To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣🤣🤣🙌Feruzi sura ilishamsaliti tangu akiwa dogo tuu anaimba starehe. Kisura alishazeeka tangu akiwa fomfoo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🙌Feruzi sura ilishamsaliti tangu akiwa dogo tuu anaimba starehe. Kisura alishazeeka tangu akiwa fomfoo.
Naomba uiweke picha ya sketi ya solo ili niifananishe na pua ya Ferouz.
Kumbuka miaka yake sawa na Suleiman Jaffo.Imepita miaka 23 sasa tangu wimbo wake wa Starehe utoke.
Kama alikuwa na miaka 24 Mwaka huo, ina maana kwasasa yupo kwenye 47 🙌
Unadhani ataendelea kuwa na Sura ile ile
Naomba uiweke picha ya sketi ya solo ili niifananishe na pua ya Ferouz.Kinachomfanya aonekane mkubwa zaidi ni hivyo anaendelea kunyoa style za Gen Z na mihereni. Sasa hivi anatakiwa kunyoa kibroo, mkato safi wa kigentleman na hereni aache mbona sio mzee kihivyo?
Ila maisha haya? Ferooz na pua yake kama sketi ya solo alikuwa anagombewa na wadada enzi zake!
Waaleykum salaam shukrani sana sasa nimeshafananisha sketi ya solo na pua ya Ferouz.
Hao ni watu wawili tofautiKumbuka miaka yake sawa na Suleiman Jaffo.
View attachment 3048309
Starehe ni nyimbo ambayo imeuza sana Kwa upande wa Ferouzlabda useme nyimbo za daznunda kama kamanda barua ndio znaeza kua na umr uo manake zimetoka hat kipind kufanya video isue 2002 na 3 ila stareh mbona ya kipnd cha kat tu ila szan km inakosa 15yrs
Hata hivyo mwenye miaka 47 hawi kama yeye, masoud kipanya na feruzi nani mkubwa?Imepita miaka 23 sasa tangu wimbo wake wa Starehe utoke.
Kama alikuwa na miaka 24 Mwaka huo, ina maana kwasasa yupo kwenye 47 🙌
Unadhani ataendelea kuwa na Sura ile ile
starehe imetoka enzi za mkapa mkuu, way back around 2003 hivi........labda useme nyimbo za daznunda kama kamanda barua ndio znaeza kua na umr uo manake zimetoka hat kipind kufanya video isue 2002 na 3 ila stareh mbona ya kipnd cha kat tu ila szan km inakosa 15yrs
.....sahihi, nadhani alipewa na ile gari ya jeep,Starehe ni nyimbo ambayo imeuza sana Kwa upande wa Ferouz
Mwaka 2004 ama 2002 aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Benjamin Mkapa alimtunza kiasi Fulani cha fedha katika kutambua mchango wake kupambana na HIV/Ukimwi kupitia wimbo huo wa Starehe
Amezeeka au ni kamera?
Ushamwona FA vizuri? Ni dingi yule jamaaHiyo sura ni kama ana 57 sasa. Huyo sura tuu imemsaliti vinginevyo ni kama Jmo tuu au mwanaFA kwa age yake
feruz sura yake ni ngumu hivo hivo toka kitambo!Hata hivyo mwenye miaka 47 hawi kama yeye, masoud kipanya na feruzi nani mkubwa?
Huenda Matumizi ya Vilevi na madawa kama wengi wanavyosema.Hata hivyo mwenye miaka 47 hawi kama yeye, masoud kipanya na feruzi nani mkubwa?
Kabisa.....sahihi, nadhani alipewa na ile gari ya jeep,
KizukaClassmate ana sura personal tangu skonga...
50 hajavika nafikiri atakua kwenye 40 mwanzoni. Lakini feruzi tangu akiwa mdogo sura ilishamkataa ni kama yule hamphrey polepole ukimwangalia haujui kama ni kijana au mzeeInawezekana lakini huwezi jua umri wake halisi wakati anatoa ile nyimbo ya Starehe.
Maana Kibongo Bongo hadi utoboe unaweza kukuta umefikia 30+
Kwahiyo mantiki yangu ni kwamba huenda amevuka 50yrs
Ama kama ulivyosema sura imemgomea.
Kuna baadhi ya Wanaume tuna sura za ngumu zaidi ujue 😜🙌
Huyu ana sura ngumu tu.Wadau kumbe kuna kuzeeka aisee, huyu ferouz hatumii vitu kweli mbona kama age imeenda sana aise.
Unaweza kusema kikongwe, maisha kweli yanabadilika.
View attachment 3047769