Huyu ndiyo muwakilishi Kutoka Tanzania atakayeshiriki Miss World 2017.

Hii Ni Mpya Na Ya Kipekee. Au Walituma CV Zao Wakaenda Kupigwa Interview Na Jopo Alafu Akachaguliwa,Maana Sielewi.
Huwa usaili unafanyika nchi nzima hii Kali.
 
Naona Mwakyembe kashashinikiza Mwakibete mwenzie atuwakilishe teh teh teh
 
mmmhhh!! inamaana mimi ndo niko mbali na vyombo vya habari/mitandao ya kijamii!!!

Mbona sikusikia huo mchakato au aliteuliwa tu!!!
 
Mtazame hapa diva The boss lady akitokwa na mapovu huko mtandaoni
 
mmmhhh!! inamaana mimi ndo niko mbali na vyombo vya habari/mitandao ya kijamii!!!

Mbona sikusikia huo mchakato au aliteuliwa tu!!!
Kateuliwa
 
Tulikaa na kamati Yangu tukamteua Mrembo huyo.
Tunabana bajeti, Pesa ambayo ingetumika kuandaa mashindano zimielekezwa kwenye ukarabati wa Monchwari ya hospital ya Kusikojulikana.

Kila la kheri Mrembo, unatufaa kutuletea Ubingwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…