Huyu ndiyo Kikwete ambaye 'comfortably' ameweza kuwakutanisha 'mahasimu' Odinga na Ruto, ila mwaka 2020 alishindwa kuwakutanisha Magufuli na Lissu

Huyu ndiyo Kikwete ambaye 'comfortably' ameweza kuwakutanisha 'mahasimu' Odinga na Ruto, ila mwaka 2020 alishindwa kuwakutanisha Magufuli na Lissu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Halafu wenye akili kuwazidi tukiwa tunasema hapa hamna mtu bali kuna Profesa wa unafiki Tanzania nzima mnasema tuna chuki nae binafsi, tunatumika au ni wadini na wakabila.

Mliokuwa wavivu wa kufikiri na mnaompenda mnamuita mwamba wa siasa na diplomasia. Hivi inaingia akili mwamba na bingwa wa diplomasia akaweza kutatua ya nchi nyingine(jirani) ila ya ndani ya nchi yake akayashindwa?

Haya nawasubiri sasa mje kumtetea!​
 
Utaona ugumu
Wa kuwakutanisha watoto wako muda ilifika


Akishindwa kuwapatanisha watoto wake baadaye anakwenda au anaitwa kwenda kuwapatanisha watoto wa jirani yake na wanapatana na anapewa shukrani, hajui hayo ni mambo ya dunia.
 
Hahahaha 🤣 mzima ndio anajua huyu ni kichaa au lah. Kumbuka the guy aliwahi kutamka hadharani mwenyewe....usijotoe ufahamu
Naona Mheshimiwa baada ya GENTAMYCINE kukuanzishia huu Uzi Walinzi wako hapo Nairobi Kenya ulipo ( kama Kiongozi wa Uangalizi wa Uchaguzi Mkuu nchini Kenya ) wamekuambia na sasa umeona Nimekupiga Kwenyewe unaamua Kunijibu ukidhani sitokushtukia kuwa ni Wewe.

Mheshimiwa Matokeo ya Timu yako ya Yanga SC ya Juzi dhidi ya Vipers FC unayo? Kama ulikuwa bado uko busy hapo Nairobi nakutaarifu kuwa Yanga SC yako ilishinda Goli 2 kwa 0 ma Magoli yenu walifunga Injinia Hersi Said na Mfungwa Haji Manara.
 
Hahahaha 🤣 mzima ndio anajua huyu ni kichaa au lah. Kumbuka the guy aliwahi kutamka hadharani mwenyewe....usijotoe ufahamu

Tena alikuwepo kichaa mwingine aliyejitangaza mwenyewe huko Bungeni, kifupi ni kwamba kipindi kile Tz tulikuwa tukiongozwa na vichaa kwenye 2/3 ya mihimili ya dola.
 
Tunasubiri the demise of the poisonous man in an interval of 2-3 years kabla ya uapisho wa 20:25PM nchini Cambodia.
 
Msoga kazi anayo kipindi kilichobaki kidogo hichi
 
Naona Mheshimiwa baada ya GENTAMYCINE kukuanzishia huu Uzi Walinzi wako hapo Nairobi Kenya ulipo ( kama Kiongozi wa Uangalizi wa Uchaguzi Mkuu nchini Kenya ) wamekuambia na sasa umeona Nimekupiga Kwenyewe unaamua Kunijibu ukidhani sitokushtukia kuwa ni Wewe.

Mheshimiwa Matokeo ya Timu yako ya Yanga SC ya Juzi dhidi ya Vipers FC unayo? Kama ulikuwa bado uko busy hapo Nairobi nakutaarifu kuwa Yanga SC yako ilishinda Goli 2 kwa 0 ma Magoli yenu walifunga Injinia Hersi Said na Mfungwa Haji Manara.
Hahahahaaha kakimbia game? Yanga wakapigwa 2 o'clock
 
Huyo mzee sijawai kumkubali ni Rais ambae ana inferior complex kubwa sana ndio maana anaifanya familiar yke kuwa km Royal family..utajiri alikuwa nao mwanae ni wa kutisha vbaya mnooo
 
Huyo mzee sijawai kumkubali ni Rais ambae ana inferior complex kubwa sana ndio maana anaifanya familiar yke kuwa km Royal family..utajiri alikuwa nao mwanae ni wa kutisha vbaya mnooo
Na kwa Kuogopa kificha Pesa alizowapiga Wanafiki na Wehu wengi Wanaompenda kule Switzerland (Geneva) Yeye kaamua Kuziweka (Kuzificha) Kuala Lumpur nchini Malaysia halafu anadhani Wenye Akili wachache hatuwezi Kujua (Kubaini)
 
Halafu wenye Akili kuwazidi tukiwa tunasema hapa hamna Mtu bali kuna Profesa wa Unafiki Tanzania nzima mnasema tuna Chuki nae Binafsi au tunatumika au ni Wadini na Wakabila.

Wenyewe Wavivu wa Kufikiri na mnaompenda mnamuita Mwamba wa Siasa na Diplomasia. Hivi inaingia Akili Mwamba na Bingwa wa Diplomasia akaweza Kutatua ya nchi nyingine ( jirani ) ila ya ndani ya nchi yake akayashindwa?

Haya nawasubiri sasa mje Kumtetea.
Mungu ameshaingilia ugomvi, hili lilikuwa ni swala la kiroho zaidi, alishapewa maono ni Mungu ndio anakuja kumaliza ubishi.

Rest in hell dictator Magufuli.
 
Siasa za kenya ni tofauti sana na za kibongo wenzetu wanajielewa sana , ulitegemea JK angeenda kinyume na chama chake cha mboga mboga hahaaaaa , na huku alishaambiwaga anawashwa washwa sana.
 
Halafu wenye Akili kuwazidi tukiwa tunasema hapa hamna Mtu bali kuna Profesa wa Unafiki Tanzania nzima mnasema tuna Chuki nae Binafsi au tunatumika au ni Wadini na Wakabila.

Wenyewe Wavivu wa Kufikiri na mnaompenda mnamuita Mwamba wa Siasa na Diplomasia. Hivi inaingia Akili Mwamba na Bingwa wa Diplomasia akaweza Kutatua ya nchi nyingine ( jirani ) ila ya ndani ya nchi yake akayashindwa?

Haya nawasubiri sasa mje Kumtetea.
Siku zote wanao kutanishwa,ujuwe wako tayari kukutana wao Kama wao,na wasiyotaka kukutana hata ufanye nini hawakutani ngooo!!!
 
Unamlaumu Mwenyekiti mstaafu wa ccm, mwanaccm kamili aliyeshindwa kumpatanisha mrithi wake na adui wa chama chake cha kisiasa, (Mpinzani) aliyeyaka kuwanyang'anya nafasi ya uongozi wa chama chao.
 
Huyo mzee sijawai kumkubali ni Rais ambae ana inferior complex kubwa sana ndio maana anaifanya familiar yke kuwa km Royal family..utajiri alikuwa nao mwanae ni wa kutisha vbaya mnooo
Hoyo kawaida kwa viongozi wa africa
Familia zao lazima ziishi ki Royal family

Ova
 
Kuwakutanisha watu ni mpaka wenyewe wakubali kukutana,
 
Back
Top Bottom