NDAGLA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 2,490
- 1,353
Wanasiasa wapumbavu sana ni juzi tu kuna mmoja amedhihirisha kiwango cha upumbavu wake kwa kukandia jitihada za serikali kuimarisha ulinzi wa raia eti haoni umuhimu wa vituo vya polisi nchini.
Amwambia sasa mama yake alisake hili gaidi linalol-battle government.
Hizi siasa za kipumbavu muda si mrefu tutagawana mbao.
Amwambia sasa mama yake alisake hili gaidi linalol-battle government.
Hizi siasa za kipumbavu muda si mrefu tutagawana mbao.
