Huyu ndo kiongozi wa kikundi cha kigaidi kinachoua polisi na kuiba silaha kwenye vituo nchini

Huyu ndo kiongozi wa kikundi cha kigaidi kinachoua polisi na kuiba silaha kwenye vituo nchini

i'm just a Messenger loving my country 2 death; That's is all what i have got...

Please don't deny what's happening in our beautiful peaceful land... is no 'GOOD'

i thank God that i was made and born in this land,am much in love with this land more than anything.mkuu,we first have to understand what is terrorism.ts as if some of us,may be who ill wishes this land wanataka kuona what is really terrorism.kumekuwa na incidents kibao ambazo tumezipachika majina na kuziita ugaidi.
 
Hata bongo movie wana episode za akili kidogo. ...pichu zinawabana wanataka kuzusha waahirishe uchaguzi. ..mtatutambua wa-Tanganyika na UKAWA yetu mwaka huu
 
Ole wao wanikatize nikila kitimoto yangu! Patachimbika.
 
i thank God that i was made and born in this land,am much in love with this land more than anything.mkuu,we first have to understand what is terrorism.ts as if some of us,may be who ill wishes this land wanataka kuona what is really terrorism.kumekuwa na incidents kibao ambazo tumezipachika majina na kuziita ugaidi.

All that is resistance against a lawful government unlawfully... sababu kuna PANYA ROAD wanaattach kama vile ni Magaidi...

Na hii yote pia imechangia na CHAMA TAWALA kujiingiza UBEPARI bila kutayarisha wananchi wake hivyo the GAP between RICH and poor is wider and is the major class struggle... KIKWETE really WORK to let the crisis happening
 
Tanzania kwa sasa kuna magaidi wa kichinichini, jeshi la polisi na raia wema kwa pamoja tushirikiane otherwise siku moja hapatakalika huku nchini.
Ngoja polisi wapambane na wanaume wenzao maana wamezoea kuwaonea wapinzani wasio na silaha. Leo wamekutana na wababe wenzao wanakimbilia JWTZ. Na bado mpaka mnyoke ndipo mtatambua nchi hii si ya pliCCM bali ni ya wote. Mchezo wa polisi kuonea soft target ndio mauti yenu.
 
Wamekomeshwaaaa wayalipue maccm yote yashatuchoshaaa
 
Eti wamechukua silaha bila ya kuwa na silaha!!!! Hao askari katika vituo vya polisi husika walikuwa wamechapa usingizi au waliwaachia vituo wazi ili wafanye watakayo!?

1:02 ''sijaona jeshi dhaifu,dhaifu,kama jeshi la Tanzania''.............lol
 
Wawapige sana kama walivyompiga prof. Lipumba na washirika wake wiki zilizopita!!
 
Mmmmhhhhh!!!!! Haiingii akilini! Aliyewapa mkanda amekataa kujitambulisha, wala kusema anatokea wapi hapa nchini, lakini GPL wakachukua mkanda tu kutoka kwake, na yeye wakamwacha aende zake kwa amani!! Kwa nini wasimfiche mahali? Kwa nini mkanda huu unaletwa wakati wa kusikiliza kesi ya Ponda, na vuguvugu zito la Zanzibar linalohoji kwa nini Mashehe wa Uamsho washitakiwe Bara? I'm smelling a rat! Ni yaleyale ya "Mkenya" wa Kova "aliyekwenda kutubu kwa Gwajima"!!!!!
Lengo la hii ni kuua Ukawa !!! Wanawaza kuchafua Mazingira ya Uchaguzi !!!! Wanahofu na Suala la katiba!!!! Wanahofu ya Kuondolewa Madarakani

Suala moja ni kwamba , GPL wametumiwa bila Kupenda
Hoja nzito ni kwamba Mkanda huu ulipopatikana ulipelekwa Kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi na vyomba vya dola sasa ni kwanini wameruhusu Mkanda huo na habari yake Kutoka Wakati suala hilo linahatarisha Usalama??
Mkanda huo ulipaswa kuwa siri kwa vyombo vya dola hadi wafanyie kazi!!


Ni jambo la Kushangaza Vyombo vya dola vimeruhusu Mkanda huu kuriuka hewani!!

Kwa mfano Mkanda wa KITI MOTO CCM hao hao hawakutaka uonekane hadharani kwa kuwa ulikuwa unapindua Serikali ya CCM sasa kwa nini huu wameruhusu???

Kumbuka sana video ya ugaidi ya Lwakatare walirusha hewani kwa maslahi ya kisiasa
 
Mmmmhhhhh!!!!! Haiingii akilini! Aliyewapa mkanda amekataa kujitambulisha, wala kusema anatokea wapi hapa nchini, lakini GPL wakachukua mkanda tu kutoka kwake, na yeye wakamwacha aende zake kwa amani!! Kwa nini wasimfiche mahali? Kwa nini mkanda huu unaletwa wakati wa kusikiliza kesi ya Ponda, na vuguvugu zito la Zanzibar linalohoji kwa nini Mashehe wa Uamsho washitakiwe Bara? I'm smelling a rat! Ni yaleyale ya "Mkenya" wa Kova "aliyekwenda kutubu kwa Gwajima"!!!!!

Taarifa za ndani kuhusu uvamizi wa Vituo vya Polisi ni pamoja na Fitina iliyopo ndani ya Polisi na huo udhaifu wa Polisi
Sasa ni jambo la ajabu kwamba Gaidi anasema vituo vya polisi ni dhaifi wakati hilo ndo Mtaji wake!!
Hata hivyo Chuki ya UDINI inayotajwa ni ile dhidi ya Mfumo Kristo sasa kwa nini Hao Magaidi walio upande wa Dini ya Kiislamu wafanye Ugaidi katika Maneo yenye Uislam na Kuacha Ukristo??
Angalia Maeneo yaliyo athiriwa ni
MKOA WA PWANI
IKWIRIRI
TANGA
SONGEA Huko kwenye Gasi

Sasa kwa nini wamefanya Ugaidi maeneo hayo ???
Wanaposema Polisi ni Dhaifu inamaana Polisi wa Maeneo ya Kiislamu ndo dhaifu?? Na kwa nini??
 
Hii kauli ya Sheikh mkuu inaacha maswali mengi sana..."Kwanza hizo taarifa hizo ndiyo nazisikia kutoka kwako. Hilo jina ulilonitajia (Bin Abdullah) sijawahi kulisikia labda muangalie kwa wenzetu upande wa pili.”

He is stupid by " Upande ya pili"does he mean Zanzibar? The old man must be crazy!!
Anything that will be happening to Zanzibar bcz of his tirade he has to be held responsible.
 
Mimi nazani kuna umuhimu wa kujadili na kuziangalia upya haki za kila mtu,kundi an jamii ili kuleta usawa bila kuvuruga upande wa pili. Na hii ni kwa dunia nzima. Hata hivyo vitabu vitakatifu vimeyasema sana haya. Mungu aturehemu.
 
Mimi mkuu nimecheka sana aliposema Ushirombo (Kilimanjaro) mwandishi mburura huyu hata hajui Ushirombo iko wapi? Hata kama kwenye mkanda jamaa amejichanganya akasema hivyo, wewe kama mwandishi huwezi kumrekebisha? SHIGONGOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO!!

Dar kuna sehemu zinaitwa Kibo,Rombo,Mombasa
 
Hii habari ni ya kupikwa haina uhalisia wa aina yoyote.
HUYU JAMAA WA GPL NI MTU HATARI SANA!!!!Baada ya kuivuluga jamii na mambo yake ya kipuuzi sasa anataka kuvuruga Taifa.
 
Back
Top Bottom