sana huyu jamaa)na kuuguza miye humu jf
Aliachwa Aunty,Akala Wema mahaba yakawa km yotee wakagombana akaenda kutoka na jokate enzi hizo Wema na jokate mashosti,ushosti ukaisha....mpk akaenda kumchamba Jokate kwa Zamaradi Wema alienda na Uwoya siku hyooo...
Akamtema Jokate akarudi kwa Wema tena akamla Uwoya mpk shigongo akawapiga picha za hotel waliyolala...Ushoga ukafa kati ya Wema na Uwoya...
Mondi akaona haitoshi akamuacha Wema akaja kumla Penny ambae na Wema walikua wanavaa Sare sare ushosti kama wote..ndio enzi hizo IG inaanza Penny ndo binti wa kwanza kutukanwa kwenye mitandao ya kijamii kama sikosei kwa sababu ya bwana na ndo mambo ya team yakaanza wakaachana mondi akarudi kwa Wema tena walienda kurudiana Chinaaa picha zikavujaa...Penny akaumacha mondi ...mwishowe sasa ushoga ukafa....!!!!
Alivyoachana na Wema akaja kwa Zari
Kwa Zari akamla Huddah,huddah na Zari ushoga ukafa...huku anamla hamissa,officiallylin na tunda(japo hawana ushoga na Zari)
Zari kamtema akawa na Hamissa kw hamissa katemwa anamla shoga ake hamissa anaitwa kimnana...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kimnana ndo shemela mpya kwa diamond kwa sasa na familia yaonekana imempitisha rasmi!!!!!
Sijajua anaonaga nini kwa mashemeji zake mpk awe anawala jamaniii!!!
Haya sasa nasubiri team sasa zianze matusi!!!
Mond anawakita kweli kweli na sijui kama anatumia butiNgoja nipunguze stress za kupotea Mo dewji (nampenda sana huyu jamaa)na kuuguza miye humu jf
Aliachwa Aunty,Akala Wema mahaba yakawa km yotee wakagombana akaenda kutoka na jokate enzi hizo Wema na jokate mashosti,ushosti ukaisha....mpk akaenda kumchamba Jokate kwa Zamaradi Wema alienda na Uwoya siku hyooo...
Akamtema Jokate akarudi kwa Wema tena akamla Uwoya mpk shigongo akawapiga picha za hotel waliyolala...Ushoga ukafa kati ya Wema na Uwoya...
Mondi akaona haitoshi akamuacha Wema akaja kumla Penny ambae na Wema walikua wanavaa Sare sare ushosti kama wote..ndio enzi hizo IG inaanza Penny ndo binti wa kwanza kutukanwa kwenye mitandao ya kijamii kama sikosei kwa sababu ya bwana na ndo mambo ya team yakaanza wakaachana mondi akarudi kwa Wema tena walienda kurudiana Chinaaa picha zikavujaa...Penny akaumacha mondi ...mwishowe sasa ushoga ukafa....!!!!
Alivyoachana na Wema akaja kwa Zari
Kwa Zari akamla Huddah,huddah na Zari ushoga ukafa...huku anamla hamissa,officiallylin na tunda(japo hawana ushoga na Zari)
Zari kamtema akawa na Hamissa kw hamissa katemwa anamla shoga ake hamissa anaitwa kimnana...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kimnana ndo shemela mpya kwa diamond kwa sasa na familia yaonekana imempitisha rasmi!!!!!
Sijajua anaonaga nini kwa mashemeji zake mpk awe anawala jamaniii!!!
Haya sasa nasubiri team sasa zianze matusi!!!
ntoto mbea sanaDuuh we bora ungebaki Mtwara tu mjini panakuharibu sana[emoji23][emoji23]
Ashakua wa mjini tayari huyo!!! Wadada wanatamani umaarufu sanaaHapo kwa Kimnana pamenivutia..
Nimekumbuka kuna kipindi aliwahi kutusongea Ugali tukala na mbuzi pale Sinza (aliwahi kuishi Manyara Hotel).. Hata jina la Kimnana alijipachika kutoka kwa binti fulani hivi amecheza tamthiliya ya Kikorea inaitwa City Hunter kama sikosei..
Nilijua ipo siku na yeye atakuwa dada wa mjini. Stori zake tu.
chukulia poa sana, siku zote nakulipukiaga tu kiutaniAkuuu....hata simjui ila nakapenda tu
Wambea tunaishi maisha marefu ujue!![emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]