Huyu Ntobi afungwe speed gavana, la sivyo ataleta maafa.

Huyu Ntobi afungwe speed gavana, la sivyo ataleta maafa.

Huyu mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Shinyanga anatakiwa ashauriwe asiongee yote akasahau kesho. Mwanzo alisema CHADEMA walimpitisha Lissu kugombea Urais huku wakijua hawezi kushinda. Hii kauli ilikuwa inakivua chama nguo mbele za watu. Kuonesha kwamba CHADEMA haina haja ya kushika madaraka bali inaigiza tu na kupoteza watu muda.

Leo katoa kauli nyingine ya kuudhi. Amedai ya kwamba Heche hawezi kuwa hata mwenyekiti wa Kijiji. Ntobi anasahau ya kwamba Heche amewahi kuwa Diwani wa Tarime , Mwenyekiti wa BAVICHA, Mbunge wa Tarime na hata mjumbe wa kamati Kuu. Leo kudai hawezi kuwa mwenyekiti wa Kijiji ni dharau ya juu. Hizi dharau za machawa wa Mbowe sio nzuri hata kidogo. Hata Kama hawampendi Heche na Lissu ila wachunge kauli zao.
Mkuki kwa nguruwe mbona nyie mnasema Mbowe hafai kugombea nyie nani awafunge breki.
 
Huyu mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Shinyanga anatakiwa ashauriwe asiongee yote akasahau kesho. Mwanzo alisema CHADEMA walimpitisha Lissu kugombea Urais huku wakijua hawezi kushinda. Hii kauli ilikuwa inakivua chama nguo mbele za watu. Kuonesha kwamba CHADEMA haina haja ya kushika madaraka bali inaigiza tu na kupoteza watu muda.

Leo katoa kauli nyingine ya kuudhi. Amedai ya kwamba Heche hawezi kuwa hata mwenyekiti wa Kijiji. Ntobi anasahau ya kwamba Heche amewahi kuwa Diwani wa Tarime , Mwenyekiti wa BAVICHA, Mbunge wa Tarime na hata mjumbe wa kamati Kuu. Leo kudai hawezi kuwa mwenyekiti wa Kijiji ni dharau ya juu. Hizi dharau za machawa wa Mbowe sio nzuri hata kidogo. Hata Kama hawampendi Heche na Lissu ila wachunge kauli zao.
Mbwa atakula muumbwa na mubwa wake, oyooo oyooo
 
Huyu mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Shinyanga anatakiwa ashauriwe asiongee yote akasahau kesho. Mwanzo alisema CHADEMA walimpitisha Lissu kugombea Urais huku wakijua hawezi kushinda. Hii kauli ilikuwa inakivua chama nguo mbele za watu. Kuonesha kwamba CHADEMA haina haja ya kushika madaraka bali inaigiza tu na kupoteza watu muda.

Leo katoa kauli nyingine ya kuudhi. Amedai ya kwamba Heche hawezi kuwa hata mwenyekiti wa Kijiji. Ntobi anasahau ya kwamba Heche amewahi kuwa Diwani wa Tarime , Mwenyekiti wa BAVICHA, Mbunge wa Tarime na hata mjumbe wa kamati Kuu. Leo kudai hawezi kuwa mwenyekiti wa Kijiji ni dharau ya juu. Hizi dharau za machawa wa Mbowe sio nzuri hata kidogo. Hata Kama hawampendi Heche na Lissu ila wachunge kauli zao.
Wapo kwenye kampeni, wataongea lolote tu
 
Chadema sijui wanakwama wapi, Ntobi IQ yake nindogo sana sijui hata uouenyekiti wa mkoa walizingatia vigezogani kumpa.
 
Huyu mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Shinyanga anatakiwa ashauriwe asiongee yote akasahau kesho. Mwanzo alisema CHADEMA walimpitisha Lissu kugombea Urais huku wakijua hawezi kushinda. Hii kauli ilikuwa inakivua chama nguo mbele za watu. Kuonesha kwamba CHADEMA haina haja ya kushika madaraka bali inaigiza tu na kupoteza watu muda.

Leo katoa kauli nyingine ya kuudhi. Amedai ya kwamba Heche hawezi kuwa hata mwenyekiti wa Kijiji. Ntobi anasahau ya kwamba Heche amewahi kuwa Diwani wa Tarime , Mwenyekiti wa BAVICHA, Mbunge wa Tarime na hata mjumbe wa kamati Kuu. Leo kudai hawezi kuwa mwenyekiti wa Kijiji ni dharau ya juu. Hizi dharau za machawa wa Mbowe sio nzuri hata kidogo. Hata Kama hawampendi Heche na Lissu ila wachunge kauli zao.
Kuhusu Heche namuunga mkono Ntobi. Nimesoma na John Heche akiitwa Wegesa Charles SAUT EDUCHE 2006-2009. Hana hata uwezo wa kuwa monitor wa darasa zaidi ya ujanjaujanja tu.

Halafu chengine, wakati mnamzuia Ntobi asiongee, mbona hamzuii Lissu asiropokeropoke?
 
Ntobi afungwe speed governor, Lissu aachwe aropoke. Dunia haina fairness..
 
Wewe unaumia nini CHADEMA wanavyotifuana? Nawapongeza sana Ntobi na Yericko kwa mashambulizi makali kwa wapinzani wote wa Mbowe.

Mimi sijaumia ila nimeshauri awe na kiasi. Kusema kuwa CHADEMA haina Nia ya kuunda serikali sio kauli ya kuiacha hivi hivi.
 
Mkuki kwa nguruwe mbona nyie mnasema Mbowe hafai kugombea nyie nani awafunge breki.

Ni kweli hafai. Kakiingiza chama kwenye uchaguzi na kuambulia Asilimia 0.78 na pia bado analazimisha maridhiano.
 
Huyu mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Shinyanga anatakiwa ashauriwe asiongee yote akasahau kesho. Mwanzo alisema CHADEMA walimpitisha Lissu kugombea Urais huku wakijua hawezi kushinda. Hii kauli ilikuwa inakivua chama nguo mbele za watu. Kuonesha kwamba CHADEMA haina haja ya kushika madaraka bali inaigiza tu na kupoteza watu muda.

Leo katoa kauli nyingine ya kuudhi. Amedai ya kwamba Heche hawezi kuwa hata mwenyekiti wa Kijiji. Ntobi anasahau ya kwamba Heche amewahi kuwa Diwani wa Tarime , Mwenyekiti wa BAVICHA, Mbunge wa Tarime na hata mjumbe wa kamati Kuu. Leo kudai hawezi kuwa mwenyekiti wa Kijiji ni dharau ya juu. Hizi dharau za machawa wa Mbowe sio nzuri hata kidogo. Hata Kama hawampendi Heche na Lissu ila wachunge kauli zao.
Actually,
muungwana ana mdomo kama Lisu tu, ila kwa style nyingine tofauti kidogo

na hiyo ndiyo chadema huru, itabidi mzoee uhuru makamanda 🐒
 
Back
Top Bottom