Huyu ndo kiongozi wa kikundi cha kigaidi kinachoua polisi na kuiba silaha kwenye vituo nchini

Huyu ndo kiongozi wa kikundi cha kigaidi kinachoua polisi na kuiba silaha kwenye vituo nchini

matumbo

Aliye na taarifa rasmi juu ya hapo kwenye bluu anifafanulie. Ni mikusanyiko ya ibada zipi mbona naona kama amani iko rehani

Huko kwingine, poa, sina hofu sana ila hapo kunako bluu.
 
Last edited by a moderator:
"Mungu ametukubali. Katika Kituo cha Polisi Ushirombo (Kilimanjaro) tumeweza kuvamia kituo, tukaweza kutoa roho za polisi na tukaweza kuchukua silaha, tunazo.

"Tumevamia Kituo cha Polisi Ikwiriri (Pwani), tumeweza kuchukua silaha za kutosha, tumeweza kuchukua mabomu ya kutosha. Tunazo silaha tunasubiri muda zianze kufanya kazi.
/QUOTE]


Ushirombo haipo Kilimannjaro
 
matumbo Jamani asinyongwe huyu ni mwenzetu mbona anatimiza maandiko yetu kama yanavyosema ukimwona Mkristo achinjwe.
 
Last edited by a moderator:
Nina wasiwasi hii ni janja ya ccm kutuogopesha ili tusijitokeze kwenywe uchaguzi. Lazima tuhakikishe tunasimama imara kuwang'oa pamoja na vitisho vyao. Mungu ibariki Tanzania.

You must be a great thinker .ni yaleyale ya majambia ya cuf 2000 election
 
Kazi ipo

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
hawana mda mrefu watakwisha tu polisi siyo wa kutishiwa nyau kirahisi.
 
Wameweza kuchukua silaha mikononi mwa polisic wakiwa hawana silaha??????? mbona naskia walikuwa na mapanga na visu inamana visu siosilaha??.
 
Unataka iwe ya kiislamu ndo useme inaenda pazuri, jini weee, huna lolote. na umekoma hakuna Mahakama ya kadhi hapa wala sheria.

Watu kama nyinyi ndo mnatufanya tuwe maskini nchi inaendeshwa kwa mifumo hii wewe we unafikiri kuna ukweli katika ilo subiri utagundua nini wanamaanisha.
 
Ben Saanane,

Islamic terrorists ni tofauti na "magaidi" wengine kama kina Mandela au FDLR. "haki" na "uhuru" wanaopigania ni sheria zao kutumika kwa wenzao. Unafanya kosa kubwa sana kujumuisha ugaidi wa kidini na haki na demokrasia.

If they have their way hizo haki na demokrasia unazo-refer to hazitakuwapo tena. Mfano: ISIS walifadhiliwa na watu kama wewe waliodhani jamaa wanampinga bashar ambaye alikuwa dikteta, leo hiii bashar amekuwa afadhali ya ISIS...
 
Last edited by a moderator:
Hakika tumeshtuka na sasa ni kugawa elimu kwa wananchi wasiogope vitisho na wasianzishe fujo. Hii itasaidia kuiondoa ccm kimyakimya.Ushauri kwa viongozi wa upinzani.fundisheni wanachama taaaaatibu, tukutane na hawa wapuuzi kwenye box la kura.
 
maghaidi haya bin abdullah, nadhan wote watakuwa waislam hawa fujofujo vinara wa makundi haramu. Kesho watasema wanafuata amri za mtume
 
Nilijua tutafika hapa, huu mtandao umejipanga sana October ni pagumu

Sasa wamepata sababu na propaganda tool kwenye issue ya gesi.

Au ccm wanaleta hali ya tafrani ili wapate kura za wajinga
 
Kwa hivyo tukitazama kwa umakini video hii imepigiwa maeneo ya pwani kwani unaweza kusikia upepo ukivuma ktk microphone na pia miwani aliyovaa jamaa inaakisi bahari ya buluu na mchanga wa ufukweni pwani.

Hivyo vyombo vya usalama vinaweza ku-''zero'' ni maeneo gani video hii imechukuliwa na ni jengo/nyumba gani iliyo mkabala kabisa na ufukwe wa pwani yenye madirisha yasiyopungua mawili huku ikiwa na chumba kikubwa kisicho samani (fenicha) nyingi kama inavyokuwa reflected na miwani ya huyu jamaa.

Pia uso wa huyu jamaa haujazibwa vya kutosha pia ana kijikovu usoni hivyo jamii inayomzunguka inaweza kumtambua hasa hasa majirani, waliosoma nae shule, wasomajiwa GlobalPulishers na watumiaji wa mitandao.
 
Back
Top Bottom