Kweli anatisha kabisa..Nitafuatilia Takwimu zake..
Unatengua kauli au bado unashikilia kauli yako?Hawa ndio wachezaji wanaokuja kufanya maajabu sababu kaja bila pressure
Kitalaamu inatia uchungu
Wacha wee!Anazijua nyavu, huyu atafunga. Akiipa Simba goli 10 katika ligi ya NBC akaipa goli 5 za CAF, usajili wake utakuwa wa mafanikio. Kila mchezaji apewe malengo binafsi ya kutimiza.
Huyu si ndiyo yule Onana aliyependekezwa na samwel Etoo kusajiliwa Msimbazi!!
Lakini tunaweka akiba ya maneno. Walishakuja kina Okrah ikabidi kula matapishi yetu. Wapiga misumari tuoneeni huruma mashabiki na wadhamini. Zile hela za kumsajili ni nyingi
Na kweliAnazijua nyavu, huyu atafunga. Akiipa Simba goli 10 katika ligi ya NBC akaipa goli 5 za CAF, usajili wake utakuwa wa mafanikio. Kila mchezaji apewe malengo binafsi ya kutimiza.
Kiganja cha Mo everywhereMbuzi kwenye guniaView attachment 2822717
Mo anapenda kushika matako ya makoloKiganja cha Mo everywhere
Huyo nilihisi toka game ya kwanza ya msimu kuwa ameshachezewa na waswahili. Sasa hivi kashapoteza kabisa confidence. Ila target ndogo niliyoisema hapo bado anaweza kabisa kuifikia.Na kweli
Aahaaaa
Kabiisa ndugu yangu.Mpaka sasa bado ni mkali kwenye YouTube..
Daah! Mwasibu tena kwenye one and two. Lol
Mwasibu anatakiwa kurudi darasani ili akajifunze upya hesabu. Maana anapogusa, lazima aache alama mbaya ya ungumbaru. 😁Daah! Mwasibu tena kwenye one and two. Lol