Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
Acheni kututisha na konspirasi theorizi zenu. Tanzania ni nchi ya amani na utulivu. Inafuata utawala wa kisheria. Ina utawala bora. Pia ina uongozi uliochaguliwa katika uchaguzi uliokuwa huru na wa haki. Vyombo vya dola vinafanya kazi yake. Na watuhumiwa wote wanapelekwa mahakamani. Sheria inafuata mkondo wake.
Ni vizuri saana kumjadili mtu kama kuna maslahi ya Taifa ndani yake yaani kinachojadiliwa mwisho wake unakuwa ni ukombozi kwa Taifa. Katika mjadala huu inakera saana pale ambapo watu wanajadili issue ya kuwafanya wanaume wenzake. Kuna issue jamani ni mambo ya kusikia na hakuna hata mmoja anayeweza kujitokeza akathibitisha, they are merely allegations. Tena basi inwezekana wengine wanakuwa washindani wake katika biashara wanaona fursa ni JF kuchafuana. Hivi ni kweli kwamba hatuwezi kujadili issue au mtu within the limit kwenye maslahi ya nchi??? Hivi hatuoni issue chafu zilizojadiliwa juu ya huyu bwana zinapunguza credibility ya JF? (kuwa specific namaanisha issue za kuwaingilia watu kinyume na maumbile). Huyu bwana akiamua kuishataki JF kwa post za namna ile hatuyaoni madhara? Hata km hatashtaki je tunamtendea haki? Au hatufaham issue km zile zinaweza hata kuwa chanzo cha kusambaratisha familia yake? Binafsi nashauri tuziondoe post zile na pia tujifunze kuchangia kwa kuheshim utu wa mtu au kutoa hoja ambayo inaweza kuthibitishika.
kuna mahali kajificha hammuoni tu, hawezekani pesa ikawa nje nje tu kiholela!Pia ni mmiliki wa chain ya Supper Markets kwenye vituo vyote vya TIOT.
He is a powerful man with connections among the axis of powers za nchi hii, Ewura walipofunga petrol station yake pale Moro on Friday moja, the following Monday lawyers wake wakafile suit under the certificate of urgency, by Wed, Petrol Station ikafunguliwa kwa amri ya mahakama, issue iliyoleta malumbano makubwa kati ya Sitta na CJ.
Inasemekana familia yao inamiliki visima vya mafuta Arabuni, meli za kuyasafirisha mafuta hayo ni zao, clearing agents ni kampuni yao. Surface transport ni malori yao, na huko DRC, ana miliki petrol stations kadhaa.
The man is filthy rich, ila pia ana roho nzuri kama walivyo matajiri wa Moro, pesa nje nje, ikitokea misiba, usafiri wa kwenda mazikoni bure na ubani wa maana.
Ufuasi unaanzia wapi? Umepitia thread nzima ukaona mengine yaliyoandikwa au unahit tu keyboard? Mengine ni kupakana matope na story za vijiweni. Nani yupo tayari kudhalilika bila ya kuwa mhusika?tunaomba tu usiwe mfuasi. mengine yaache kama yalivyo
yahitaji moyoMmh! CV Bab kubwa. Hayumo kwenye Chama pia huyu? In any case, tunaisubiri kwa hamu hiyo ripoti inayofanyiwa kazi na Mzee wa kazi -MmKjj. Ingekuwa sie wengine tungeshabwaga manyanga baada ya mtiririko huo wa misifa. 😛
Mwanakijiji unaandaa conspiracy gani nyingine. Au unaunganisha behewa moja la hatari la hali ya kisiasa mkoa wa Morogoro manake Morogoro rangi fulani inajigawia majimbo ha ha ha au unazungumzia uchumi ulivyo kwa wachache ambaow anaweza kuamua kuuangusha kupitia mafuta au kuna deal la nyara za serikali ahh naona kama nakuingilia !!! lakini si unajua tena mambo ya silver na fedheha zake sema basi ili tuseme.Unajua kwanini?Tuko katika kufanyia kazi ripoti moja muhimu sana; jina moja limeongezewa:
Merei Balhaboo
Je mwamjua huyu jamaa pale Morogoro?
Tuko katika kufanyia kazi ripoti moja muhimu sana; jina moja limeongezewa:
Merei Balhaboo
Je mwamjua huyu jamaa pale Morogoro?
.Tuko katika kufanyia kazi ripoti moja muhimu sana; jina moja limeongezewa:
Merei Balhaboo
Je mwamjua huyu jamaa pale Morogoro?
Tuko katika kufanyia kazi ripoti moja muhimu sana; jina moja limeongezewa:
Merei Balhaboo
Je mwamjua huyu jamaa pale Morogoro?
Kingine ni pedeshee mtu wa totoz,akipenda totoz anaweka naye apointment DubaiiiiMwanakijiji unaandaa conspiracy gani nyingine. Au unaunganisha behewa moja la hatari la hali ya kisiasa mkoa wa Morogoro manake Morogoro rangi fulani inajigawia majimbo ha ha ha au unazungumzia uchumi ulivyo kwa wachache ambaow anaweza kuamua kuuangusha kupitia mafuta au kuna deal la nyara za serikali ahh naona kama nakuingilia !!! lakini si unajua tena mambo ya silver na fedheha zake sema basi ili tuseme.Unajua kwanini?
Kwa sababu huyu bwana ni mfanyabiashara, mtu wa huruma sijui kwa kimombo mnasemaje humanitarian? ah huu ung'eng"e @ nao taabu, kisha ni mwanachipoti, nini kingine tena ahh ni shabiki wa chama fulani.. nini tena.. na kila sehemu unaweza kutengeneza insha ya maneno mia nane at least ukielezea in brief yeye ni nani anafanya nini? positive element, negative element na baadaye ukaelezea what does it mean. Well umefanya sweeping sana kusema anayemjua huyu?
Sasa ona majibu yake mpaka faragha umepewa duhh sikuwa najua hili ama hakika hii kali na lazima nidaivu kuikwepa.
Tuko katika kufanyia kazi ripoti moja muhimu sana; jina moja limeongezewa:
Merei Balhaboo
Je mwamjua huyu jamaa pale Morogoro?
du!Ukichanganya na za mbayuwayu...Merei ni mchakachuaji mkubwa na mfadhili mkubwa wa CCM
Huyu jamaa CV yake mbona ni kubwa lakini hajawahi kuandikwa magazetini? au kuwekwa kwenye any website for any reasons?
Labda kama spelling imekosewa, lakini kwa sifa mlizozitaja kuanzia kumiliki vituo mpaka kununua timu, lazima alitakiwa apatikane kwenye internet. Ukitumia google search unalipata JF forum tu, kwenye hii thread ya MKJJ!
If so, then sijajua hiyo report ina nini, ila kutopatikana kwenye media kwa mtu 'prominent' kama yeye is real alarming! Tabia za kutopigwa picha hovyo na kuficha ficha habari zako ni tabia za kigaidi.[/QUOTE]
Siyo kila mtu anapenda misifa kama Reginald Mengi
Na siyo kila asiyopenda kupiga picha, kueleza habari na kuonekana akijitangaza ni Gaidi ni hulka wako wengi watu wema wenye tabia hizo millions
Tabia ya kupenda kuonekana kwenye mitandao, magazetini ni tabia za watu malimbukeni wanaopenda sifa za ziada hata kama wanafanya mambo ya kawaida..ni wa washenzi tu ndio watawasifia
Sikubaliani na conclusion yako
Sasa Mengi anaingiaje kwenye suala hili? Unadhani Mabalozi wa Nchi mbalimbali wanapokwenda kumtembelea Mengi hiyo sio habari inayostahili kutangazwa au kuchapishwa? Mengi akitoa misaada kwa VICOBA sio habari stahili? Au akiwaandalia walemavu msosi asiandikwe? Unataka tuandike habari za mtu anayetoa tiketi za kuingilia mpirani kwa wanachama wa klabu pekee? Au pale anapowalipia michango ya uanachama!
Mwache Mengi aendelee kutoa misaada kwa walio wengi hao matajiri zako wanajua pesa zao wanazifanyia nini!