Huyu ni Ferooz, kumbe kweli uzee upo

Huyu ni Ferooz, kumbe kweli uzee upo

Imepita miaka 23 sasa tangu wimbo wake wa Starehe utoke.

Kama alikuwa na miaka 24 Mwaka huo, ina maana kwasasa yupo kwenye 47 🙌

Unadhani ataendelea kuwa na Sura ile ile
Babukijana hapa umetupiga kamba starehe sio ya 2003 au 2004 kweli, halafu wakati huo inawezekana alikuwa chini ya 24,

Huyu ndo alivyo sura yake tokea kijana sasa ni mtu mzima, sura ya kazi maana halisi ya mbantu umbile la pua na mdomo, tatizo hana nyota
 
Wadau kumbe kuna kuzeeka aisee, huyu ferouz hatumii vitu kweli mbona kama age imeenda sana aise.

Unaweza kusema kikongwe, maisha kweli yanabadilika.

View attachment 3047769
Kinachomfanya aonekane mkubwa zaidi ni hivyo anaendelea kunyoa style za Gen Z na mihereni. Sasa hivi anatakiwa kunyoa kibroo, mkato safi wa kigentleman na hereni aache mbona sio mzee kihivyo?

Ila maisha haya? Ferooz na pua yake kama sketi ya solo alikuwa anagombewa na wadada enzi zake!
 
Babukijana hapa umetupiga kamba starehe sio ya 2003 au 2004 kweli, halafu wakati huo inawezekana alikuwa chini ya 24,

Huyu ndo alivyo sura yake tokea kijana sasa ni mtu mzima, sura ya kazi maana halisi ya mbantu umbile la pua na mdomo, tatizo hana nyota
Ni mzaramo huyo inawezekana kipindi anatoa nyimbo Ile alikuwa na miaka 28
 
Kinachomfanya aonekane mkubwa zaidi ni hivyo anaendelea kunyoa style za Gen Z na mihereni. Sasa hivi anatakiwa kunyoa kibroo, mkato safi wa kigentleman na hereni aache mbona sio mzee kihivyo?

Ila maisha haya? Ferooz na pua yake kama sketi ya solo alikuwa anagombewa na wadada enzi zake!
Pua kama sketi ya solo 😅😅🙌
 
Imepita miaka 23 sasa tangu wimbo wake wa Starehe utoke.

Kama alikuwa na miaka 24 Mwaka huo, ina maana kwasasa yupo kwenye 47 🙌

Unadhani ataendelea kuwa na Sura ile ile
labda useme nyimbo za daznunda kama kamanda barua ndio znaeza kua na umr uo manake zimetoka hat kipind kufanya video isue 2002 na 3 ila stareh mbona ya kipnd cha kat tu ila szan km inakosa 15yrs
 
Kinachomfanya aonekane mkubwa zaidi ni hivyo anaendelea kunyoa style za Gen Z na mihereni. Sasa hivi anatakiwa kunyoa kibroo, mkato safi wa kigentleman na hereni aache mbona sio mzee kihivyo?

Ila maisha haya? Ferooz na pua yake kama sketi ya solo alikuwa anagombewa na wadada enzi zake!
Naomba uiweke picha ya sketi ya solo ili niifananishe na pua ya Ferouz.
 
Back
Top Bottom