Huyu ndo kiongozi wa kikundi cha kigaidi kinachoua polisi na kuiba silaha kwenye vituo nchini

Huyu ndo kiongozi wa kikundi cha kigaidi kinachoua polisi na kuiba silaha kwenye vituo nchini

Hivi mnaposemaga kugawa elimu kwa wananchi mnafikiri wananchi hawana uelewa au? wananchi uwadanganyi kitu wanajua vitu kuliko nyinyi mnavyofikiri sema hawajashwishika bado na nyinyi mmekaa kuhunihuni sana.

Tunapozungumzia elimu, hatumaanishi ya darasani.tunamaanisha uelewa wa maslahi ya kila mtanzania.Ila kwakua wewe umeweka maslahi binafsi unataka kupotosha watu kua tunawaona hawana elimu

1: Hebu fikiri Mwananchi wa kawaida anawezaje kuiba silaha kwa kisu/panga?2: Polisi wanashindwaje kuwakamata?.3: Unahakika polisi hawawajui?. Kama wanawaju, kwanini hawawakamati na kuihakikishia jamii. Tafakari.
 
Wewe bichwa kubwa huna hata akili moja.

Nani ame kukataza kupiga kura?

Una haki kama wewe mtanzania kupiga kura.

Wewe rudi shule ukatoe ujinga alafu rudi hapa jamvini

Wewe wacha siasa kasome hujachelewa
 
Hii habari ni ya kupikwa haina uhalisia wa aina yoyote.
 
Tunapozungumzia elimu, hatumaanishi ya darasani.tunamaanisha uelewa wa maslahi ya kila mtanzania.Ila kwakua wewe umeweka maslahi binafsi unataka kupotosha watu kua tunawaona hawana elimu

1: Hebu fikiri Mwananchi wa kawaida anawezaje kuiba silaha kwa kisu/panga?2: Polisi wanashindwaje kuwakamata?.3: Unahakika polisi hawawajui?. Kama wanawaju, kwanini hawawakamati na kuihakikishia jamii. Tafakari.

Mkuu Kuna wakati ni sh apostles kuhusu tukio fulani niliona kawe darajani Kuna mtu aalzificha silaha msituni, sasa wakati anakwenda kuzitoa Kuna trafik pale ali mbona akawaita polisi defenda zikaja, jamaa akakamatwa nashangaa tukio lile hali kuonekana Ktk habari....mpaka leo kinya
 
Mkuu Kuna wakati ni sh apostles kuhusu tukio fulani niliona kawe darajani Kuna mtu aalzificha silaha msituni, sasa wakati anakwenda kuzitoa Kuna trafik pale ali mbona akawaita polisi defenda zikaja, jamaa akakamatwa nashangaa tukio lile hali kuonekana Ktk habari....mpaka leo kinya

Wewe mpuuzi hata kuandika hujui.

Rudi shule huna uwezo wakujadili hoja za msingi.

Kwanza nani ame kupa ruhusa uje mjini?
 
shigongo aseme vizuri alipoitoa hiyo kanda.

bunduki kumi haziwezi kuwa sababu za mtu kujiona eti kawa na jeshi la kupigana na serikali.

hiyo video ina malengo tofauti na kutaka kuwasilisha taarifa.
huyu mtunga hadithi wambane korodani aseme kaitoa wapi na anashirikiana na nani
 
Tunapozungumzia elimu, hatumaanishi ya darasani.tunamaanisha uelewa wa maslahi ya kila mtanzania.Ila kwakua wewe umeweka maslahi binafsi unataka kupotosha watu kua tunawaona hawana elimu

1: Hebu fikiri Mwananchi wa kawaida anawezaje kuiba silaha kwa kisu/panga?2: Polisi wanashindwaje kuwakamata?.3: Unahakika polisi hawawajui?. Kama wanawaju, kwanini hawawakamati na kuihakikishia jamii. Tafakari.

We bavicha ngojea nikwambie kitu, msijifanye mnaenda kuwapa elimu wananchi wananchi wanaelewa mambo mengi sana kutowachagua ni sababu hawawaamini hii kitu mbona haiiitaji uwe na degree ya political science kuelewa!! niye semeni mnaenda kuwamezesha propaganda za mlengo wa chama chenu.

Hapa tunazungumzia usalama wa nchi wewe unabisha polisi hawajaporwa silaha au? wapi polisi wamesema wameshindwa kuwakamata?? Mnawaza siasa tu utafikiri hao wanasiasa wanawapigania nyinyi kumbe wanapigania matumbo yao, wakianza kuumbuana mnabaki mnafikiri mnaota.
 
Hata mie ningependa sana niione hiyo full video kuna mambo mengi sana yamefichika kwenye hili

Unataka video ya nini?

Polisi wame sema ni kosa utakwenda jela bure umpetabu mzee wako!

Tafuta kazi mkuu ufanye wacha wazimu
 
Huo uongo wa kitoto na wa hatari sana kwa mustakabali wa nchi yetu,huo ni muendelezo wa kupinga mahakama ya kadhi tu sioni jambo lingine hapo,huo mkanda umetengenezwa na watu waovu wenye nia ya kujenga chuki baina ya waislam na wasio waislam

na polisi wasilichekee hilo jambo kama wana nia kweli ya kulinda amani ya nchi yetu wawatake hao global publishers waseme walipoutoa huo mkanda na kama lengo lao ni hiyo niliyoeleza hapo juu basi wanaweza kutafuta hoja nyingine ili hilo lengo lao litimie kuliko hiyo style waliyokuja nayo.

Wewe usibishe vitu usivyovijua,huo mkanda ni genuine,hao ni magaidi kama Boko haram,Alkaida na wengineo wanaofanya mauaji na ugaidi mwingine wakisingizia jina la Alah, polisi walikuwa alerted siku nyingi juu ya mafunzo makali ya karate na mengineyo yanayofanyika katika nyumba za ibada,

sijui kama walichukua hatua stahiki,sasa leo huyu gaidi anatamba kuwa ana mtaji wa roho 5 za polisi.All these evils in the name of Alah.Mi nawashangaa sana awa magaidi wa kidini,hhuo mtaji wa askari 5 kati yao alioua ni askari wa kike 2,hata did yenyewe hairuhusu kuuwa wanawake in cold blood.
 
Tanzania kwa sasa kuna magaidi wa kichinichini, jeshi la polisi na raia wema kwa pamoja tushirikiane otherwise siku moja hapatakalika huku nchini.

Hata bokoharam na Alshabaab walianza hivyo hivyo na sasa wamekomaa!
Viongozi wamelala kila mmoja anawaza uraisi na kufisadi nchi huku vyombo vya ulinzi vikifanya siasa na kudhibiti vyama vya upinzani!
 
ngonani

Mkuu,sijui kama hata tunaserikali ambayo ndio ina jukumu la kulinda usalama wa wananchi wake

Tangu wamekamata huu mkanda sijui video au nini hakuna tamko lolote kutoka kwa IGP,Mkuu wa usalamama wa Taifa au Rais kuhusiana na hili,yaani tupotrupo tu

Sijui wanasubiri yatokee kama ya West Gate ndio watoe tamko au vipi!
 
Last edited by a moderator:
Nashangaa hao viongozi wa hiyo dini ambayo nyumba zao za ibada zinatumika kusambaza hii video hawasemi kitu...

Hii ni mbaya sana!

Umeipata nakala katika nyumba gani ya ibada dini yenu inapenda sana kuchochea machafuko hata rwanda ilikua hivi hivi.
 
Umeipata nakala katika nyumba gani ya ibada dini yenu inapenda sana kuchochea machafuko hata rwanda ilikua hivi hivi.

Maelezo ya mtoa mada matumbo yanaonesha hivyo,nenda kamuulize atakuambia,haya mambo ya kufikiri kuna dini inawachafua ndio yanawafanya mnakuwa wajinga sana!
 
Last edited by a moderator:
Mmeanza kuja eeh wa upande wa pili shhehe mkuu alosema muulizwe.

Watu wengine mkuu ni hatari sana

Wanaona lakini wanataka kulazimisha wasione

Hata masikio yao wanaona kama yanawadanganya!
 
Back
Top Bottom