Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kampeni tu mkuu, ndio maana wako wengine wanasema Ally Kibao kauawa na ChademaHuyu mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Shinyanga anatakiwa ashauriwe asiongee yote akasahau kesho. Mwanzo alisema CHADEMA walimpitisha Lissu kugombea Urais huku wakijua hawezi kushinda. Hii kauli ilikuwa inakivua chama nguo mbele za watu. Kuonesha kwamba CHADEMA haina haja ya kushika madaraka bali inaigiza tu na kupoteza watu muda.
Leo katoa kauli nyingine ya kuudhi. Amedai ya kwamba Heche hawezi kuwa hata mwenyekiti wa Kijiji. Ntobi anasahau ya kwamba Heche amewahi kuwa Diwani wa Tarime , Mwenyekiti wa BAVICHA, Mbunge wa Tarime na hata mjumbe wa kamati Kuu. Leo kudai hawezi kuwa mwenyekiti wa Kijiji ni dharau ya juu. Hizi dharau za machawa wa Mbowe sio nzuri hata kidogo. Hata Kama hawampendi Heche na Lissu ila wachunge kauli zao.
Kwan sasa wapo chama gn hao wanaosema hayo?Hapana nakataa
Actually,
muungwana ana mdomo kama Lisu tu, ila kwa style nyingine tofauti kidogo
na hiyo ndiyo chadema huru, itabidi mzoee uhuru makamanda 🐒
Wameshiba pilau la Abdul.Huyu mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Shinyanga anatakiwa ashauriwe asiongee yote akasahau kesho. Mwanzo alisema CHADEMA walimpitisha Lissu kugombea Urais huku wakijua hawezi kushinda. Hii kauli ilikuwa inakivua chama nguo mbele za watu. Kuonesha kwamba CHADEMA haina haja ya kushika madaraka bali inaigiza tu na kupoteza watu muda.
Leo katoa kauli nyingine ya kuudhi. Amedai ya kwamba Heche hawezi kuwa hata mwenyekiti wa Kijiji. Ntobi anasahau ya kwamba Heche amewahi kuwa Diwani wa Tarime , Mwenyekiti wa BAVICHA, Mbunge wa Tarime na hata mjumbe wa kamati Kuu. Leo kudai hawezi kuwa mwenyekiti wa Kijiji ni dharau ya juu. Hizi dharau za machawa wa Mbowe sio nzuri hata kidogo. Hata Kama hawampendi Heche na Lissu ila wachunge kauli zao.
Chadema sijui wanakwama wapi, Ntobi IQ yake nindogo sana sijui hata uouenyekiti wa mkoa walizingatia vigezogani kumpa.
Bc ndio mnazalisha vijana wenye akili hizoNakataa kauli ya kusema vijana wote wa CHADEMA wapo kama Ntobi
Wewe walikutukana?Hao ndio vijana wa Chadema ambao walijaa mtandaoni walizoea kutukana lakini watu wakawa wanachukulia poa lakini wameanza kutukanana ndio wanaona ni kosa.
yaani Lisu akiropoka unashangilia, Ntonbi akiropoka unapata mawenge, mchecheto, mihemko na makasiriko, na wote ni watoto wa nyumba moja,Wewe mambo ya CHADEMA yanakuhusu Nini? Mmeshindwa hata kuteua Makamu Mwenyekiti. Shughulika na ya kwenu.
mbona hua anatoa point nzuri sana bungeni ambazo hata watu kama kina kabudi hawajawai zizungumzia hata kwa ukaribuKuhusu Heche namuunga mkono Ntobi. Nimesoma na John Heche akiitwa Wegesa Charles SAUT EDUCHE 2006-2009. Hana hata uwezo wa kuwa monitor wa darasa zaidi ya ujanjaujanja tu.
Halafu chengine, wakati mnamzuia Ntobi asiongee, mbona hamzuii Lissu asiropokeropoke?
Ampe parachichi lake? 😂Mpe na Hilo furushi lako basi
actually,Nakataa kauli ya kusema vijana wote wa CHADEMA wapo kama Ntobi
Kwani Kibajaji, King Musukuma na Prof. Kishimba wanatoaga hoja mbovu Bungeni?mbona hua anatoa point nzuri sana bungeni ambazo hata watu kama kina kabudi hawajawai zizungumzia hata kwa ukaribu