Huyu ndo kiongozi wa kikundi cha kigaidi kinachoua polisi na kuiba silaha kwenye vituo nchini

Huyu ndo kiongozi wa kikundi cha kigaidi kinachoua polisi na kuiba silaha kwenye vituo nchini

Wewe kidogo umeongea vitu vya msingi sio hao vilaza.

Jeshi la polisi lifanye kazi yake bila kuingiliwa na watu wa siasa!!!

Wananchi watii sheria za nchi

Wana siasa wafanye siasa zao!!

Tanzania hakutakuwa na vita

Wewe kama siyo Kova utakua mke wake.
 
Tatizo nyota jamani hamuelewi polisi wa siku hizi wote in njaa wsamejazana barabarani tu kazi kula rushwa. Enzi zile polisi hatakiwi kuwa na kitambi.
 
Hapo ndipo tunaonekana wabaya. Sasa jamaa kakamatwa Kwa nini asisgugulikiwe au neo yupo kama dependent variable
 
We nawe ni msengerema nini? we mtu anatoa vitisho we unaleta mambo ya kingese hapa, ccm inahusika na nini kwenye ishu kama hii..!? jadili hili suala kwa mapana sio umeshajitundikia drip ya kiroba ndio unakuNrupuka kuciomment..!!
Nilijua wewe ni mbarikiwa muuza shamba, kumbe mbulula?
Mi sikutukani kaa.tafakari koomentii yangu kisha urudi. Sina mda wa kuongea na mjunga usiye na ubongo. Bora hata niongee na mjinga kama matumbo.
 
Huyu kama Polisi wako serious anakamatwa mara moja na hiyo alama yake kwenye paji la uso! Halafu kwa lafudhi yake si mtu wa Bara huyu!
 
Ki ukweli watanzania hawajui madhara ya ugaidi .alafu vyombo vya habari mi naona ndivyo vinavyofanya vijana wachachawe na kupenda ugaidi maana kila siku habar ni boko haram cjui alshabab cjui islamic state.vinawafanya vijana wetu nao wajione wanaweza.tutangaze amani na umuhimu wa amani hii itasaidia zaidi.MUNGU ATUNUSURU.
 
Na kwanini watu wa dini ile wawe wanafanya vile.......??........

Sababu ni maagizo ya kitabu chao, kama kitabu kinasema jino kwa jino, ua adui yako wewe unategemea nini?, ujiulizi kwanini hata leo Wasunni wamejiripua kwenye msikiti wa Shia Parkistan?
 
mkuu ni vema ukafanya research na kujua root cause ya ugaidi duniani kabla ya kugeneralise kuwa waislam na uislam ndio tatizo.Ni kweli uislam unatumika sana na magaidi lakini ni hekima kujiuliza kama uislam kama dini unahusika kuwatuma hao magaidi.Labda kosa kubwa tunalofanya sisi raia wema ni kukubali kugawanyika katika makundi ya udini,utaifa,ukabila,badala ya kusimama pamoja na kupambana na hawa wahuni.Uovu hauna dini.Ugaidi ndani ya uislamu umepandikizwa,for a purpose very destructive kwa uislam wenyewe,dini zote za Ibrahim na ustawi wa binadamu kwa ujumla.Huu ni mkakati na ndio maana unalipuka kwa wakati mmoja worldwide.

Endelea kuzunguka mbuyu wakati watu wa dini ile ile ndio wanaotekeleza mauaji
 
Wawakaribishe CIA au FBI huyu box anakamatwa kama mtoto yaani.Kwa nchi yetu watamdekeza mpaka aanze kusumbua nchi.
 
source ijumaaa
someni wenyewe

hahahahaha tatizo hiyo habari ilipopatikana nishidaaa.

hakuna kisafi kinachopatikana au kuokotwa jararani aiseeee.

sio kweli hii habari naamini kuna kitu kinataka kufichwa hapa aiseee.
polisi mpaka leo hawajakamata hata mtu 1 kuhusiana na matukio yote yaliyotokea.
naona kutoa aibu wanakuja na huu mkanda wa porojo ndio maana umepatikana kwenye gazeti lakimagumashi lenye sumu ya ukweli
 
Hii kauli ya Sheikh mkuu inaacha maswali mengi sana..."Kwanza hizo taarifa hizo ndiyo nazisikia kutoka kwako. Hilo jina ulilonitajia (Bin Abdullah) sijawahi kulisikia labda muangalie kwa wenzetu upande wa pili.”
.....wenzetu upande wa pili = Answar sunna
 
.........Tobaa!! anaongea maneno ya ile dini ya kigaidi lol!!. Nimesikia anamtaja yule Mungu wao.
 
Back
Top Bottom