Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Duuh noma sanaFeruzi sura ilishamsaliti tangu akiwa dogo tuu anaimba starehe. Kisura alishazeeka tangu akiwa fomfoo.
Hiyo sura ni kama ana 57 sasa. Huyo sura tuu imemsaliti vinginevyo ni kama Jmo tuu au mwanaFA kwa age yakeImepita miaka 23 sasa tangu wimbo wake wa Starehe utoke.
Kama alikuwa na miaka 24 Mwaka huo, ina maana kwasasa yupo kwenye 47 π
Hajawahi kuzeeka.Huwa yupo hivyo miaka yote kabla hata ya uhuru wa Tanganyika.Amezeeka au ni kamera?
Duuh insikitisha uzee kumbe upoImepita miaka 23 sasa tangu wimbo wake wa Starehe utoke.
Kama alikuwa na miaka 24 Mwaka huo, ina maana kwasasa yupo kwenye 47 π
Unadhani ataendelea kuwa na Sura ile ile
Kumbe ni muhanga
SawaSijaona huo uzee hapo
DuuhHajawahi kuzeeka.Huwa yupo hivyo miaka yote kabla hata ya uhuru wa Tanganyika.
Inawezekana lakini huwezi jua umri wake halisi wakati anatoa ile nyimbo ya Starehe.Hiyo sura ni kama ana 57 sasa. Huyo sura tuu imemsaliti vinginevyo ni kama Jmo tuu au mwanaFA kwa age yake
Mkuu miaka inakimbia.Duuh insikitisha uzee kumbe upo