Huyu ndo kiongozi wa kikundi cha kigaidi kinachoua polisi na kuiba silaha kwenye vituo nchini

Huyu ndo kiongozi wa kikundi cha kigaidi kinachoua polisi na kuiba silaha kwenye vituo nchini

maneno haya yatasambaa kwa haraka,hii ni viral thing
 
polisi fanya hivi:

1:Tambua namna GPL walivyopata mkanda,Anzia hapo
2:Nunua Program ya kuvua mtu nguo,omba msaada kwa wataalm wa IT mtamjua tu huyu ni kibaka hana lolote
 

Daaah.. Yaani anasema hajawahi kuona askari dhaifu kama wa Tanzania..! Wananyang'anywa silaha na wasiokuwa na silaha..!

Mie ninamuambia hivi huyu jamaa.. Ukitaka kujua ungangali wa askari wa Tanzania subiri upinzani uandamane.. Pale ndo utajua Polisi wa Tanzania sio dhaifu.. Kwani hiyo ndo kazi yao kuzuia maandamano.. kuwapiga mabomu na risasi waandamani na kuwadhalilisha kwa kuwapiga viongozi wa vyama vya siasa.. Wanalipwa na kuongezwa vyeo kwa kazi hizo tu.. Walishapewa go ahead na PM Pinda na juzi wamepewa tena shavu na Le Professer..
 
kwanini maneno mengine yahaririwe?which means inaondoka credibility ya hii habari na kufanya isiaminike
 
Kuweni makini Watanzania na Video kama hizi kwani inaweza ikawa ni mchezo wa kuwagombanisha Watanzania kwa kuiga masuala ya ugaidi yanayo endelea Duniani.

Hakuna ukweli wowote wa hii Video ni maneno ya mtu alie ficha sura yake na huenda ikawa ni Polisi wenyewe wanacheza mchezo huu ili tu waweze kuwapiganisha Watanzania kwa mgongo wa Dini kwani ndio unatumika zaidi na Wanasiasa Duniani.

Ukweli ni kwamba Tanzania inamatatizo ya kisiasa ila kwakuwa chama tawala kinaonekana kukosa nguvu hivo wanaweza kutumia mbinu yoyote kuwapotezea Watanzania kile wanacho kiamini kitaweza kuwaletea mabadilko.
 
Nina wasiwasi tunskoelekea sipo. Nilikuwa najiuliza lengo lililokuwa nyuma ya kuvamia vituo vya polisi. Sasa nimejua, ni mkakati, ni mpango kabambe. Hawa jamaa wakiisha anza, basi tena. Kwa heri amani Tanzania.

Tiba

Amani haiwezi kutoeka tanzania

Mkuu tupo macho 24/7 hakuna mtu yoyote atakaeleta ujinga

Wewe mkuu kunywa viroba kuwana amani
 
Ikiwa hii clip ni ya kweli tunatakiwa kwanza tujiulize nani katufikisha huku......na kwanini tumefika huku........na chanzo cha yote ni nini...???....na huyo jamaa nyuma yake amezungukwa na watu wa aina gani.....??......na kwanini yote haya yanatokea kwenye uongozi huyu aliyepo madarakani...........????
 
nngu007

Nakataa kabisa,sijaona autheticity ya hii clip.hii ni propaganda tu,hii ni kutishana tu.sioni mantik ya huu ujumbe,tunaelekea uchaguzi tutaona mengi sana mwaka huu.
 
Last edited by a moderator:
1:02 ''sijaona jeshi dhaifu,dhaifu,kama jeshi la Tanzania''.............lol
 
43s4all

chukua like elfu saba mkuu,hii ni propaganda tu na kutengeneza hofu kwa wananchi.mwaka wa uchaguzi huu.
 
Last edited by a moderator:
kwanini maneno mengine yahaririwe?which means inaondoka credibility ya hii habari na kufanya isiaminike

hizi janja janja tu za waswahili tu,mtu na akili yako huwezi amini kitu kama hiki,hakina credibility yoyote
 
amesema jeshi la polise dhaifu waje wavamie kituo cha kati cha mkoa wowote ndo watajua police dhaifu au sio dhaifu wananchi tusitishwe na wahuni hakuna lolote
 
Sijui kwa nini kichwa changu kinaniambia hii ni michezo ya kuigiza ya serikali!hata sijastuka!naona haya maigizo tu!
 
1:02 ''sijaona jeshi dhaifu,dhaifu,kama jeshi la Tanzania''.............lol

La Kenya limezidi,wanaenda na vifaru kubomoa mall,ili kutoa magaidi! ����
 
Ndg zangu wanajf tuungane kwa nguvu zetu zote kuwakataa watu/taasisi/au chombo chochote kinachotumika kutugombanisha.
 
propaganda tu hizi za kutishana tunap[oelekea kwenye uchaguzi.naona kuna watu au vikundi flani vinatafutwa kupakwa matope.vipi kova bado kuongea?
 
Watanzania:-

1. Haya mambo ya waislam kutufanyia fujo yameandaliwa kwa miaka sasa. Serikali mnafiki wamekuwa wakiziona hizi harakati lakini hakuna aliyeona uzito wake kwa taifa. Walibaki kuchekacheka na kujinafikisha kisiasa. Tunahitaji uongozi Imara na uliotayari kutetea katiba ya nchi na maslahi ya taifa kwa nguvu na gharama zozote zinazohitajika.

2. Inabidi TISS na vyombo vyote vya usalama, vifanye kazi na si propaganda wakti taifa linaangamia. Taarifa na majingambo ya uwongo ili kujenga sifa huku mkijua hamjatatua tatizo, ni upuuzi usiostahimilika. Watanzania tunahitaji matokeo ya kazi na si majigambo kwamba mmekamata silaha na mtandao ili kujitafutia sifa wakati kazi hamjaifanikisha. Acheni ukova wa kutaka kujenga majina kwenye media huku hali ya usalama inazorota. Ni wakati wa kuacha kufukazana na vyama vya upinzani, na muelekeze nguvu zetu kwenye matukio ya kiharifu kama haya.

Vinginevyo ijulikane kama ninyi mko maalumu kwa kulinda ccm dhidi ya adui zenu vyama vya upinzani hasa UKAWA na wananchi wazalendo ili sis wananchi tuachane na ninyi, tuunde majeshi yetu ya ulinzi yatakayokuwepo kwa ajili ya usalama wetu tusio kuwa wanaccm.

3. Huyu Shehe mkuu kusema ndio analisikia hili suala kwa mwandishi wa ijumaa, na kusema waulize upande wa pili, ni ujumbe tosha kwama Uislam siyo taasisi inayoeleweka wala haiwezi kuaminika kwa sababu, ina dhana nyingi zinazopingana zinazoaksi tofauti kubwa miongoni mwao ambazo hata waislam wenyewe hawana uwezo wa kuzimaliza kwa njia yoyote wakiwa wote hai.

4. Angalizo kubwa, SERIKALI YA TANZANIA IPATE FUNDISHO KUBWA SANA KWA KILE ILICHOKUWA INAKILAZIMISHA CHA KUJIINGIZA KWENYE MASUALA Y A DNI YA KIISLAM NA KUJIHUSISHA NA MAMBO YAO YA IBADA NA MAHAKAMA YA KADHI.

Mungu ameruhusu hili tukio lijulikane mapema ili serikali kiziwi, ifahamu kwamba usalama wa nchi, utaendelea kuimarika tu pale serikali itakuwa na nia ya kusimama kama mtawala asiyefungamana na upande wa dini yoyote ili izidi kuwa na uhalali na uwezo wa kushughulika na imani zinazopelekea kuhatarisha usalama wa nchi na ama kwenda kinyume na katiba.

NINADHANI UJUMBE UMEFIKA.
 
Linajiona janja kwa ku copy na ku pest kutoka kwa yule mchinjaji wa IS......atakamatwa tu ata kwa ndumba
 
Back
Top Bottom