Mstoiki
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 4,365
- 8,384
HAA 👀👀Ila ni mnoko sana alimchoma Eric Kabendera.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAA 👀👀Ila ni mnoko sana alimchoma Eric Kabendera.
Ana A moja na B mbili.Aombe wamsawazishie apate D mbili ili tuwe naye?Huwezi kumuelewa kama hauna D mbili
Anapalilia uteuzi Baba wala usiulize!
Inabidi kusoma katikati ya mistari. Mara nyingi uwasilishaji wake inahitaji ufunuo wa jicho la tatu.Binafsi huwa naona bora uwe na Kina Erythrocytes, Faiza foxy na kina Lucas Mwashambwa wengi kuliko kuwa na mtu ambae haieleweki anasimamia kipi.
Je, wengine huwa mnamuelewa?
Kaka Paskali (Pascal Mayalla) huwa anapenda kukosoa lakini hataki aonekane amekosoa..!! Hivyo kumuelewa anasimamia wapi kuna wakati inakuwa ngumu..!!Binafsi huwa naona bora uwe na Kina Erythrocytes, Faiza foxy na kina Lucas Mwashambwa wengi kuliko kuwa na mtu ambae haieleweki anasimamia kipi.
Je, wengine huwa mnamuelewa?
Naona umetulia leo unasubiria mkeka wa leo labda umekumbukwaTulia dogo acha Papara
😆😆😆Kaka Paskali (Pascal Mayalla) huwa anapenda kukosoa lakini hataki aonekane amekosoa..!! Hivyo kumuelewa anasimamia wapi kuna wakati inakuwa ngumu..!!
Uteuzi 😎😎😎😎😎😎Ulisha wahi kua katika hali ya kutaka ufarahishe kila mtu, na wakati huo huo useme ukweli?......utakuja kumuelewa akipata uteuzi.
HakikaUlisha wahi kua katika hali ya kutaka ufarahishe kila mtu, na wakati huo huo useme ukweli?......utakuja kumuelewa akipata uteuzi.
Basi system yetu itakuwa na watu wa chini sana!MTu wa system huyo achana nae
Huyu Paschal Mayalla anatufundisha Bonge la Somo kuhusu USTAHILIMIVU. Fikiria umemchana halafu kakupa 'Like' katembea mbele kwa mbele kama Ambulance.🤣🤣🤣🤣🤣Binafsi huwa naona bora uwe na Kina Erythrocytes, Faiza foxy na kina Lucas Mwashambwa wengi kuliko kuwa na mtu ambae haieleweki anasimamia kipi.
Je, wengine huwa mnamuelewa?
Huyo ni ngumu kumuelewa itategemea tu ni maudhui gani unataka uyapate kutoka kwake,kiujumla P amawea kukulazimu ufuate yalipo maslahi yake ama akakutoa ulipo na maslahi yako hivyo akili tu kwa kichwa.Binafsi huwa naona bora uwe na Kina Erythrocytes, Faiza foxy na kina Lucas Mwashambwa wengi kuliko kuwa na mtu ambae haieleweki anasimamia kipi.
Je, wengine huwa mnamuelewa?