Huyu ndiyo muwakilishi Kutoka Tanzania atakayeshiriki Miss World 2017.

Kumbe na Diana fundi
 
ila kapatikanaje jamani hata viti maalum c vina mchakato? mwakyembe tupe ufafanuzi ulifuta nini
 
tokea nancy sumari awe miss world Africa.. sijaona kam tumefikia zile level tena.
 
Hivi kumbe ile miss TANZANIA inamilikiwa na mtu? sio TAASISI YA SERIKALI? lakini binti mzuri mno....hao akina MISS FLY TO KIA/mobeto ,,,lazima wajione kama UCHAFU....tu.. binti mzuri sana huyo na hana KELELE mjini.....
 
Mpaka hapo tumeshashindwa from the beginning

Havuki round ya kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…