Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
i'm just a Messenger loving my country 2 death; That's is all what i have got...
Please don't deny what's happening in our beautiful peaceful land... is no 'GOOD'
Na anyongwe tu huyo jamaa
i thank God that i was made and born in this land,am much in love with this land more than anything.mkuu,we first have to understand what is terrorism.ts as if some of us,may be who ill wishes this land wanataka kuona what is really terrorism.kumekuwa na incidents kibao ambazo tumezipachika majina na kuziita ugaidi.
Ngoja polisi wapambane na wanaume wenzao maana wamezoea kuwaonea wapinzani wasio na silaha. Leo wamekutana na wababe wenzao wanakimbilia JWTZ. Na bado mpaka mnyoke ndipo mtatambua nchi hii si ya pliCCM bali ni ya wote. Mchezo wa polisi kuonea soft target ndio mauti yenu.Tanzania kwa sasa kuna magaidi wa kichinichini, jeshi la polisi na raia wema kwa pamoja tushirikiane otherwise siku moja hapatakalika huku nchini.
udaku wa aina hii haufai,hivi watu wakifarakana nyie global publishers mtafaidika nini?
1:02 ''sijaona jeshi dhaifu,dhaifu,kama jeshi la Tanzania''.............lol
Lengo la hii ni kuua Ukawa !!! Wanawaza kuchafua Mazingira ya Uchaguzi !!!! Wanahofu na Suala la katiba!!!! Wanahofu ya Kuondolewa MadarakaniMmmmhhhhh!!!!! Haiingii akilini! Aliyewapa mkanda amekataa kujitambulisha, wala kusema anatokea wapi hapa nchini, lakini GPL wakachukua mkanda tu kutoka kwake, na yeye wakamwacha aende zake kwa amani!! Kwa nini wasimfiche mahali? Kwa nini mkanda huu unaletwa wakati wa kusikiliza kesi ya Ponda, na vuguvugu zito la Zanzibar linalohoji kwa nini Mashehe wa Uamsho washitakiwe Bara? I'm smelling a rat! Ni yaleyale ya "Mkenya" wa Kova "aliyekwenda kutubu kwa Gwajima"!!!!!
Mmmmhhhhh!!!!! Haiingii akilini! Aliyewapa mkanda amekataa kujitambulisha, wala kusema anatokea wapi hapa nchini, lakini GPL wakachukua mkanda tu kutoka kwake, na yeye wakamwacha aende zake kwa amani!! Kwa nini wasimfiche mahali? Kwa nini mkanda huu unaletwa wakati wa kusikiliza kesi ya Ponda, na vuguvugu zito la Zanzibar linalohoji kwa nini Mashehe wa Uamsho washitakiwe Bara? I'm smelling a rat! Ni yaleyale ya "Mkenya" wa Kova "aliyekwenda kutubu kwa Gwajima"!!!!!
Hii kauli ya Sheikh mkuu inaacha maswali mengi sana..."Kwanza hizo taarifa hizo ndiyo nazisikia kutoka kwako. Hilo jina ulilonitajia (Bin Abdullah) sijawahi kulisikia labda muangalie kwa wenzetu upande wa pili.
Mimi mkuu nimecheka sana aliposema Ushirombo (Kilimanjaro) mwandishi mburura huyu hata hajui Ushirombo iko wapi? Hata kama kwenye mkanda jamaa amejichanganya akasema hivyo, wewe kama mwandishi huwezi kumrekebisha? SHIGONGOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO!!
HUYU JAMAA WA GPL NI MTU HATARI SANA!!!!Baada ya kuivuluga jamii na mambo yake ya kipuuzi sasa anataka kuvuruga Taifa.Hii habari ni ya kupikwa haina uhalisia wa aina yoyote.