Huyu ndo kiongozi wa kikundi cha kigaidi kinachoua polisi na kuiba silaha kwenye vituo nchini

Huyu ndo kiongozi wa kikundi cha kigaidi kinachoua polisi na kuiba silaha kwenye vituo nchini

Unataka video ya nini?

Polisi wame sema ni kosa utakwenda jela bure umpetabu mzee wako!

Tafuta kazi mkuu ufanye wacha wazimu

We nawe nyoko kweli yaani issue kubwa namna hii hutaki watu wajue jambo kubwa kama hili
Ni kwa faida ya nani sasa? Acha hizo aise
 
Sasa kama linataka kumfia mungu wake kwanini linajificha kwa uoga kama jibwa koko.
 
wachekeeni waislamu wenye siasa kali TZ tutajuta nihatari inainyemelea nchi yetu.
 
Ikiwa hii clip ni ya kweli tunatakiwa kwanza tujiulize nani katufikisha huku......na kwanini tumefika huku........na chanzo cha yote ni nini...???....na huyo jamaa nyuma yake amezungukwa na watu wa aina gani.....??......na kwanini yote haya yanatokea kwenye uongozi huyu aliyepo madarakani...........????

Tatizo tunapenda kuzunguka mbuyu wakati chanzo kinajulikana. Chanzo ni verse za Quran, haijalishi katafsiri vipi, yeye ataanza kufuata mafunzo. Wewe ujiulizi kwanini hawa watu wanakuwa ni wafuasi wa dini ile ile?, Sasa hivi Uislam umegeuka kuwa Jeshi lenye Imani
 
Tatizo tunapenda kuzunguka mbuyu wakati chanzo kinajulikana. Chanzo ni verse za Quran, haijalishi katafsiri vipi, yeye ataanza kufuata mafunzo. Wewe ujiulizi kwanini hawa watu wanakuwa ni wafuasi wa dini ile ile?, Sasa hivi Uislam umegeuka kuwa Jeshi lenye Imani
Na kwanini watu wa dini ile wawe wanafanya vile.......??........
 
Na kwanini watu wa dini ile wawe wanafanya vile.......??........

Jamaa ameshasema tatizo ni verse,na nyuma ya hizo verse kuna roho inayohakikisha kila anaeambatana na hizo verse anatimiza kusudi la hizo hizo verse..
 
Mimi naona ni uongo na ukwel kiasi tu kwa staili hiyo wanayokusanyia silaha hazitoweza kuwatosha labda wapate udhamini kutoka kwa ndugu zao insha-allahnaona kama ndo silaha hizo wanazokomboleza zitakua ni kwa ajili ya kushambulia raia hasa wale wa mikusanyiko siasa(uchaguzi mwaka huu), mikusanyiko ya kidini ya wale wenzetu wapole wa moyo na wepesi wa kusamehe, uchunguzi ufanywe hasa kwa mikoa tajwa.

Yasipotokea mauji ya kutisha mwaka hu basi utatokea uvamizi na kiasi kikubwa cha pesa kuporwa, au kuingia madarakani wrong choice ya watanzania kwa ajili ya amani kupindishwa na watu wakafanya yao
sidhani kama silaha zitaporwa bure bila kuwa na jambo mahususi la kuzifanyia kama ni tembo wetu wamesha malizwa sasa wanaenda kuzifanyia nini?
 
huyu jamaa nae muoga tu anaficha uso wa nini!

Serikali ya tz wapo kimya lakini nakumbuka waliposikia kuna vijana wanatoka geita kwa miguu kuja mjini, polisi walijiandaa kwa mapambano! Ila leo kaka gaidi hapa anatamba polisi wanapiga stori vituoni.

Haka kanchi km kakusadikika vile!!
 
Unataka video ya nini?

Polisi wame sema ni kosa utakwenda jela bure umpetabu mzee wako!

Tafuta kazi mkuu ufanye wacha wazimu

Aisee una mikwara kama ya "kichaa cha dog"
 
Polisi hawawezi kujitenga na raia halafu wakashinda vita km hii.

Kuna kitu kinaitwa "THEORY OF STAKEHOLDERS IDENTIFICATION AND SALIENCE"
Hapa vitu vitayu POWER,LEGITIMACY NA URGENCY.
Kuminywa kwa haki za raia ndio chanzo cha raia kuanza kutumia nguvu "POWER" kushinikiza wasikilizwe au mambo yao yatekezwe au haki zao wazipate. Hapa utawala utashurutishwa kutekeleza wanachokitaka na hapa ile dhana ya "KUTII BILA SHURUTI" haina maana tena kwani shuruti ndio imeshika hatamu.
Labda niwakumbushe juu ya Yusuf Mohamed aliyekuwa kiongozi wa Boko Haram alikuwa akishinikiza maendeleo katika jimbo la Maiduguri lililosahaulika kimaendeleo ya kila namna na kukomeshwa kwa ukandamizi uliofanywa na dola kwa watu wa jamii hiyo,huyu mtu alikamatwa na kuuawa mikononi mwa polisi akiwa na pingu mikononi. Aboukar Shakau akachukua hata na kuanza kushinikiza kwa nguvu "POWER" akiwa na "STAKEHOLDERS" wengine. Nadhani mnajua kinachoendelea.
Hapa kwetu tumelia sana juu ya ukandamizaji wa haki za raia na sasa nguvu inatumika (MUNGU ATUEPUSHE).
LEGITIMACY(POLISI) na URGENCY(VIONGOZI WA SERIKALI) nadhani watakuwa wahanga wa hili suala.
Serikali itumie busara kubwa kutatua hili suala na lazima irudi kwa wananchi maana bila hivyo watabaki kuwa wahanga na wananchi wanawaona polisi na viongozi wa serikali km maadui.
SERIKALI NDIO WACHOCHEZI WA HILI SUALA

Wewe kidogo umeongea vitu vya msingi sio hao vilaza.

Jeshi la polisi lifanye kazi yake bila kuingiliwa na watu wa siasa!!!

Wananchi watii sheria za nchi

Wana siasa wafanye siasa zao!!

Tanzania hakutakuwa na vita
 
'.... sasa tunatoboa jahaz wote tuzame...'

hii kauli tata sn.
inaoneka walitelekezwa au kugeuka.
sasa ndio wameasi.
 
Bado haingii akilini,namsihi IGP mangu aanza kumkamata shigongo,inakuwaje mtu anaenda kumpelekea video na kumkabidhi bila kufanya jitihada zozote za kumtrace huyo mtu anapoenda hili wamtie mikononi mwa polisi? kama alikataa kupigwa picha kwanini asitumie timu yake ya OFM waje kumkamata wakati akiwa BAMAGA?
 
Kwani munawaogopa waislam? Nyinyi si mpo wengi nchi hii kweli mnatishika kwa bunduki tano hizi habari zenu zinakuaga mzaa ila mwisho wake ni mbaya sana.

nonesense.
 
Wewe bichwa kubwa akili huna.

Pole shule za kata jenga hoja mkuu usilete chuki.

Wewe huwezi kujielewa acha viroba mkuu

Na wewe acha tende unalegea viungo vyote mpaka akili, ona sasa unavyojichoresha mbele za watu.

Unataka ujengewe hoja gani na hapa zinamwagwa facts tu hakuna siasa, sio kila mtu anaogopa kumvika paka kengele.
 
Back
Top Bottom