Huyu ni yule tuliyemsubiri au tuendelee kusubiri?

Huyu ni yule tuliyemsubiri au tuendelee kusubiri?

Ulikuwa ukiwaza familia yako, ndg zako na wadogo zako, mke inabidi tu uwe mpole
Post inarushwa kwenye group inayomhusu ,,unajisikia kabisa kukosoa jambo lakini unakumbuka admin ametishiwa na sheria na polisi ,,hilo jambo unabaki nalo moyoni. [emoji117] Haya hayakuwa maisha bali utumwa.

Ndio maana baadhi wakamfitinisha na Mungu kwa kumwita jiwe ni yesu, mungu na wala hakushtuka aliendelea kujiona hivyo.

Pengine ulikuwa ni mmoja wa watesaji,, siwezi jua.
 
Kwa ufahamu wangu mdogo najua Kuna mengi yamejificha tusiyoyajua lakini muda utakavyozidi kwenda tutayajua na ndio sasa tutajua kuwa ilikuwa baraka au laana lakini kwa Sasa tuwe na staha tusimalize maneno tusije kesho tukaitwa kigeugeu
Ninachojua mpk sasa ni kwamba Mh Rais wa tz Mama samia suluhu hassan ni zawadi tuliyopewa watanzania ktk kurejesha furaha yetu iliyokuwa imepotea..ashukuriwe Mungu na sote tuseme amina.
 
Magufuli alikuwa zawadi ya Mungu kwa Watanzania.

Magufuli ni mbegu iliyokufa na kuota ikituletea Magufuli wengi zaidi

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote

Kazi iendelee
 
Nawasalimu kwa JMT.

Katika miaka 5 iliyopita hakuna rangi ambayo hatujaona.

Ni kipindi wafanyabiashara walihama nchi.

Kodi ilikusanywa kibabe na akaunti kufungwa.

Kesi za kubambikiziwa uhujumu uchumi zilitamalaki.

Wahitimu wa vyuo walisahau kabisa kuhusu ajira.

Watumishi waliambia sitaongeza mshahara wala kupanda daraja,

Tulilazimishwa kupiga makofi na vigelegele kwa jambo zuri au baya.

Wanasiasa wa upinzani waliota joto la jiwe.

Katika yote hayo mtendaji mkuu master akijiita mtetezi wa wanyonge, wakati wanyonge wakilala njaa na kuambiwa maneno kuwa barabara zinajengwa,ndege kununuliwa vitu vyote hivyo vinawahusu.

Mungu hana kamati akafanya maamuzi,magumu sana.

Awamu ya 6 ikaja na maneno mapya kabisa ya kutia moyo.
1. Sitaki kodi ya dhuluma

2. Vyombo vya habari vifunguliwe

3. Sitaki uongozi wa kunyanyasa watu isipokuwa haki itendeke.

4. Wafanyabiashara na wawekezaji watengenezewe mazingira rafiki.

5. Mahusiano mema na nchi jilani na jumuiya ya kimataifa.

NAENDELEA KUJIULIZA KATIKA YOTE HAYA JE

Huyu ndiyo tuliyemtarajia mkombozi wetu au tuendelee kusubiri!!!
Dalili za awali zinaonyesha kuwa NDIYE.
 
Its too early to judge
Naunga mkono hoja, hapa ndipo tunapofeligi wabongo kuanza kumpa credit kubwa kiongozi wa nchi mwanzoni tu mwa utawala bila kujua rangi ake halisi hapo siku zinavyosonga..
 
Nawasalimu kwa JMT.

Katika miaka 5 iliyopita hakuna rangi ambayo hatujaona.

Ni kipindi wafanyabiashara walihama nchi.

Kodi ilikusanywa kibabe na akaunti kufungwa.

Kesi za kubambikiziwa uhujumu uchumi zilitamalaki.

Wahitimu wa vyuo walisahau kabisa kuhusu ajira.

Watumishi waliambia sitaongeza mshahara wala kupanda daraja,

Tulilazimishwa kupiga makofi na vigelegele kwa jambo zuri au baya.

Wanasiasa wa upinzani waliota joto la jiwe.

Katika yote hayo mtendaji mkuu master akijiita mtetezi wa wanyonge, wakati wanyonge wakilala njaa na kuambiwa maneno kuwa barabara zinajengwa,ndege kununuliwa vitu vyote hivyo vinawahusu.

Mungu hana kamati akafanya maamuzi,magumu sana.

Awamu ya 6 ikaja na maneno mapya kabisa ya kutia moyo.

1. Sitaki kodi ya dhuluma

2. Vyombo vya habari vifunguliwe

3. Sitaki uongozi wa kunyanyasa watu isipokuwa haki itendeke.

4. Wafanyabiashara na wawekezaji watengenezewe mazingira rafiki.

5. Mahusiano mema na nchi jilani na jumuiya ya kimataifa.

NAENDELEA KUJIULIZA KATIKA YOTE HAYA JE

Huyu ndiyo tuliyemtarajia mkombozi wetu au tuendelee kusubiri!!!
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...in mama Samia's voice!
 
Back
Top Bottom