Huyu Ntobi afungwe speed gavana, la sivyo ataleta maafa.

Soma uelewe kwanza. Shida ni chama kuteua wagombea bila kuwa na Nia ya ushindi sio mambo ya Lissu.
Kama mgombea mwenyewe ni lisu, na uroho wake wa madaraka, kuna ubaya gani kumteua wakati mnajua hawezi kushinda? Msipomteua anawaletea songombwingo kwenye chama. Inabidi mmteue tu ili yaishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…