Huyu ni Ferooz, kumbe kweli uzee upo

Watanzania wengi wanazeeka haraka sura na miili kwa kukosa milo stahiki.

Abadili namna ya kula tu, asile kimazowea.

Nyama, samaki, mayai, maziwa mboga, matunda ndivyo vya kula. Ugali, wali, na chipsi ni vya kutowelea tu. Watanzania tunafanya kinyume cheke, tunakula ugali na wali, paka haruki. Nyama na Samaki harufu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…