GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Halafu wenye akili kuwazidi tukiwa tunasema hapa hamna mtu bali kuna Profesa wa unafiki Tanzania nzima mnasema tuna chuki nae binafsi, tunatumika au ni wadini na wakabila.
Mliokuwa wavivu wa kufikiri na mnaompenda mnamuita mwamba wa siasa na diplomasia. Hivi inaingia akili mwamba na bingwa wa diplomasia akaweza kutatua ya nchi nyingine(jirani) ila ya ndani ya nchi yake akayashindwa?
Haya nawasubiri sasa mje kumtetea!
Mliokuwa wavivu wa kufikiri na mnaompenda mnamuita mwamba wa siasa na diplomasia. Hivi inaingia akili mwamba na bingwa wa diplomasia akaweza kutatua ya nchi nyingine(jirani) ila ya ndani ya nchi yake akayashindwa?
Haya nawasubiri sasa mje kumtetea!