Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka video ya nini?
Polisi wame sema ni kosa utakwenda jela bure umpetabu mzee wako!
Tafuta kazi mkuu ufanye wacha wazimu
A spark burned the forest. . . . .
Mungu atupilie mbali...lakini kukiibuka vikundi kama hivi...chanzo chake ni CCM
Ikiwa hii clip ni ya kweli tunatakiwa kwanza tujiulize nani katufikisha huku......na kwanini tumefika huku........na chanzo cha yote ni nini...???....na huyo jamaa nyuma yake amezungukwa na watu wa aina gani.....??......na kwanini yote haya yanatokea kwenye uongozi huyu aliyepo madarakani...........????
Na kwanini watu wa dini ile wawe wanafanya vile.......??........Tatizo tunapenda kuzunguka mbuyu wakati chanzo kinajulikana. Chanzo ni verse za Quran, haijalishi katafsiri vipi, yeye ataanza kufuata mafunzo. Wewe ujiulizi kwanini hawa watu wanakuwa ni wafuasi wa dini ile ile?, Sasa hivi Uislam umegeuka kuwa Jeshi lenye Imani
Huku ni uongo wa kupangwa
Na kwanini watu wa dini ile wawe wanafanya vile.......??........
Unataka video ya nini?
Polisi wame sema ni kosa utakwenda jela bure umpetabu mzee wako!
Tafuta kazi mkuu ufanye wacha wazimu
Polisi hawawezi kujitenga na raia halafu wakashinda vita km hii.
Kuna kitu kinaitwa "THEORY OF STAKEHOLDERS IDENTIFICATION AND SALIENCE"
Hapa vitu vitayu POWER,LEGITIMACY NA URGENCY.
Kuminywa kwa haki za raia ndio chanzo cha raia kuanza kutumia nguvu "POWER" kushinikiza wasikilizwe au mambo yao yatekezwe au haki zao wazipate. Hapa utawala utashurutishwa kutekeleza wanachokitaka na hapa ile dhana ya "KUTII BILA SHURUTI" haina maana tena kwani shuruti ndio imeshika hatamu.
Labda niwakumbushe juu ya Yusuf Mohamed aliyekuwa kiongozi wa Boko Haram alikuwa akishinikiza maendeleo katika jimbo la Maiduguri lililosahaulika kimaendeleo ya kila namna na kukomeshwa kwa ukandamizi uliofanywa na dola kwa watu wa jamii hiyo,huyu mtu alikamatwa na kuuawa mikononi mwa polisi akiwa na pingu mikononi. Aboukar Shakau akachukua hata na kuanza kushinikiza kwa nguvu "POWER" akiwa na "STAKEHOLDERS" wengine. Nadhani mnajua kinachoendelea.
Hapa kwetu tumelia sana juu ya ukandamizaji wa haki za raia na sasa nguvu inatumika (MUNGU ATUEPUSHE).
LEGITIMACY(POLISI) na URGENCY(VIONGOZI WA SERIKALI) nadhani watakuwa wahanga wa hili suala.
Serikali itumie busara kubwa kutatua hili suala na lazima irudi kwa wananchi maana bila hivyo watabaki kuwa wahanga na wananchi wanawaona polisi na viongozi wa serikali km maadui.
SERIKALI NDIO WACHOCHEZI WA HILI SUALA
Wewe bichwa kubwa akili huna.
Pole shule za kata jenga hoja mkuu usilete chuki.
Wewe huwezi kujielewa acha viroba mkuu