Huyu ni nani?

Huyu ni nani?

Acheni kututisha na konspirasi theorizi zenu. Tanzania ni nchi ya amani na utulivu. Inafuata utawala wa kisheria. Ina utawala bora. Pia ina uongozi uliochaguliwa katika uchaguzi uliokuwa huru na wa haki. Vyombo vya dola vinafanya kazi yake. Na watuhumiwa wote wanapelekwa mahakamani. Sheria inafuata mkondo wake.

u r the one talking about theories. kupelekwa mahakamani si hoja. ni sawa na msg iliyotumwa bila kufika panapostahili
 
Ni vizuri saana kumjadili mtu kama kuna maslahi ya Taifa ndani yake yaani kinachojadiliwa mwisho wake unakuwa ni ukombozi kwa Taifa. Katika mjadala huu inakera saana pale ambapo watu wanajadili issue ya kuwafanya wanaume wenzake. Kuna issue jamani ni mambo ya kusikia na hakuna hata mmoja anayeweza kujitokeza akathibitisha, they are merely allegations. Tena basi inwezekana wengine wanakuwa washindani wake katika biashara wanaona fursa ni JF kuchafuana. Hivi ni kweli kwamba hatuwezi kujadili issue au mtu within the limit kwenye maslahi ya nchi??? Hivi hatuoni issue chafu zilizojadiliwa juu ya huyu bwana zinapunguza credibility ya JF? (kuwa specific namaanisha issue za kuwaingilia watu kinyume na maumbile). Huyu bwana akiamua kuishataki JF kwa post za namna ile hatuyaoni madhara? Hata km hatashtaki je tunamtendea haki? Au hatufaham issue km zile zinaweza hata kuwa chanzo cha kusambaratisha familia yake? Binafsi nashauri tuziondoe post zile na pia tujifunze kuchangia kwa kuheshim utu wa mtu au kutoa hoja ambayo inaweza kuthibitishika.

tunaomba tu usiwe mfuasi. mengine yaache kama yalivyo
 
Pia ni mmiliki wa chain ya Supper Markets kwenye vituo vyote vya TIOT.

He is a powerful man with connections among the axis of powers za nchi hii, Ewura walipofunga petrol station yake pale Moro on Friday moja, the following Monday lawyers wake wakafile suit under the certificate of urgency, by Wed, Petrol Station ikafunguliwa kwa amri ya mahakama, issue iliyoleta malumbano makubwa kati ya Sitta na CJ.

Inasemekana familia yao inamiliki visima vya mafuta Arabuni, meli za kuyasafirisha mafuta hayo ni zao, clearing agents ni kampuni yao. Surface transport ni malori yao, na huko DRC, ana miliki petrol stations kadhaa.

The man is filthy rich, ila pia ana roho nzuri kama walivyo matajiri wa Moro, pesa nje nje, ikitokea misiba, usafiri wa kwenda mazikoni bure na ubani wa maana.
kuna mahali kajificha hammuoni tu, hawezekani pesa ikawa nje nje tu kiholela!
si wawainue kkiuchumi vijana wa mkoa wa Moro?
 
tunaomba tu usiwe mfuasi. mengine yaache kama yalivyo
Ufuasi unaanzia wapi? Umepitia thread nzima ukaona mengine yaliyoandikwa au unahit tu keyboard? Mengine ni kupakana matope na story za vijiweni. Nani yupo tayari kudhalilika bila ya kuwa mhusika?
 
Mmh! CV Bab kubwa. Hayumo kwenye Chama pia huyu? In any case, tunaisubiri kwa hamu hiyo ripoti inayofanyiwa kazi na Mzee wa kazi -MmKjj. Ingekuwa sie wengine tungeshabwaga manyanga baada ya mtiririko huo wa misifa. 😛
yahitaji moyo
 
kuna wakati alifikishwa mahakama ya kisutu kwa upotevu wa mamilioni ya benki moja jijini,sijui alishinda kesi?au sio yeye nafananisha majina?
 
Tuko katika kufanyia kazi ripoti moja muhimu sana; jina moja limeongezewa:

Merei Balhaboo

Je mwamjua huyu jamaa pale Morogoro?
Mwanakijiji unaandaa conspiracy gani nyingine. Au unaunganisha behewa moja la hatari la hali ya kisiasa mkoa wa Morogoro manake Morogoro rangi fulani inajigawia majimbo ha ha ha au unazungumzia uchumi ulivyo kwa wachache ambaow anaweza kuamua kuuangusha kupitia mafuta au kuna deal la nyara za serikali ahh naona kama nakuingilia !!! lakini si unajua tena mambo ya silver na fedheha zake sema basi ili tuseme.Unajua kwanini?

Kwa sababu huyu bwana ni mfanyabiashara, mtu wa huruma sijui kwa kimombo mnasemaje humanitarian? ah huu ung'eng"e @ nao taabu, kisha ni mwanachipoti, nini kingine tena ahh ni shabiki wa chama fulani.. nini tena.. na kila sehemu unaweza kutengeneza insha ya maneno mia nane at least ukielezea in brief yeye ni nani anafanya nini? positive element, negative element na baadaye ukaelezea what does it mean. Well umefanya sweeping sana kusema anayemjua huyu?

Sasa ona majibu yake mpaka faragha umepewa duhh sikuwa najua hili ama hakika hii kali na lazima nidaivu kuikwepa.
 
Tuko katika kufanyia kazi ripoti moja muhimu sana; jina moja limeongezewa:

Merei Balhaboo

Je mwamjua huyu jamaa pale Morogoro?
.
Mzee Mwanakijiji, jina la huyu jamaa limeibuliwa bungeni leo. Aliyeliibua ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali, John Cheyo wakati akitoa maoni ya Kamati yake kuhusiana na taarifa za ukaguzi ya CAG. Mzee Cheyo ameliambia bunge kuwa huyu jamaa, nadaiwa zaidi ya bilioni 8 za serikali. Jamaa huyu ana kiburi cha ajabu, ameliomba bunge liiagize serikali imchunguze kujua kiburi hiki anakipatia wapi.

Japo Cheyo hakusema ni deni la nini na ni kiburi gani, nadhani majibu yanapatikana ndani ya taarifa ya CAG kuhusu hesabu za serikali kuu.

Pia nakumbushia, bado tunaisubiria dossier yako.
 
Tuko katika kufanyia kazi ripoti moja muhimu sana; jina moja limeongezewa:

Merei Balhaboo

Je mwamjua huyu jamaa pale Morogoro?

MMKJ,
Tupataie hata dreft report basi....vile sasa mtu huyu katajwa bungeni.....au umempa Mzee Cheyo kwanza aimwage bungeni?...HATA HIVYO HONGERA KWA THE INITIATIVE
 
Mwanakijiji unaandaa conspiracy gani nyingine. Au unaunganisha behewa moja la hatari la hali ya kisiasa mkoa wa Morogoro manake Morogoro rangi fulani inajigawia majimbo ha ha ha au unazungumzia uchumi ulivyo kwa wachache ambaow anaweza kuamua kuuangusha kupitia mafuta au kuna deal la nyara za serikali ahh naona kama nakuingilia !!! lakini si unajua tena mambo ya silver na fedheha zake sema basi ili tuseme.Unajua kwanini?

Kwa sababu huyu bwana ni mfanyabiashara, mtu wa huruma sijui kwa kimombo mnasemaje humanitarian? ah huu ung'eng"e @ nao taabu, kisha ni mwanachipoti, nini kingine tena ahh ni shabiki wa chama fulani.. nini tena.. na kila sehemu unaweza kutengeneza insha ya maneno mia nane at least ukielezea in brief yeye ni nani anafanya nini? positive element, negative element na baadaye ukaelezea what does it mean. Well umefanya sweeping sana kusema anayemjua huyu?

Sasa ona majibu yake mpaka faragha umepewa duhh sikuwa najua hili ama hakika hii kali na lazima nidaivu kuikwepa.
Kingine ni pedeshee mtu wa totoz,akipenda totoz anaweka naye apointment Dubaiiii
 
......alikuwa ana-off load mafuta pale chumvini karibu na deep sea market,Tanga kwa maghmash...alikuwa amefunga mita za kiuwizi kiasi kwamba hazikuwa zikisoma sahihi lita za mafuta aliyokuwa ana-off load ili kukwepa kodi...tena ni yeye ndiye alikuwa anasema lita ngapi kashusha na jamaa wa TRA hawasemi kitu ila wakati wa mchakato wa kuwania kuteuliwa kugombea urais within CCM...yeye alikuwa upande wa Sumaye waziwazi na kum-support tens of millions Tanzanian shillings....Mkwere alipoingia magogoni akamfanyia kitu mbaya......jamaa akatetereka.....hadi sasa makeke yake ni almost hakuna. Alikuwa na timu ya Motor sports rally inayoitwa STADO na walikuwa wanashiriki mashindano almost yote East & Central Africa lakini sasa nafikiri hawafanyi hivyo maana camp yao kuu ilikuwa garage ya TIOT nje ya gate la chuo cha SUA Morogoro ambapo magari haya yalikuwa yakionekana mara kwa mara yakifanya mazoezi lakini sasa hakuna hiyo kitu.
 
Mkkj Dose yote hii haijatosha? hebu leta raha kuelekea uchaguzi na usisahau CHECHEEEE
 
Huyo ni mfadhili wa zamani wa club ya MORO UNITED kipindi ilipokuwa maarufu!
 
Huyo ni mfadhili wa zamani wa club ya MORO UNITED kipindi ilipokuwa maarufu! Ikiwa na kina Patrick Katalay,Pitchou Mwango Kongoo, Habibu Mahadhi,Kadenge wa Kenya,Salumu Swedi,Ivo Mapunda,Nsa JOb,Patrick Mangunguru,David Mwantobe,Idrisa Rajabu n.k HAkika Moro ilikuwa inatisha!
 
Tuko katika kufanyia kazi ripoti moja muhimu sana; jina moja limeongezewa:

Merei Balhaboo

Je mwamjua huyu jamaa pale Morogoro?

Ukichanganya na za mbayuwayu...Merei ni mchakachuaji mkubwa na mfadhili mkubwa wa CCM
 
Huyu jamaa CV yake mbona ni kubwa lakini hajawahi kuandikwa magazetini? au kuwekwa kwenye any website for any reasons?

Labda kama spelling imekosewa, lakini kwa sifa mlizozitaja kuanzia kumiliki vituo mpaka kununua timu, lazima alitakiwa apatikane kwenye internet. Ukitumia google search unalipata JF forum tu, kwenye hii thread ya MKJJ!

If so, then sijajua hiyo report ina nini, ila kutopatikana kwenye media kwa mtu 'prominent' kama yeye is real alarming! Tabia za kutopigwa picha hovyo na kuficha ficha habari zako ni tabia za kigaidi.[/QUOTE]

Siyo kila mtu anapenda misifa kama Reginald Mengi

Na siyo kila asiyopenda kupiga picha, kueleza habari na kuonekana akijitangaza ni Gaidi ni hulka wako wengi watu wema wenye tabia hizo millions

Tabia ya kupenda kuonekana kwenye mitandao, magazetini ni tabia za watu malimbukeni wanaopenda sifa za ziada hata kama wanafanya mambo ya kawaida..ni wa washenzi tu ndio watawasifia

Sikubaliani na conclusion yako

Sasa Mengi anaingiaje kwenye suala hili? Unadhani Mabalozi wa Nchi mbalimbali wanapokwenda kumtembelea Mengi hiyo sio habari inayostahili kutangazwa au kuchapishwa? Mengi akitoa misaada kwa VICOBA sio habari stahili? Au akiwaandalia walemavu msosi asiandikwe? Unataka tuandike habari za mtu anayetoa tiketi za kuingilia mpirani kwa wanachama wa klabu pekee? Au pale anapowalipia michango ya uanachama!

Mwache Mengi aendelee kutoa misaada kwa walio wengi hao matajiri zako wanajua pesa zao wanazifanyia nini!
 
Back
Top Bottom