Huyu ni kidato cha nne, Serikali chukueni hatua

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001



Huo ni uandishi wa mwanafunzi wa kidato cha nne. Bila kupepesa macho, hayo ni matokeo ya elimu yetu ya mradi liende.

Wadau na wizara ya elimu mna wajibu. Kadri muda unavyokwenda hali inakuwa mbaya zaidi. Watu wanaandika lugha isiyokuwepo. Hayo ni matokeo ya kizazi chetu kufundishwa na watu wasiopikwa ipasavyo. Fikiria baada ya miaka 10 ijayo hali itakuwaje?
 
So unataka kutuaminisha hata kwenye mitihani huwa anaandika hivyo?

Hizo ni swag tu, kajilipua akili kama wewe unavyojilipuaga na simbwa yako, sio kama hajui kuandika
 
Mbona Kuna wenye shahada humu JF home of great thinkers wanaandika hivyo hivyo? Kazi ni kubwa.
 


Kha!!!!
 
Mbona hata kwenye kizazi chako wapo wanaoandika hivyo, unataka kutuambia na wao wamefundishwa na walimu wasiopikwa vizuri???
 
Hio ndio lugha yao Gen Z inasaidia kwenye maongezi yao...

Au ulitaka aweke na reference na Bibliography ?

Anyway to each their own..., and when in Rome usishangae how Romans act...
 
Hizo ni sawa na shorthand mkuu. Sio kwamba hajui kuandika. Ni sawa na kwenye kijiwe ukakuta wanaongea slang au lugha ya mitaani. Ipo kila sehemu ukiingia kwenye mitandao ya kizungu au ya kirusi utakutana nayo hiyo.
 

Stendi inadharauliwa sana sijui kwa nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…