Unaweza ukawa hauchepuki ila una uhakika gani mwenzio hachepuki? Hapo ndipo penye shida.Mm ninapokuwa na mpenzi wangu suala la mimba huwa sio tatizo...hayo magonjwa unayatoa wapi kama wote hamchepuki halaf miaka ya karibuni sijasikia mtu kaambukizwa STD
Unaweza ukawa hauchepuki ila una uhakika gani mwenzio hachepuki? Hapo ndipo penye shida.
Soma binti ukampe shem raha.Yaan me nimechoka macho ntarudi baadaye hahahahahaha
Halafu mpaka hapo nilipofikia nimejikuta najiambia mbona yote huwa nafanya?????
Kwanini hauna mpenzi?Tusiokuwa na wapenzi tuakoment wapi
Kwa sababu sinaKwanini hauna mpenzi?
Oouh...noted. Ila unatamani kuwa naye?Kwa sababu sina
Si ndio. Yupo huko unifanyie mpangoOouh...noted. Ila unatamani kuwa naye?
Ndiyo...Niambie pakumletaSi ndio. Yupo huko unifanyie mpango
Kwa mwaka tunaonana mara mbili au tatu. Naachaje kutumia condom?Kwahiyo ww unataka kuniaminisha unakuwa kwny rltnshp kwa miaka 3 na mara zote mnatumia cndm?
Hapo sitaamini kbs
Anhaa sawa nipe no zakeNdiyo...Niambie pakumleta
Kwa mwaka tunaonana mara mbili au tatu. Naachaje kutumia condom?
Ok.Anhaa sawa nipe no zake
Am veeeery serious.Mara mbili kwa mwaka
U cnt be serious
Am veeeery serious.
Hahahaaa!! Kuwa serious ni kuonana mara kwa mara?Then that rltnshp z nt serious
Hahahaaa!! Kuwa serious ni kuonana mara kwa mara?
Oooh kumbe!! Basi ngoja nikimpata mwingine nitajitahidi angalau mara 4 kwa mwaka.Unaonana mara mbili kwa mwaka na mjomba wako aliye kijijini sio mpenz wako...Hayo mahusiano gani ss
Oooh kumbe!! Basi ngoja nikimpata mwingine nitajitahidi angalau mara 4 kwa mwaka.
Hivi kuonana kila siku ndio mahusiano jamani!!Naona unaanza kunizingua