rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Ulikuwa ukitoa maoni tofauti na wao walichoamini wanakushambulia kwa matusiWewe walikutukana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikuwa ukitoa maoni tofauti na wao walichoamini wanakushambulia kwa matusiWewe walikutukana?
Kama mgombea mwenyewe ni lisu, na uroho wake wa madaraka, kuna ubaya gani kumteua wakati mnajua hawezi kushinda? Msipomteua anawaletea songombwingo kwenye chama. Inabidi mmteue tu ili yaishe.Soma uelewe kwanza. Shida ni chama kuteua wagombea bila kuwa na Nia ya ushindi sio mambo ya Lissu.