Huyu ni yule tuliyemsubiri au tuendelee kusubiri?

Huyu ni yule tuliyemsubiri au tuendelee kusubiri?

[emoji1756][emoji1756][emoji1756]
Magufuli ni mbegu iliyokufa na kuota ikituletea Magufuli wengi zaidi

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote

Kazi iendelee
 
Kesi za kubambikiziwa uhujumu uchumi zilitamalaki.
Asante kwa uzi wako. Ili kunogesha mjadala na kupanua uwezo wa baadhi yetu wa kuelewa mambo haya, ninaomba kauli yako niliyoinukuu upe ushahidi usiotiliwa shaka wa uwepo wa tukio hili.

Kwa sababu tupo katika kuwekana sawa ili tuistawishe Tanzania yetu katika nyanja zote, naomba uweke maelezo yanayojitosheleza kiasi cha kuwa na uzito wa kisheria kwa lengo la kusaidia walioonewa.

Karibu.
 
Nawasalimu kwa JMT.

Katika miaka 5 iliyopita hakuna rangi ambayo hatujaona.

Ni kipindi wafanyabiashara walihama nchi.

Kodi ilikusanywa kibabe na akaunti kufungwa.

Kesi za kubambikiziwa uhujumu uchumi zilitamalaki.

Wahitimu wa vyuo walisahau kabisa kuhusu ajira.

Watumishi waliambia sitaongeza mshahara wala kupanda daraja,

Tulilazimishwa kupiga makofi na vigelegele kwa jambo zuri au baya.

Wanasiasa wa upinzani waliota joto la jiwe.

Katika yote hayo mtendaji mkuu master akijiita mtetezi wa wanyonge, wakati wanyonge wakilala njaa na kuambiwa maneno kuwa barabara zinajengwa,ndege kununuliwa vitu vyote hivyo vinawahusu.

Mungu hana kamati akafanya maamuzi,magumu sana.

Awamu ya 6 ikaja na maneno mapya kabisa ya kutia moyo.

1. Sitaki kodi ya dhuluma

2. Vyombo vya habari vifunguliwe

3. Sitaki uongozi wa kunyanyasa watu isipokuwa haki itendeke.

4. Wafanyabiashara na wawekezaji watengenezewe mazingira rafiki.

5. Mahusiano mema na nchi jilani na jumuiya ya kimataifa.

NAENDELEA KUJIULIZA KATIKA YOTE HAYA JE

Huyu ndiyo tuliyemtarajia mkombozi wetu au tuendelee kusubiri!!!
Huyu ndo Joshua aliyepewa jukumu LA kutufikisha caanan .though ni she...
 
Nawasalimu kwa JMT.

Katika miaka 5 iliyopita hakuna rangi ambayo hatujaona.

Ni kipindi wafanyabiashara walihama nchi.

Kodi ilikusanywa kibabe na akaunti kufungwa.

Kesi za kubambikiziwa uhujumu uchumi zilitamalaki.

Wahitimu wa vyuo walisahau kabisa kuhusu ajira.

Watumishi waliambia sitaongeza mshahara wala kupanda daraja,

Tulilazimishwa kupiga makofi na vigelegele kwa jambo zuri au baya.

Wanasiasa wa upinzani waliota joto la jiwe.

Katika yote hayo mtendaji mkuu master akijiita mtetezi wa wanyonge, wakati wanyonge wakilala njaa na kuambiwa maneno kuwa barabara zinajengwa,ndege kununuliwa vitu vyote hivyo vinawahusu.

Mungu hana kamati akafanya maamuzi,magumu sana.

Awamu ya 6 ikaja na maneno mapya kabisa ya kutia moyo.

1. Sitaki kodi ya dhuluma

2. Vyombo vya habari vifunguliwe

3. Sitaki uongozi wa kunyanyasa watu isipokuwa haki itendeke.

4. Wafanyabiashara na wawekezaji watengenezewe mazingira rafiki.

5. Mahusiano mema na nchi jilani na jumuiya ya kimataifa.

NAENDELEA KUJIULIZA KATIKA YOTE HAYA JE

Huyu ndiyo tuliyemtarajia mkombozi wetu au tuendelee kusubiri!!!
Nyumbu mmekalia kusifu tu, jengeni chama chenu kilichojifia kwa ubadhilifu wa faru John na genge lake.
 
Atakayepiga yaliyoorodheshwa hapa ni mpumbavu tu kama Ndugai
Aliyeungana na Magufuli kupinga mradi wa Bandari ya Bagamoyo , Leo Magufuli amekufa anaupigia kifua alafu anasema anamuenzi Magufuli
 
Mkuu katika niliyoorodhesha unahisi, kuna jambo nimemsingizia Hayati??

1. Suala la kutopanda,madaraja na nyongeza za mishahara alisema live hataongeza mpaka akikaribia kumaliza muda wake.

2. Suala la Ajira hili sipaswi kuongea sana kila mwenye macho anaona.

3. Kodi,za kibabe hata SSH amesema wazi,hataki tena kodi za zuluma.

Na,mengine mengi tu ya kukatisha tamaa!!
Asante kwa uzi wako. Ili kunogesha mjadala na kupanua uwezo wa baadhi yetu wa kuelewa mambo haya, ninaomba kauli yako niliyoinukuu upe ushahidi usiotiliwa shaka wa uwepo wa tukio hili.

Kwa sababu tupo katika kuwekana sawa ili tuistawishe Tanzania yetu katika nyanja zote, naomba uweke maelezo yanayojitosheleza kiasi cha kuwa na uzito wa kisheria kwa lengo la kusaidia walioonewa.

Karibu.
 
Subiri madawa ya kulevya yazagae ndiyo uone Mungu Heroine yukoje.
Jinga ww, kwani unafikiri drugs iliisha ,now mtandao waliushika kina bashite na wasukuma wengine,,nna mengi ila siwezi kukwambia
 
Hatuna wasiwasi na Mama ila tuna wasiwasi na chama atokacho....CCM ni chama cha dhurma!!
 
Back
Top Bottom