Post inarushwa kwenye group inayomhusu ,,unajisikia kabisa kukosoa jambo lakini unakumbuka admin ametishiwa na sheria na polisi ,,hilo jambo unabaki nalo moyoni. [emoji117] Haya hayakuwa maisha bali utumwa.
Ndio maana baadhi wakamfitinisha na Mungu kwa kumwita jiwe ni yesu, mungu na wala hakushtuka aliendelea kujiona hivyo.
Pengine ulikuwa ni mmoja wa watesaji,, siwezi jua.
Samia Suluhu ni chaguo LA Mungu,,
#"Ukipinga ukapimwe akili kinguvu!!"
Ninachojua mpk sasa ni kwamba Mh Rais wa tz Mama samia suluhu hassan ni zawadi tuliyopewa watanzania ktk kurejesha furaha yetu iliyokuwa imepotea..ashukuriwe Mungu na sote tuseme amina.Kwa ufahamu wangu mdogo najua Kuna mengi yamejificha tusiyoyajua lakini muda utakavyozidi kwenda tutayajua na ndio sasa tutajua kuwa ilikuwa baraka au laana lakini kwa Sasa tuwe na staha tusimalize maneno tusije kesho tukaitwa kigeugeu
Sawa mzee mwenzanguTunafurahi kuongozwa na mama mwenye hofu ya mungu ndani yake,
Magufuli alikuwa zawadi ya Mungu kwa Watanzania.
Dalili za awali zinaonyesha kuwa NDIYE.Nawasalimu kwa JMT.
Katika miaka 5 iliyopita hakuna rangi ambayo hatujaona.
Ni kipindi wafanyabiashara walihama nchi.
Kodi ilikusanywa kibabe na akaunti kufungwa.
Kesi za kubambikiziwa uhujumu uchumi zilitamalaki.
Wahitimu wa vyuo walisahau kabisa kuhusu ajira.
Watumishi waliambia sitaongeza mshahara wala kupanda daraja,
Tulilazimishwa kupiga makofi na vigelegele kwa jambo zuri au baya.
Wanasiasa wa upinzani waliota joto la jiwe.
Katika yote hayo mtendaji mkuu master akijiita mtetezi wa wanyonge, wakati wanyonge wakilala njaa na kuambiwa maneno kuwa barabara zinajengwa,ndege kununuliwa vitu vyote hivyo vinawahusu.
Mungu hana kamati akafanya maamuzi,magumu sana.
Awamu ya 6 ikaja na maneno mapya kabisa ya kutia moyo.
1. Sitaki kodi ya dhuluma
2. Vyombo vya habari vifunguliwe
3. Sitaki uongozi wa kunyanyasa watu isipokuwa haki itendeke.
4. Wafanyabiashara na wawekezaji watengenezewe mazingira rafiki.
5. Mahusiano mema na nchi jilani na jumuiya ya kimataifa.
NAENDELEA KUJIULIZA KATIKA YOTE HAYA JE
Huyu ndiyo tuliyemtarajia mkombozi wetu au tuendelee kusubiri!!!
Magufuli ni mbegu iliyokufa na kuota ikituletea Magufuli wengi zaidi
Du....!Hiyo mbegu iote shambani kwako tu, kwangu ni kama yale magugu sugu lazima niiteketeze kwa moto Mkali sana
Hiyo mbegu iote shambani kwako tu, kwangu ni kama yale magugu sugu lazima niiteketeze kwa moto Mkali sana
Tusubiri...Mwaka huu ndio utajua hujui[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Maana zilikwama kwakweli wakati wa mwendazakeKazi Iendelee
Wokovu ulivyoingia kwa Zakayo hakusubiri kesho alifanya jambo sahihi pale pale. Mchuzi wa mbwa hunywewa ukiwa wa Moto. Huyu siyeMapema mno kujua
Naunga mkono hoja, hapa ndipo tunapofeligi wabongo kuanza kumpa credit kubwa kiongozi wa nchi mwanzoni tu mwa utawala bila kujua rangi ake halisi hapo siku zinavyosonga..Its too early to judge
Its too early to judge
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...in mama Samia's voice!Nawasalimu kwa JMT.
Katika miaka 5 iliyopita hakuna rangi ambayo hatujaona.
Ni kipindi wafanyabiashara walihama nchi.
Kodi ilikusanywa kibabe na akaunti kufungwa.
Kesi za kubambikiziwa uhujumu uchumi zilitamalaki.
Wahitimu wa vyuo walisahau kabisa kuhusu ajira.
Watumishi waliambia sitaongeza mshahara wala kupanda daraja,
Tulilazimishwa kupiga makofi na vigelegele kwa jambo zuri au baya.
Wanasiasa wa upinzani waliota joto la jiwe.
Katika yote hayo mtendaji mkuu master akijiita mtetezi wa wanyonge, wakati wanyonge wakilala njaa na kuambiwa maneno kuwa barabara zinajengwa,ndege kununuliwa vitu vyote hivyo vinawahusu.
Mungu hana kamati akafanya maamuzi,magumu sana.
Awamu ya 6 ikaja na maneno mapya kabisa ya kutia moyo.
1. Sitaki kodi ya dhuluma
2. Vyombo vya habari vifunguliwe
3. Sitaki uongozi wa kunyanyasa watu isipokuwa haki itendeke.
4. Wafanyabiashara na wawekezaji watengenezewe mazingira rafiki.
5. Mahusiano mema na nchi jilani na jumuiya ya kimataifa.
NAENDELEA KUJIULIZA KATIKA YOTE HAYA JE
Huyu ndiyo tuliyemtarajia mkombozi wetu au tuendelee kusubiri!!!