Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,033
- 10,622
Ingawa sikubaliani na njia hii ila Niliwahi kuandika humu,uminyaji wa haki utalipeleka taifa pabaya.Tuimarishe mifumo ya kutoa haki na taasisi za kidemokrasia
Ufashisti wa watawala na jeshi la polisi hauna tija
Kwako Gaidi kwa upande wao wanajiona wapigania haki na uhuru
usilete siasa za ccm na upinzani kwenye mambo ya msingi! Tumia akili