Huyu ni mmoja tu; hebu fikiria Watanzania 10 wangefanya hivi ni wawekezaji au wafanyabishara wangapi tungewavuta kuja hapa nchini?

Huyu ni mmoja tu; hebu fikiria Watanzania 10 wangefanya hivi ni wawekezaji au wafanyabishara wangapi tungewavuta kuja hapa nchini?

Watu wamekimbia huu uzi. Ila una ujumbe safi kabisa. Shida sasa unaweza pambana hivo, kurise awareness kuhusu nchi yako, alafu system ikagoma speed🤣🤣🤣. Inataka kula tu
Ni kawaida yetu ,, sisi tunapenda kuchangia mada nyepesi,, tutajaa sana kama inzi kwenye kinyesi na kuchangia pindi utakapo tuuliza kati ya ambaruti na gigy money nani anat*ko kubwa ,, hapa mwenyewe utakubali uchangiaji wetu
 
kwahiyo unaona hii ni habari mpya. amka
unajua kenya wananunua asali front kabisa ,yaani wanaenda wenyewe katavi na sikonge wanaenda ku process na kuuza kwenye soko la nje
parachichi zinauzwa china kupitia kenya na wanasema ni vya kwao
Wananunua machungwa mengi Sana hapo Tanga, muheza, korogwe etc na kupeleka kwao kutengeneza juice na kutuuzia
 
Mkuu kama yote haya umeyaona na unayajua ,, wewe kwa nafasi yako umewahi kuchukua hatua gani ??? Maana hapo juu tumeona Bwana James yeye kaamua kuandika juu ya swala hilo ,, na kwa kupitia yeye mtu mmoja wa Africa kusini kapata kujua ukweli na hapo hatujui huyu mtu atawaeleza wenzie wangapi wa huko s.Africa juu ya jambo hili ,,, hivyo bwana james kasaidia kwa namna moja au nyingine
watu tumeandika sana. kuna lingine kwamba mlima kilimanjaro upo kenya. hilo nalo hulijui?
tatizo la nchi hii ukifanya kitu unaonekana unamsema rais na unaweza kutekwa
 
watu tumeandika sana. kuna lingine kwamba mlima kilimanjaro upo kenya. hilo nalo hulijui?
tatizo la nchi hii ukifanya kitu unaonekana unamsema rais na unaweza kutekwa
Nalijua ,, kenyans are the go getter ,,, yani watu wa fursa kweli kweli ,, lakini hii hutokana na sisi watanzania kuzubaa,, Kenya hupenda kuita Tanzania " The sleeping giant "

Kwa case ya mt kilimanjaro ipo hivi
Asilimia 90 ya picha za mlima kilimanjaro unazoziona zinasambaa mitandao ni picha zilizopigwa Kenya katika mbuga ya amboseli ,, hii hupelekea wengi waone huu mlima ni kama wao tu ,,, ikiachilia hivyo wakenya waliowengi waliweka picha za mlima huu kwenye profile zao na hata majumbani mwao ,,, hii ilipelekea wageni wengi waamini huu mlima pia ni wa Kenya ..

swali langu kwako ,,wewe unapicha yeyeto ya mlima huu hapo kwako au hata kwenye profile yako ???

Najua tu : haunaaa

Okay ipo hivi

Wakenya wengi wanataarifa za kutosha juu ya Tz ,, wakati watz hatuna taarifa yeyeto juu ya kenya ..
 
kwahiyo unaona hii ni habari mpya. amka
unajua kenya wananunua asali front kabisa ,yaani wanaenda wenyewe katavi na sikonge wanaenda ku process na kuuza kwenye soko la nje
parachichi zinauzwa china kupitia kenya na wanasema ni vya kwao
Hivi sisi kama nakumbuka kulikua kuna vikwazo vya kuuza parachichi China sijui walisha reach agreement?
Kenya wanafanya sana biashara ya mazao nje ya nchi mpaka raha.
Lakini Tanzania vikwazo vingi sana vibali kama vyote..
Ndo maana wafanyabiashara wengi wenye mitaji mikubwa wanafungua makampuni kenya.Kenya ipo friendly kwa wawekezaji wa nje na ndani.
 
Njombe sehemu gani?
nipo interested na Parachichi kama vipi fanya connection tujue tunashauriana vipi kutafuta masoko na connection Mambele,
Note: nipo na bichwa langu tu lenye akili nusu sina mtaji wala shamba ila naamini katika changes na kuthubutu kufanya kitu tofauti so
Kama itapendeza let us shine together!
Ninashamba dogo tu. Nimewahi lipist humu.
Kuna ule uzi wa "kilimo cha parachicho hakina faida."
Mimi nina mashamba mengi sijayapanda kama unaweza kujitoa mhanga njoo tupande, zopi heka 25 hazijapabdwa bado ila mi hamu sina nimeishia kupanda heka 3tu. Kilimo cha parachichi kinachangamoyo nyingi. Karibu kwa mazungumdo zaidi.
 
Njombe sehemu gani?
nipo interested na Parachichi kama vipi fanya connection tujue tunashauriana vipi kutafuta masoko na connection Mambele,
Note: nipo na bichwa langu tu lenye akili nusu sina mtaji wala shamba ila naamini katika changes na kuthubutu kufanya kitu tofauti so
Kama itapendeza let us shine together!
Ungesema na nguvu unazo ingekuwa poa sana. Mashamba yapo Kifanya na hapo katikati kabla hujafika kifanya. Kama una nguvu njoo uweke nguvu.
Shamba moja ouna udongo mzuri unastaei tikiti, karanga, maharage, mahindi, avocado, papai, viazi mviringo, maboga nk.
Yaani kika kitu kinastawi.
Kama una nguvu na upo serious njoo tufanye kazi.
Mifumo ya maji ipo.pampu ya dizel nchi 3, pipe 2 roller 3. Kama unajitaguta njoo tuanze na bustani ya nyanya mwezi sept na kama ushajipata haina shida. Ni kazi ya kujitoa kufa na kupona. Kama upo serious njoo pm.
 
Nalijua ,, kenyans are the go getter ,,, yani watu wa fursa kweli kweli ,, lakini hii hutokana na sisi watanzania kuzubaa,, Kenya hupenda kuita Tanzania " The sleeping giant "

Kwa case ya mt kilimanjaro ipo hivi
Asilimia 90 ya picha za mlima kilimanjaro unazoziona zinasambaa mitandao ni picha zilizopigwa Kenya katika mbuga ya amboseli ,, hii hupelekea wengi waone huu mlima ni kama wao tu ,,, ikiachilia hivyo wakenya waliowengi waliweka picha za mlima huu kwenye profile zao na hata majumbani mwao ,,, hii ilipelekea wageni wengi waamini huu mlima pia ni wa Kenya ..

swali langu kwako ,,wewe unapicha yeyeto ya mlima huu hapo kwako au hata kwenye profile yako ???

Najua tu : haunaaa

Okay ipo hivi

Wakenya wengi wanataarifa za kutosha juu ya Tz ,, wakati watz hatuna taarifa yeyeto juu ya kenya ..
Kiuhalisia mlima upo Kenya, kisiasa upo Tanzania.
 
Ungesema na nguvu unazo ingekuwa poa sana. Mashamba yapo Kifanya na hapo katikati kabla hujafika kifanya. Kama una nguvu njoo uweke nguvu.
Shamba moja ouna udongo mzuri unastaei tikiti, karanga, maharage, mahindi, avocado, papai, viazi mviringo, maboga nk.
Yaani kika kitu kinastawi.
Kama una nguvu na upo serious njoo tufanye kazi.
Mifumo ya maji ipo.pampu ya dizel nchi 3, pipe 2 roller 3. Kama unajitaguta njoo tuanze na bustani ya nyanya mwezi sept na kama ushajipata haina shida. Ni kazi ya kujitoa kufa na kupona. Kama upo serious njoo pm.
Ahaa ok mkuu nimekupata nitakucheki asante sana kwa introduction naona kitu kikubwa hapo......
Blessed!
 
Serikali imewekeza kwenye kununua chawa wa kusifia viongozi badala ya kutangaza nchi kupitia ushawishi walionao mitandaoni, mimi nijitutumue kuelezea mazuri ya nchi ambayo muwekezaji akipatikana kodi zinarudishwa kufadhili chawa. Haya ni maajabu, kila mtu ashinde mechi zake, tule kulingana na urefu wa kamba zetu
 
Utasikia wapuuzi wa humu wanakuambia tumewazidi wakenya kila kitu mara kati ya Nairobi na dar wapi kuzuri
 
Ungesema na nguvu unazo ingekuwa poa sana. Mashamba yapo Kifanya na hapo katikati kabla hujafika kifanya. Kama una nguvu njoo uweke nguvu.
Shamba moja ouna udongo mzuri unastaei tikiti, karanga, maharage, mahindi, avocado, papai, viazi mviringo, maboga nk.
Yaani kika kitu kinastawi.
Kama una nguvu na upo serious njoo tufanye kazi.
Mifumo ya maji ipo.pampu ya dizel nchi 3, pipe 2 roller 3. Kama unajitaguta njoo tuanze na bustani ya nyanya mwezi sept na kama ushajipata haina shida. Ni kazi ya kujitoa kufa na kupona. Kama upo serious njoo pm.
Una uzoefu na kilimo cha nyanya?
 
Habari zenu wanajamii forum. Huku niliko, mimi ni mzima wa afya, na natumaini huko mlipo ni wazima pia kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu.

Leo, katika pita pita mtandaoni, nikakutana na post ya bwana James ambayo kwa namna moja imenivutia sana na kunifanya nije hapa kuianzishia uzi, pengine tukapata lolote la kujifunza toka kwake kuhusu namna ya kutumia mitandao ya kijamii katika kulitangaza taifa letu la Tanzania.

Bwana James ameieleza Afrika na dunia juu ya kile kinachofanywa na jirani yetu, Kenya. Amesema kuwa, "Kenya imekuwa ikirangua parachichi kutoka Tanzania na kuyasafirisha nje ya Afrika, hali inayopelekea taifa hilo kutambulika kama wazalishaji na wasafirishaji wakubwa wa parachichi barani Afrika na duniani kwa ujumla. Hili limekuwa likifanyika pia katika uzalishaji wa nyama na maziwa."

Baada ya kupitia maelezo haya, nilishuka moja kwa moja sehemu ya maoni na nilifarijika sana na maoni ya mfanyabiashara mmoja wa parachichi kutoka Afrika Kusini ambaye alishukuru sana kwa taarifa hii, akidai kuwa imemfungua macho. Alikuwa akirangua parachichi kutoka Kenya na kuziingiza nchini Afrika Kusini, hali iliyompelekea kuingia gharama kubwa sana, ila sasa anatizamia kuanza kuzirangua kutoka Tanzania.

Ombi langu ni hili: Wote tumeona jinsi mtu mmoja alivyoweza kumvuta mfanyabiashara mmoja kuja nchini kwetu. Je, kila Mtanzania akitumia nafasi yake kufanya hivi, tungeweza kuvutia wawekezaji au wafanyabiashara wangapi?

Pia, kizazi cha Z, kizazi cha taarifa, kizazi cha sayansi na teknolojia, kizazi cha mitandao ya kijamii, badala ya kuingia huko na kufuatilia habari za WCB, Mwijaku na wengine, jamani tumieni nafasi hiyo pia kuandika chochote juu ya mazuri ya nchi yetu. Kama inakuwa ngumu, basi tumeni hata picha za Mlima Kilimanjaro. Kwa namna moja au nyingine, tutakuwa tumeitangaza nchi yetu na siyo kuiachia serikali pekee.

Asanteni.

View attachment 3043355
Ajichanganye tu, atapigwa mpaka achakachae. Wanavyosikia kuwa Kenya wana import yeye anadhani wana import kwa Whatsapp?
Kama ana huo muda wa kuja kushinda huku na watanzania tangu maandalizi hadi mavuno basi ni vyema
 
H
Habari zenu wanajamii forum. Huku niliko, mimi ni mzima wa afya, na natumaini huko mlipo ni wazima pia kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu.

Leo, katika pita pita mtandaoni, nikakutana na post ya bwana James ambayo kwa namna moja imenivutia sana na kunifanya nije hapa kuianzishia uzi, pengine tukapata lolote la kujifunza toka kwake kuhusu namna ya kutumia mitandao ya kijamii katika kulitangaza taifa letu la Tanzania.

Bwana James ameieleza Afrika na dunia juu ya kile kinachofanywa na jirani yetu, Kenya. Amesema kuwa, "Kenya imekuwa ikirangua parachichi kutoka Tanzania na kuyasafirisha nje ya Afrika, hali inayopelekea taifa hilo kutambulika kama wazalishaji na wasafirishaji wakubwa wa parachichi barani Afrika na duniani kwa ujumla. Hili limekuwa likifanyika pia katika uzalishaji wa nyama na maziwa."

Baada ya kupitia maelezo haya, nilishuka moja kwa moja sehemu ya maoni na nilifarijika sana na maoni ya mfanyabiashara mmoja wa parachichi kutoka Afrika Kusini ambaye alishukuru sana kwa taarifa hii, akidai kuwa imemfungua macho. Alikuwa akirangua parachichi kutoka Kenya na kuziingiza nchini Afrika Kusini, hali iliyompelekea kuingia gharama kubwa sana, ila sasa anatizamia kuanza kuzirangua kutoka Tanzania.

Ombi langu ni hili: Wote tumeona jinsi mtu mmoja alivyoweza kumvuta mfanyabiashara mmoja kuja nchini kwetu. Je, kila Mtanzania akitumia nafasi yake kufanya hivi, tungeweza kuvutia wawekezaji au wafanyabiashara wangapi?

Pia, kizazi cha Z, kizazi cha taarifa, kizazi cha sayansi na teknolojia, kizazi cha mitandao ya kijamii, badala ya kuingia huko na kufuatilia habari za WCB, Mwijaku na wengine, jamani tumieni nafasi hiyo pia kuandika chochote juu ya mazuri ya nchi yetu. Kama inakuwa ngumu, basi tumeni hata picha za Mlima Kilimanjaro. Kwa namna moja au nyingine, tutakuwa tumeitangaza nchi yetu na siyo kuiachia serikali pekee.

Asanteni.

View attachment 3043355
Huyu Sio Mteja wa parachichi atakuja kuya binya binya ayaache
 
Huwa sielewi shida yetu ni nini, Nchi yetu idadi ya wasomi inaongezeka kila Leo lakini ujinga hauiishi. Sisi tuna mazao ya biashara mengi sana lakini hatujui wapi tumekwama na serikali haijali.
Tuko na wasomi wengi wa kukariri makaratasi ila zero competence,hii inatufanya tuwe nyuma sana kwenye jambo lolote linalohusu ushindani wa kimataifa
 
Hao ndiyo kikwazo.....

Kiko kwa ajili ya kuwa kombatia
Watu wachache tu

Ova
Mfumo wetu ni wa kibepari japo tunajifanya wajamaa. Serikali iko radhi watu hao hao wachache wafaidike kuliko mfaidike wengi. Nilitaka kutuma kahawa nusu kilo kama sample iende marekani nilishindwa sababu itanicost 300k kibali cha ku export. Imagine
 
Mfumo wetu ni wa kibepari japo tunajifanya wajamaa. Serikali iko radhi watu hao hao wachache wafaidike kuliko mfaidike wengi. Nilitaka kutuma kahawa nusu kilo kama sample iende marekani nilishindwa sababu itanicost 300k kibali cha ku export. Imagine
Kweli kabisa,mfumo unabana

Ova
 
nashukuru siko tz.
mambo ya nchi yangu yalinichosha. kabla ya serikali watz wenyewe ni wana utapeli wa kishamba na uchawiuchawi
 
Tuzidi kuelimishana kuhusu jambo hili na mengine yanayofanana na haya pasipo kulaumiana.
 
Back
Top Bottom