R rodrick alexander JF-Expert Member Joined Feb 12, 2012 Posts 16,784 Reaction score 23,312 Dec 25, 2024 #61 Moisemusajiografii said: Wewe walikutukana? Click to expand... Ulikuwa ukitoa maoni tofauti na wao walichoamini wanakushambulia kwa matusi
Moisemusajiografii said: Wewe walikutukana? Click to expand... Ulikuwa ukitoa maoni tofauti na wao walichoamini wanakushambulia kwa matusi
UmkhontoweSizwe Platinum Member Joined Dec 19, 2008 Posts 9,454 Reaction score 8,894 Dec 26, 2024 #62 econonist said: Soma uelewe kwanza. Shida ni chama kuteua wagombea bila kuwa na Nia ya ushindi sio mambo ya Lissu. Click to expand... Kama mgombea mwenyewe ni lisu, na uroho wake wa madaraka, kuna ubaya gani kumteua wakati mnajua hawezi kushinda? Msipomteua anawaletea songombwingo kwenye chama. Inabidi mmteue tu ili yaishe.
econonist said: Soma uelewe kwanza. Shida ni chama kuteua wagombea bila kuwa na Nia ya ushindi sio mambo ya Lissu. Click to expand... Kama mgombea mwenyewe ni lisu, na uroho wake wa madaraka, kuna ubaya gani kumteua wakati mnajua hawezi kushinda? Msipomteua anawaletea songombwingo kwenye chama. Inabidi mmteue tu ili yaishe.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Dec 26, 2024 #63 Siasa ndivyo zilivyo... Cc: Mahondaw