Huyu ndo kiongozi wa kikundi cha kigaidi kinachoua polisi na kuiba silaha kwenye vituo nchini



Kiini macho, aweza kuwa yeyote, na yaweza kuwa Vyovyote, ila ili ikubalike basi kama kawaida "ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya"
 



Ndugu hebu tafakari zaidi.
Unategemea magaidi wanaojiunganisha na uislam wangejenga kambi kule Marangu sehemu yenye wakristo wengi ? Hii si sawa na mtu kujificha kwenye nyasi fupi za uwanja wa mpira.

Hawa wanaishi sehemu zenye watu wengi wa imani yao ili wapate kuungwa mkono na kutetewa kwamba ni waumini wa kawaida na wanaokamatwa waonekane kama wanaonewa.
 

mtwara ni eneo la kumulikwa sana na vyombo vya usalama, ni eneo la kumulikwa sana!!!!




Nini kifanyike!!
Hawa watu sio majambazi ni wajahidina kama walivyojiita.
Wakimaliza kuwaua polisi wataanza kulipua misikiti na makanisa ,hapo nani atapona?

Toa maoni ya namna ya kuzuia hili wimbi kubwa la vijana wanaojificha kwenye dini kujihusisha na ugaidi.
Na je hawa wajahd wanaweza kukubali mfumo wowote usio fuata misingi ya kiislam?

Hili suala ni gumu sana hata kama CCM ingekua haipo madarakani.Kudili na wajahid ni kazi ngumu kwani hawaridhiki hata huko peponi watakaidi tu.Hawana jema.
 
Last edited by a moderator:
Waislam bana! Si ajabu shule 10 za mwisho mtihani wa form4 ziko Tanga
Acha umburula wewe mfugaji. Maandalizi mazuri shuleni ya walimu na wanafunzi ndio yanayofaulisha sio dini. Unapokuwa idle hauna cha kufanya fungua emmanueltv umchangie "nabii mpiga ramli" Tuberculosis (T.B) Joshua :smile-big::smile-big::smile-big:...
 
Maelezo ya mtoa mada matumbo yanaonesha hivyo,nenda kamuulize atakuambia,haya mambo ya kufikiri kuna dini inawachafua ndio yanawafanya mnakuwa wajinga sana!

Mjinga ni yule aliyepigwa pumbuz halafu badae wakamtundika mtini
 
Last edited by a moderator:

Afadhali ya huyu aliyepo madarakani kipindi cha yule kifimbo cheza watu walitaka kupindua nchi kabisa tuulize tuliyokuepo enzi hizo
 
Mmarekakani Anafanya Gas Na Mafuta Ni Kua Ni Laana Ktk Nchi
 
Acha umburula wewe mfugaji. Maandalizi mazuri shuleni ya walimu na wanafunzi ndio yanayofaulisha sio dini. Unapokuwa idle hauna cha kufanya fungua emmanueltv umchangie "nabii mpiga ramli" Tuberculosis (T.B) Joshua :smile-big::smile-big::smile-big:...

Haibadilishi maana kwamba shule 10 za mwisho zote ni za waislam na huyu mvuta bangi nae ni muislam
 
Afadhali ya huyu aliyepo madarakani kipindi cha yule kifimbo cheza watu walitaka kupindua nchi kabisa tuulize tuliyokuepo enzi hizo

Ulikua enzi ipi we punguani, comments zako zinakutambulisha umesoma shule ya kata.
 
Muda umefika wa Jwtz kufanya usafi, wapewe mafagio wafagie watoe uchafu huu, unaoanza kuota mizizi.
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ gaidi kavaa yeboyebo hawa ni bora wangeenda uza maji au karanga kariakoo maana kifo chao kwa risasi za JWTZ kimewadia
Jamaani wale vijana wenzangu ambao mpo madrasat na wengine ambao hamna kazi
Tafadhali tisidanganyike na watu wachache "eti tupigane kwa ajili ya jambo fulani utapata thawabu" ACHA huo muda nenda katafute kibaraza uanze kushona ndala utajipatia riziki.

 
Kwenye hiyo video ni kama waigizaji fulani vijana wadogo tuu ukiwasikia sauti
INASIKITISHA
 
Haibadilishi maana kwamba shule 10 za mwisho zote ni za waislam na huyu mvuta bangi nae ni muislam
Sasa nyinyi wenye shule kumi bora mnazalisha wasomi gani zaid zaid ya wezi kama kina askofu kilaini na rugemalila??


Mbuzi katoliki akili fyatu sana aisee.
 
Sasa nyinyi wenye shule kumi bora mnazalisha wasomi gani zaid zaid ya wezi kama kina askofu kilaini na rugemalila??


Mbuzi katoliki akili fyatu sana aisee.
mkuu ni kweli "tano bora" za mwisho ni za kiislam?pengine fitna za NECTA,em fatilia mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…