Huyu Ntobi afungwe speed gavana, la sivyo ataleta maafa.

Huyu Ntobi afungwe speed gavana, la sivyo ataleta maafa.

Huyu mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Shinyanga anatakiwa ashauriwe asiongee yote akasahau kesho. Mwanzo alisema CHADEMA walimpitisha Lissu kugombea Urais huku wakijua hawezi kushinda. Hii kauli ilikuwa inakivua chama nguo mbele za watu. Kuonesha kwamba CHADEMA haina haja ya kushika madaraka bali inaigiza tu na kupoteza watu muda.

Leo katoa kauli nyingine ya kuudhi. Amedai ya kwamba Heche hawezi kuwa hata mwenyekiti wa Kijiji. Ntobi anasahau ya kwamba Heche amewahi kuwa Diwani wa Tarime , Mwenyekiti wa BAVICHA, Mbunge wa Tarime na hata mjumbe wa kamati Kuu. Leo kudai hawezi kuwa mwenyekiti wa Kijiji ni dharau ya juu. Hizi dharau za machawa wa Mbowe sio nzuri hata kidogo. Hata Kama hawampendi Heche na Lissu ila wachunge kauli zao.
Ni kampeni tu mkuu, ndio maana wako wengine wanasema Ally Kibao kauawa na Chadema
 
Huyu mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Shinyanga anatakiwa ashauriwe asiongee yote akasahau kesho. Mwanzo alisema CHADEMA walimpitisha Lissu kugombea Urais huku wakijua hawezi kushinda. Hii kauli ilikuwa inakivua chama nguo mbele za watu. Kuonesha kwamba CHADEMA haina haja ya kushika madaraka bali inaigiza tu na kupoteza watu muda.

Leo katoa kauli nyingine ya kuudhi. Amedai ya kwamba Heche hawezi kuwa hata mwenyekiti wa Kijiji. Ntobi anasahau ya kwamba Heche amewahi kuwa Diwani wa Tarime , Mwenyekiti wa BAVICHA, Mbunge wa Tarime na hata mjumbe wa kamati Kuu. Leo kudai hawezi kuwa mwenyekiti wa Kijiji ni dharau ya juu. Hizi dharau za machawa wa Mbowe sio nzuri hata kidogo. Hata Kama hawampendi Heche na Lissu ila wachunge kauli zao.
Wameshiba pilau la Abdul.
Wanawataka walamba asali

Ni suala la muda tu watadhalilika
 
Wewe mambo ya CHADEMA yanakuhusu Nini? Mmeshindwa hata kuteua Makamu Mwenyekiti. Shughulika na ya kwenu.
yaani Lisu akiropoka unashangilia, Ntonbi akiropoka unapata mawenge, mchecheto, mihemko na makasiriko, na wote ni watoto wa nyumba moja,

nini hasa tatizo hapo gentleman? mbona chadema kuna uhuru sana na haki ya kutoa maoni na mitazamo miongoni mwa viongozi waandamizi wake?🐒
 
Kuhusu Heche namuunga mkono Ntobi. Nimesoma na John Heche akiitwa Wegesa Charles SAUT EDUCHE 2006-2009. Hana hata uwezo wa kuwa monitor wa darasa zaidi ya ujanjaujanja tu.

Halafu chengine, wakati mnamzuia Ntobi asiongee, mbona hamzuii Lissu asiropokeropoke?
mbona hua anatoa point nzuri sana bungeni ambazo hata watu kama kina kabudi hawajawai zizungumzia hata kwa ukaribu
 
Nakataa kauli ya kusema vijana wote wa CHADEMA wapo kama Ntobi
actually,
vijana wengi chadema wana midomo ya uropokaji kama makamu mwenyekiti mwenye wao taifa, lakini pia ni mbinafsi kupindukia na mwenye tamaa sana,

na ambae pia ni kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi 🐒
 
mbona hua anatoa point nzuri sana bungeni ambazo hata watu kama kina kabudi hawajawai zizungumzia hata kwa ukaribu
Kwani Kibajaji, King Musukuma na Prof. Kishimba wanatoaga hoja mbovu Bungeni?
 
Back
Top Bottom