Huyu Onana kwenye YouTube anatisha

Huyu Onana kwenye YouTube anatisha

Na Sawadogo naikumbuka ile clip yake ambayo anapokea pasi kisha anafanya turning kwa kisigino

Tukajua tutaendelea kuona muendelezo ule ule lakini kumbe hatukuwa sahihi.

Mwamba hata dakika 45 zilimshinda

Sijajua kwanini wamemuweka wa mwishoni kwenye kumpa mkono wa kwaheri. (Cause nauhakika yule lazima asepe)
 
Youtube giroud unaweza mfananisha na dennis bergkamp.. 😂🤣

Usajili ni kamari, okra si mchezaji mbovu, wala yule andunje okwa, pia ni wachezaji wazuri..
Alexis sanchez katoka arsenal wa moto kaenda man u ni mashuzi tu, torres, andriy sheva, di maria n.k
 
Mimi ni Simba ila kwa huyu Onana sina matumaini makubwa kwake nanimesikitishwa na usajili wake,sima inahitaji wachezaji wagumu kama kibu wanaokaba timu inapokuwa haina mpira nasio masharobaro kama huyu au banda,
 
Na Sawadogo naikumbuka ile clip yake ambayo anapokea pasi kisha anafanya turing kwa kisigino

Tukajua tutaendelea kuona muendelezo ule ule lakini kumbe hatukuwa sahihi.

Mwamba hata dakika 45 zilimshinda

Sijajua kwanini wamemuweka wa mwishoni kwenye kumpa mkono wa kwaheri. (Cause nauhakika yule lazima asepe)
Anaumwa labda
 
Youtube giroud unaweza mfananisha na dennis bergkamp.. 😂🤣

Usajili ni kamari, okra si mchezaji mbovu, wala yule andunje okwa, pia ni wachezaji wazuri..
Alexis sanchez katoka arsenal wa moto kaenda man u ni mashuzi tu, torres, andriy sheva, di maria n.k
Sijui huwa nini kinawakuta..au presha za wachezaji wazawa?? Unakuta wanawasema kwa kiswahili mpk wanaingiwa baridi...
 
Sijui huwa nini kinawakuta..au presha za wachezaji wazawa?? Unakuta wanawasema kwa kiswahili mpk wanaingiwa baridi...
Hamna mpira tu, ndio uko hivyo.. mbona kina chama, konde boy.. ukimuweka mbali okwi.. hao mbona wameupiga mwingi tu.
Okrah aliuwasha vizuri ni majeruhi nasikia pia starehe nyingi saana.
Okwa sijui shida ni aina ya soka la walimu aliowakuta.. jamaa ni muumini wa nipe nikupe, kuachia moja moja, msambaza upendo.. alikuta kocha wa kwanza ni mzee wa counter attack.. anapenda double pivot.. namba 8 yake iwe inakaba pia, akawa anachezeshw 10, ufanisi wake mdogo, ila jamaa nilikuwa namkubali kinoooma, angepata mwalimu muumini wa kuachia moja moja.. angekuwa midomoni mwa wana msimbazi kwa mazuri yake.
 
Hamna mpira tu, ndio uko hivyo.. mbona kina chama, konde boy.. ukimuweka mbali okwi.. hao mbona wameupiga mwingi tu.
Okrah aliuwasha vizuri ni majeruhi nasikia pia starehe nyingi saana.
Okwa sijui shida ni aina ya soka la walimu aliowakuta.. jamaa ni muumini wa nipe nikupe, kuachia moja moja, msambaza upendo.. alikuta kocha wa kwanza ni mzee wa counter attack.. anapenda double pivot.. namba 8 yake iwe inakaba pia, akawa anachezeshw 10, ufanisi wake mdogo, ila jamaa nilikuwa namkubali kinoooma, angepata mwalimu muumini wa kuachia moja moja.. angekuwa midomoni mwa wana msimbazi kwa mazuri yake.
Nimekuelewa mwanafamilia ...
 
Onana wa kawaida sana,...from league ya kawaida.
Hana phyisic ya kutosha.
Simba tafuteni watu solid
 


Lakini tunaweka akiba ya maneno. Walishakuja kina Okrah ikabidi kula matapishi yetu. Wapiga misumari tuoneeni huruma mashabiki na wadhamini. Zile hela za kumsajili ni nyingi
Mmeanza tena... [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nadhani tofauti huyu ni kwamba kocha ndo kapendekeza aletwe,na alishawahi kufanya naye kazi apr,ni kama alivyotaka aletewe karisa na mudekereza wa vipers.
 


Lakini tunaweka akiba ya maneno. Walishakuja kina Okrah ikabidi kula matapishi yetu. Wapiga misumari tuoneeni huruma mashabiki na wadhamini. Zile hela za kumsajili ni nyingi
Ni nadra sana Ligi ya Uganda, Burundi, Rwanda kukupa wachezaji bora. Ligi ya Kenya ukipata mchezaji kidogo anaweza nakumbuka
Mark Serengo (Simba)
Boniface Ambani (Yanga)
Medie Kagere (Simba)

Kwa ligi hizo zingine ni
Ben Mwalala (Yanga)
Niyonzima (Yanga)
Okwi (Simba)

Ila wengi sana wamefeli.
 
Back
Top Bottom