Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Kwanza Anaijua BILIONI 50...? TUNAZUNGUMZIA BILION 50...Inategemea na unapambana vipi mzee kufikisha B57 usichukulie kitoto kwa hii life ya kibongo aisee
Si aeleze alivyotengeza hiyo fedha yaishe badala ya kulalamika lalamikaAisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.
Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.
Kilichonishangaza Leo, ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.
Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?
Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
View attachment 2463384View attachment 2463385View attachment 2463386
Hana biashara yoyote huyo pimbi zaidi ya matako yake ya kirundi huko Dubai.Wengi wamekamatwa na utapeli wa huyu jamaa...
Hii account ni either ya TZS au KES.
Kuna sehemu ametuma 20K kwa MPESA Kenya.
MPESA Kenya limit ya Transactions kwa siku ni KES 300K sawa TZS 7M.
Kama 20K USD means alituma 2.4M KES hii ni zaidi mara 6 ya daily limit.
Kingine Bank Statement haiwezi kuweka kwenye multiple currencies.
Makonda na TRA wanahusiana nini, na why ana expose Financial statement ya kampuni yake, ili apate huruma gani.
Je Hizo biashara zake alizotaja zinasimamiwa na hiyo entertainment company?
Labda aliuzia wauza supu pale unapopenda kula supu ya utumboKwa nini alikata utumbo? Hivi hajui kuwa mbinguni hakuna hoteli?
Alikubali kuisaport serikali ndio maana akatoa ushirikiano mzuri hata kumpa RC Range RoverPIA NAJIULIZA ALIPONAJE KATIKA AWAMU YA TANO HUYU JAMAA? MAANA AWAMU ILE, TUMUACHIE MOLA WALLAH.
Anakula gudtym akiwa mfungwa au raia wa kawaida?Lkn bado anakula gudtym na deals nyingi kama kawa! Achana na pesa mzeee!
FilleZilla:
Rapa wa Marekani, mwigizaji na mtayarishaji 50 Cent, anasema hivi karibuni atatoa mfululizo wa filamu kulingana na mlaghai wa mtandao wa Nigeria aliyepatikana na hatia, Ramon Abass maarufu kama Hushpuppi.
Katika chapisho la Facebook siku ya Jumatano ambapo aliambatanisha picha za Hushpuppi, 50 Cent alisema alikuwa akifanya kazi kwenye mfululizo wa filamu unaozingatia hadithi ya Hushpuppi.
Aliandika, "Kwa matapeli wangu lazima nifanye hili. Mfululizo wa Hushpuppy unakuja hivi karibuni! GLG, Genge la Mwanga wa Kijani sikosei. #Bransoncognac #lecheminduroi #gunitfilmandtv.”
View attachment 2463816Hushpuppi alikamatwa huko Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu mwaka 2020 kwa kuwalaghai zaidi ya watu milioni 1.9 kutoka duniani kote wakiwemo Wamarekani.
Kufuatia kukamatwa kwake na polisi wa Dubai ambao walimkabidhi kwa Ofisi ya Shirikisho la Upelelezi, Hushpuppi alirejeshwa Marekani kwa kesi.
Fungua code zaidi kiongoziWengi wanaojihusisha na Watoto Yatima ni matapeli.
Kuna yule wa Twitter
Hiyo hela benki kibongobongo ni watu wenye biashara kubwa mno.Naijua Ila sio kuikuza ivyo mkuu. Hapo najua dola milioni moja Nina apartment pale newyork Manhattan kabisa ya three bedrooms naishi bila ya presha ama naipangisha napatab$8k kwa mwezi baada ya 13yrs zangu zimesharudi
Tapeli huyu, hii statement atawazoa watu wasioelewa financial industry inafanyaje kazi. Kutume pesa nje ya nchi tena kwenye foreign currency sio jambo la mchezo, nchi zinazotoka wanabana, na mchi zinapokwenda wanakuwa na wasiwasi.Wengi wamekamatwa na utapeli wa huyu jamaa...
Hii account ni either ya TZS au KES.
Kuna sehemu ametuma 20K kwa MPESA Kenya.
MPESA Kenya limit ya Transactions kwa siku ni KES 300K sawa TZS 7M.
Kama 20K USD means alituma 2.4M KES hii ni zaidi mara 6 ya daily limit.
Kingine Bank Statement haiwezi kuweka kwenye multiple currencies.
Makonda na TRA wanahusiana nini, na why ana expose Financial statement ya kampuni yake, ili apate huruma gani.
Je Hizo biashara zake alizotaja zinasimamiwa na hiyo entertainment company?
CRDBStandard
Stanbic
Citibank
Absa
Dah! utitili tena!?Ni kujishushia heshima, na vile siku hizi hana nyama basi kila utitili utakwenda kupumzika kwake.
Kama account ni ya Tshs iweje makato ya benki yawe sh 3, 5, 30? Na tunaishi nchi ya TOZOHii bank statement ni ya kufoji. Angalia font type na size ya “USD” kwa kulinganisha na true font ya statement . Utaona herufi “U”, “S” na “D” font yake siyo sawa na herufi hizo hizo sehemu nyingine kwenye statement. Safe to say, hii ni account ya Tshs.
Kwa comment hii nimehisi kutamani kuiona sura yako halisi.Mimi sipendagi kabisa wadada wakubwa vile kudate na wadogo zao, hivi mtu kama wema alikosa hata kuchukuwa hata waziri mmoja akakomaa nae? Status yote alokuwa nayo? Siwezi date utitili mimi.
Sasa mtu anaedit statement halafu anaomba msaada kwa rais samia? Si utakuwa utoto?Tapeli huyu, hii statement atawazoa watu wasioelewa financial industry inafanyaje kazi. Kutume pesa nje ya nchi tena kwenye foreign currency sio jambo la mchezo, nchi zinazotoka wanabana, na mchi zinapokwenda wanakuwa na wasiwasi.
Hapa kuna watu either wamepigwa, jamaa anatafuta namna ya kusema "Hela zangu zimefungiwa", au anatengeneza mazingira ya kupiga watu
Dada aliingizwa vipi mjini na huyu jamaa?Ndiyoooo....
Ni tapeli mzuri huyu..
Kuna Dada ana kazi ya kuripoti Polisi kila Ijumaa sababu ya huyu mtu...
Chunguza vizuri haswa kwenye alignment za depositSasa mtu anaedit statement halafu anaomba msaada kwa rais samia? Si utakuwa utoto?
Kwamba mamlaka zikifuatilia zikakuta amefanya huo mchezo si ndo ataingia kwenye matatizo zaidi?
Tena ukuta huu udumu milele hakuna kujuana.Kwa comment hii nimehisi kutamani kuiona sura yako halisi.
Tatizo la huu ukuta walotujengea Jf kuongea bila kuonana sura, hata kama mtu anatema madini matupu, ubaki tu kufurahi ama kuhuzunika!